Putin hatoweza kwenda hata hapo jirani Armenia, wamejiunga ICC, Urusi yalalamika sana

Putin hatoweza kwenda hata hapo jirani Armenia, wamejiunga ICC, Urusi yalalamika sana

Husikilize porojo nyingi za MK-254, yaani wala hana habari kwamba Urusi na Merikani si member wa ICC, akili zake zote anawaza kesi za Kenyatta Jr na Rutto walipo buruzwa mahakamani the Hague - Kenya ni member sijui kama wamekwisha jitoa, cha ajabu mashahidi karibu wote walio kuwa wamejitolea kutoa ushahidi dhiti ya Kenyatta na Rutto walipotea kima ajabu na wengine kupewa ongo kubwa wasije mahakamani.

Mambo mengine bwana!! Nani mwenye ubavu wa kumguza Putin, labda kama Taifa hilo au Rais wake hawajipendi - achaneni kusikiliza propaganda za Biden na genge lake wote hao hakuna hata mmoja anayeweza kudhubutu kufanya lolote Putin au Urusi.
Propaganda wakati BRICS hajaenda?
 
Propaganda wakati BRICS hajaenda?
Nani wakumtishia Putin kwa kumkamata - wanacho weza ni kutumia chemical or biological stuff ili apate cancer na kufa taratibu kama walivyo mfanyia Fidel Castro na Rais wa Venezuela Muduro basi/hawawezi kitumia highly contigous virus ambazo zinaweza kuwaua hata wao in no time - a brainy person like Putin hawezi kuwekewa mtego kama huo na kunasa kirahisi, si kuna video conference links kwa nini maadui zake were overly looking forward for Putin to attend mkutano wa BRICS, je,maadui zake wana agenda gani ya siri kwa Putin (A World President in waIting)
 
Back
Top Bottom