Putin hatoweza kwenda hata hapo jirani Armenia, wamejiunga ICC, Urusi yalalamika sana

Propaganda wakati BRICS hajaenda?
 
Propaganda wakati BRICS hajaenda?
Nani wakumtishia Putin kwa kumkamata - wanacho weza ni kutumia chemical or biological stuff ili apate cancer na kufa taratibu kama walivyo mfanyia Fidel Castro na Rais wa Venezuela Muduro basi/hawawezi kitumia highly contigous virus ambazo zinaweza kuwaua hata wao in no time - a brainy person like Putin hawezi kuwekewa mtego kama huo na kunasa kirahisi, si kuna video conference links kwa nini maadui zake were overly looking forward for Putin to attend mkutano wa BRICS, je,maadui zake wana agenda gani ya siri kwa Putin (A World President in waIting)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…