Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa umenichekesha kinomaWatu tulishaanza kubet halafu wanazingua
Nalog off
Ulipotea sana HammazPutin hataki kuirudisha soviet kama awali, anachopigania ni usalama wa taifa lake. Sintofahamu baina ya NATO na URUSI inafahamika na ina historia yake na athari yake inafahamika kwani historia yake ipo wazi. Uhasama huu bado upo pande mbili.
Ukraine ni nchi huru. Lakini kwa nini ujiwekeze kwenye tension kubwa ya kivita ilihali mnaweza mkashirikiana na kujikita kuimarisha uchumi zaidi? Hungary ni nchi iliyopakana na nchi zote mbili, yaani Ukraine na Urusi. Ni mwanachama wa NATO.
Walipoulizwa iwapo majeshi ya NATO yakitakiwa yawepo nchini mwao kukabiliana na pressure ya Mrusi nchini Ukraine walikataa. Walikataa! Kwa sababu nchi nyengine zipo mbali na tension hiyo! Hivyo athari ya aina yoyote ikitokea iwapo watajiingiza kwa namna yoyote nayo itawakumba.
Hivyo hapa watu wanaofanya mchezo mbaya dhidi ya haya yote ni wawili, NATO na UKRAINE. Kwa nini wasijikite kwenye kuimarisha na kuujenga uchumi imara baina yao? Kwa nini wanaanzisha vuguvugu ambalo uwezo wa kuepukika upo?
Hao waliomzumguka sio walinzi,ni majenelaliMbona Rais Putin analindwa na wanajeshi waliozeeka hivyo, kwani uko kwa wenzetu awazingatii umri wa kustaafu nini?
ila chakushangaza hao viongozi wa ulaya ndio wanajipeleka wao MOSCOW kupiga kelele wakat mwenzao wala hana timeRussia akiigusa Ukraine anajua kabisa biashara ya bomba la gesi Europe inakufa ....kwahyo hawezi kabisa kujiharibia
View attachment 2120937
Nipo Mkuu, majukumu tu na muda mwengine tunaangalia upande wa pili wa sarafu ya dunia. Tunachill, tunajipumzisha na mitandao ya kijamii.Ulipotea sana Hammaz
Hao ndo best friend zake waliishi woote ujeruman mashariki nakufanya opareaheni mbalimbali wajamaa kwakweli na wanufaikaji wakubwa wautawala wa Putin. .........Mbona Rais Putin analindwa na wanajeshi waliozeeka hivyo, kwani uko kwa wenzetu awazingatii umri wa kustaafu nini?
Putini choka mbaya kila akiona mazungumzo ya kuzima vita ndo anayotaka, hakutegemea alichokikuta Ukrean mbaya zaidi hata huko Donbas atafurushwa anytime soon.,Rais wa Urusi, Vladimir Putin amemueleza Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz kuwa nchi yake haitaki vita barani Ulaya. Viongozi hao wawili walikutana jana mjini Moscow ikiwa ni juhudi za hivi karibuni za kuepusha vita.
Putin ameelezea utayari wa Moscow wa kufanya mazungumzo na Marekani pamoja na Jumuiya ya Kujihami NATO juu ya masuala ya usalama.
Kauli ya Putin imezidisha matumaini ya kupungua kwa mvutano na jirani yake Ukraine na uwezekano wa uvamizi, lakini Rais wa Marekani, Joe Biden amesema hawajathibitisha madai ya Urusi na kwamba bado kuna uwezekano wa uvamizi.
Kwa upande wake Kansela Olaf Scholz amesifu hatua za Urusi za kuondoa baadhi ya wanajeshi wake akisema ni ishara inayotoa matumaini. Kabla ya mkutano wake na Putin, Scholz alikutana na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky siku ya Jumatatu mjini Kiev.
Unadhani ni rahisi kama unavyobinuliwa kichuguuPutini choka mbaya kila akiona mazungumzo ya kuzima vita ndo anayotaka, hakutegemea alichokikuta Ukrean mbaya zaidi hata huko Donbas atafurushwa anytime soon.,
Kweli kabisa, hakuna vitaNajua hamna vita hapo ila chaudomo marekani ndo anakoleza moto.