Putin: Hatutaki vita Ulaya, tuko tayari kwa mazungumzo

Mbona Rais Putin analindwa na wanajeshi waliozeeka hivyo, kwani uko kwa wenzetu awazingatii umri wa kustaafu nini?
 
Kila siku kutishiana tu, wanyoshane kidogo...
 
Kashauriwa na intelligence yake kuwa amepaniwa sana
 
Ulipotea sana Hammaz
 
Putin kwa heri na urusi yake tatizo nikwamba putin Yuko pekeake wezake wanaungana dhidi yake huo uchumi atakuja lini kuufanya utengemae ,bado soko la gesi anawategea watu wa ulaya magharibi
 
Mbona Rais Putin analindwa na wanajeshi waliozeeka hivyo, kwani uko kwa wenzetu awazingatii umri wa kustaafu nini?
Hao ndo best friend zake waliishi woote ujeruman mashariki nakufanya opareaheni mbalimbali wajamaa kwakweli na wanufaikaji wakubwa wautawala wa Putin. .........
 
Putini choka mbaya kila akiona mazungumzo ya kuzima vita ndo anayotaka, hakutegemea alichokikuta Ukrean mbaya zaidi hata huko Donbas atafurushwa anytime soon.,
 
Putini choka mbaya kila akiona mazungumzo ya kuzima vita ndo anayotaka, hakutegemea alichokikuta Ukrean mbaya zaidi hata huko Donbas atafurushwa anytime soon.,
Unadhani ni rahisi kama unavyobinuliwa kichuguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…