Putin is 70 years old

Unachekesha fatilia mzozo wa miaka ya nyuma mpaka marekani akataka kulipua sehemu ya dunia na NUKE'S.....kwa sababu ya kitu inaitwa CUBAN MISSILES ....afu ndo uje hapa kutoa hoja ....na jana tu hapa china kaweka BASE za kijeshi karibu na australia visiwani SOLOMON angalia walivoipiga mikwara china .kwa sababu visiwa viko jirani na australia .........au kule kwa maduro marekani anapinga urusi kuweka kambi za kijeshi kule .maan ipo jirani na us ......sasa huoni huo ni uonevu ....kwa mwenzako ni sawa ila ikija kwako ugomvi ....
 
Andiko lako linaonyesha kabisa wewe ni mtu sampuli gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…