Putin kuifuta Wagner group

Badala ya kuhangaika na DP World inayotaka kuwanyonya mnahangaika na Wegner group.

Nyambaaaaaafu
 
Hata hivyo civil war hapa haikwepeki,Putin ajiandae tu....
 
West wamekuwa dissappointed kwa hio mutiny kuishia hewani!
Nasema hivyo maana ni wao waliosema walikuwa na intelejensia kuwa Wagner wangeasi ila haikuwa kwenye interest yao kumshtua Putin!
How do you explain that?
 
Vita kati ya urusi na US maana yake ni nuclear war maana hakuna atakayekubali kushindwa hivyo itakuwa tukose wote!In that case,usitegemee kuona hiyo vita!
Pili,huwezi kusema nani mbabe wa vita mpaka wapigane wao wenyewe!
Hizi zinabaki nadharia tu ambazo hazina uthibitisho wowote!
 
Piga chini Prigozin kazi mpe Victor Bout. Si mshikaji hana mishe toka atoke jela Usa. Ukiangalia cv ya Bout kimedali ni nzuri kuliko Prigozin. Tofauti na Prigo aliekuwa mfanya biashara wa msosi, Victor ni muuza siraha toka day one so ana uwezo wa ku source siraha popote duniani kuendesha mapambano Ukraine na Afrika hata RuMoD wanapokuwa wamemcheleweshea siraha tofauti na Prigo ambae akicheleweshewa siraha anaanza kulia mitandaoni. Bout ni option sahihi labda tu kama ameshakula hela za wamarekani kwa mda aliokaa kwenye jela zao
 
Alaf prigo cha mlomo sana kitu kidogo tu analeta pigo za manara
 
Majenerali wa urusi kazi kuvaa medali tu !.

 
Russia mambo yao kama Sudan alafu anatokea mtu kijiji cha Chita anakwambia ni superpower.
Urusi bora hata Sudani ni wahuni tuu wasiojitambua Nchi ina Ardhi ya kutosha anaenda kugombania kibabe na nguvu hana anatumia vikundi vya kukodi pana Nchi hapo...ulisikia wapi wahuni wanataka kupindua Nchi aisee...eti wanatembea kuifata Moscow mpaka jamaa kaona amekaa na nyoka anatangaza kuifuta mara kukamata wanajeshi waandamizi ili iweje wakati alikosea hapo mwanzo...
 
Majeshi yote ya huko juu legevu tu hasa yakiwa hayana taarifa (inteligensia).

Mara ngapi NATO amepigwa hapo Somalia, mara ngapi NATO kapigwa kweli kweli katika vi nchi vidogo alivyoingia.
 
Mwisho wa Urais wa Putin haupo mbali sana, unaweza kuwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwakani. Warusi hawapendi Rais dhaifu.
Yaani wewe mwanaCCM unataka kusema unawajua Warusi vizuri kuliko mrusi mwenyewe Putin ambaye ni kiongozi wa taifa zima la hao warusi.

HAHAHAH!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…