Putin kuifuta Wagner group

Putin kuifuta Wagner group

Pia hili tukio linaonyesha civic maturity kubwa ya warusi kama jamii pia utiifu wa kiraia na approval ya warusi kwa mamlaka ni kubwa.

Jamii asi huwa tayari kukiwasha wanachosubiri tu ni fursa.

Mf Egypt wakani Hosni Mubarak, kulikuwa na watu mf muslim brotherhood na factions za kijeshi nyingi zilizokuwa zinasubiri fursa ijitokeze, wamng'oe HM.

Ni dhahiri jamaa amedhibiti jeshi lake.
Jeshi la Misri halikuwa na shida yoyote wala kuhitaji fursa ya kumng'oa Hosni Mubarak, jeshi lilimpindua baada ya kuona nchi itaingia kwenye machufuko mabaya na hakukuwa na namna yoyote nyingine ya kuwatuliza waandamanaji bila umwagaji damu mkubwa.

Prigozhin wa Wagner ni mwendawazimu kuliko Putin. Raia yeyote anayetaka mabadiliko sahihi Urusi asingeweza kumsapoti mtu kama huyo. Hata huko West wanaamini nuclear za Urusi ziko katika mikono salama zaidi kwa Putin kuliko Prigozhin.
 
Achana na leadership, hakuna nchi superpower ambayo kundi la wanamgambo sijui kampuni binafsi ya ulinzi inaweza asi na kutembea 24hrs zaidi ya kilomita 600 na ikabakiza kilomita kama 200 kufika mji mkuu.
Wagner wamepita HQ za vikosi kadhaa vya Urusi bila kupingwa. Hakuna superpower mzembe hivi. Ingekuwa ni nchi hata Uturuki tu hao Wagner hata 100km wasingefika. Yani Russian Army ni kama ilipotea mpaka Airforce ikaja okoa jahazi kwa gharama kubwa, mjini Moscow walishaanza kuchimba barabara na kuzitia mashimo, walishaweka vizuizi barabarani, walishalipua maghala ya mafuta njiani. Sasa hiyo ni kampuni binafsi, assume ingekuwa nchi imevamia.
That was decision haukuwa udhaifu wa Russian Army Putin alichagua kutokumwaga damu, Wagner wangezuilika kwa mizinga kadhaa kama ingehitajika.

Lakini hilo lingecost maisha ya wengi
Sasa kama Wagner is that badass Kwanini wametii maagizo ya Putin mpaka sasa askari 25k wa Wagner wamejisalimisha kwa kukubali
kujiunga Russian Army

Wagner walikua katika maandamano ya kupiga ministry of Defense kwamba wanadhohofisha operation lakini Njia waliyotumia ni mbaya na yenye kuhatarisha usalama wa taifa and it's bad idea kuanza kurushiana risasi hilo lingeweka hatarini maisha ya wengi na mbaya zaidi west wangetumia nafasi hio kuivuruga Russia.

Sasa Wagner wanaanza kulionja joto la jiwe
 
Urais wa Putin hautegemei kura za Wananchi wa Urusi, bali unategemea uwepo wa Shirika laUjasusi la Urusi (FSB). Kama unavyoona hapa Bongo kwamba chama tawala kilichopo madarakani kuendelea kubakia Ikulu haitegemei kura za Wananchi wapigakura ktk Uchaguzi Mkuu, ndivyo hivyo hivyo hali ilivyo nchini Urusi. Kumbuka, mfumo wote wa Utawala uliopo hapa nchini kwetu kwa miaka yote tangu Uhuru mwaka 1961 umeigwa kutoka Urusi na China (nchi za Kikomunisti/Ujamaa). Alichofanya Nyerere ni Copy&Paste mfumo wa utawala kutoka Urusi na China, ndio maana unaona kuna "mkwamo mkubwa sana wa mfumo wa utawala" hapa Bongo, tumekwama vibaya(mbele hatuendi, na nyuma haturudi) mpaka 'external force' ije itukwamue.
Kinachotufelisha ni nini kwenye maendeleo?.. Tumecopy mfumo wa utawala tumeacha mifumo ya maendeleo! [emoji848]
 
Baada ya Wagner group kufanya maandamano yao ya kijeshi kitendo hicho kimeonekana kama ni tishio kwa usalama Russia, Putin kwenye kikao cha Leo amekuja uamuzi wa kuifuta Wagner Group kwa kuwapa options tatu Askari wa warger

1: kurudi nyumbani Yani kuachana kabisa na shughuli za kijeshi
2: Kujiunga na jeshi (Russian Army)
3:kwenda Belarus

Makundi haya matatu yameahidiwa kutokuchukuliwa hatua za kinidhamu iwapo watakubali offer hizo

Kuvunjwa vunjwa huku kwa Wagner itawaathili uwepo wapo barani Africa na sehemu zingine(Syria...etc) kwasababu Wagner ambayo inayofanya kazi barani Afrika na kwengine ipo chini ya MOD(Ministry of Defence).

Belarus haina ushawishi barani Afrika, kandarasi za Wagner za kuwa Afrika na Syria zilitolewa na MoD kwa hivyo mkataba utakuwa wa Wagner Russia(Russian Army) sio Belarusi.

Pia katika Hotuba hio yake Putin aliwashukuru Warusi kwa uvumilivu, mshikamano na uzalendo wao wa aina yoyote ya usaliti, majaribio ya kuleta machafuko ya ndani yatashindwa,Uasi wa kutumia silaha ungezuiliwa hata hivyo.

Pia kasema

Maadui wa Urusi walitaka nchi hiyo iingie katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yenye umwagaji damu, imeshindikana

Putin ameahidi kwamba ahadi kwa Wagner itatekelezwa.

Vladimir Putin ameshukuru Lukashenka kwa mchango wake katika kukomesha uasi huo.

Putin anaamini kwamba roho za kizalendo za Warusi, ilichukua nafasi kubwa katika kukomesha uasi hio.
Russia ilitengeneza ile comedy ili wapate sababu ya kuivunja Wagner ili kunusuru jeshi lao la serikali.
 
It's Looks like Putin hit the "unfriend" button on Wagner. Or it maybe a trick Putin hatabiriki Hata kibabu biden anafahamu hilo ,na tukumbuke Askari wanaokwenda Belarus huko kuna vitu vikubwa viwii

1: makombora ya nuclear ya Russia (baadhi) yaliamishiwa huko kwahy labda wapewa kazi ya kwenda kuyalinda.
2:sababu ya pili labda kaamua kuwasogezea kipigo Ukraine maana Belarus to Kiev ni km 100

Kwahiyo tutegemee mawili either ni wagnover( mwisho wa Wagner) au ni big win
Si kila ndoto ni ya kusimulia, zingine ni ujinga mtupu.
Kwamba anapeleka majeshi Belarusi ili kusogeza kipigo hii inaonyesha kipindi hii vita inaanza wewe ulikua busy na maandalizi ya kufanya mitihani ya form huko shuleni.
Hivyo taarifa za kwamba Russia aliingiza Ukraine magari silaha, vifaru, vyenye msafara wa Km 64 vikafyekwa vyote tena wakati Ukraine hata hawajajiandaa inaonyesha hukuwahi kuzisikia hizo habari.
 
Let me fix, Wagner halijitolea (halitoi msaada) kwa Russia lile ni jeshi la kukodishwa limelipwa hela.

Kilichotokea juzi Putin ameepusha umwagaji damu kwa kutumia kwanza diplomasia na alichokifanya prigozhin hayakuwa mapinduzi Bali yalikuwa ni maandamano ya kumshinikiza Putin kumuondoa waziri wa ulinzi.
Ningekubaliana na wewe kuliita Russian Army ni dhaifu kama Wagner wangefanya msafara wao kutoka nje ya Russia to Moscow .
Hoja zako ziko sawa kabisa.
Siongezi kitu hapa👏👏👏
 
ProRussia ni vyema mkae pamoja mje na theory moja ya kueleweka kuhusu uasi wa Wagner.

Mpaka sasa hizi ni baadhi ya conspiracies theories
1.Wagner wapate urahisi kupita kwenda Belarus kulinda nuclear na kuishambulia Ukraine kutoka huko.
2.Uasi wa Wagner ulikuwa kutafuta wasaliti waliojificha
3.Ni mchezo wa Wagner na Putin kutapeli billion 6 za US
4.Wanataka jamii ya kimataifa isiwafuatilie
5.Wanawavuta wanajeshi wa Ukraine wasogee wawamalize
Nyingine hii
6.Wagner wanapangwa na Putin kuwa kikundi cha kigaidi kuwasumbua West katika nchi kama Poland na Ujerumani.
 
Tuone kama Urusi wataweza kuivunja hii offensive ya Ukraine bila uwepo wa Wagner (hasa fighting spirit yao )
Hawana wafungwa wa kujitoa mhanga kama Wagner pale Bakhmut
 

Prigozhin in one of the only hotels in Minsk without a window, says US official​

Yevgeny Prigozhin has landed in Belarus and is staying in one of the few hotels in the capital that does not have any windows, a US official has suggested.

The Wagner leader was told to flee to Belarus as part of a deal to end his group's armed rebellion on Saturday.

He was last seen in public leaving the southern Russian city of Rostov-on-Don after calling off his troops, and there has been speculation about his whereabouts since then.

US Senate Intelligence chair Mark Warner told NBC News Prigozhin is in Minsk, and he believes he is in a hotel with no windows.

"I understand, literally as I was coming on air, that he says he's in Minsk and he actually is," he said.

"And get this – this is just reports – that he is in one of the only hotels in Minsk that does not have any windows."

Mr Warner suggested this could be to protect him against assassination attempts.
=========================

Usalama wa Prigozhin ni kukimbilia nchi za EU au hata Poland ili wamkabidhi kwa FBI wanaomtafuta maana huko Belarus sio salama kwake.
Kamchukueni basi😀😀😀😀
Leo Prigozin amekua mtamu,mnamuonea huruma eeeh?
Huyu si aliwekewa vikwazo na USA?

Mnatia huruma sana NATO,mmekua watu wa kusubiria vitukio ndio mfurahi,hamna uhakika na furaha zenu zitadumu mda Gani.

Mmeshindwa mbinu zote kuishinda Urusi,kuanzia vikwazo,michango ya silaha na Sasa kuombea Prigozin apindue nchi,kashindwa, Wagner waanze vurugu wameshindwa.
Sana Leo mnamuonea huruma Mkuu wa Wagner mliemuwekea vikwazo na wanted.Nato was overrated sana.
 
That was decision haukuwa udhaifu wa Russian Army Putin alichagua kutokumwaga damu, Wagner wangezuilika kwa mizinga kadhaa kama ingehitajika.

Lakini hilo lingecost maisha ya wengi
Sasa kama Wagner is that badass Kwanini wametii maagizo ya Putin mpaka sasa askari 25k wa Wagner wamejisalimisha kwa kukubali
kujiunga Russian Army

Wagner walikua katika maandamano ya kupiga ministry of Defense kwamba wanadhohofisha operation lakini Njia waliyotumia ni mbaya na yenye kuhatarisha usalama wa taifa and it's bad idea kuanza kurushiana risasi hilo lingeweka hatarini maisha ya wengi na mbaya zaidi west wangetumia nafasi hio kuivuruga Russia.

Sasa Wagner wanaanza kulionja joto la jiwe
Uko sahihi lakini ukiangalia kiundani hata putin si kwamba aliamrisha wanajeshi wake wasipambane na wagner ila kinachoonekana ni kwamba wanajeshi waligomea kureact kwa wagner ili kumkomoa putin na hapo ndipo alipokosa la kufanya hadi kufikia hatua ya kumwomba lukashenko aongee na wagner. Ila vinginevyo putin lazima angetaka kureact kwa wagner. Pia kuna kama signs za kutokubalika na wanajeshi wake na ndio kilichopelekea kuwatumia hawa wagner.
Jeshi la urusi kutopambana na wagner na kupelekea kuepusha umwagaji damu ni coincidence tu ya kutoelewana wao kwa wao ndio iliowasaidia lakini si umahiri wa putin
 
Kamchukueni basi😀😀😀😀
Leo Prigozin amekua mtamu,mnamuonea huruma eeeh?
Huyu si aliwekewa vikwazo na USA?

Mnatia huruma sana NATO,mmekua watu wa kusubiria vitukio ndio mfurahi,hamna uhakika na furaha zenu zitadumu mda Gani.

Mmeshindwa mbinu zote kuishinda Urusi,kuanzia vikwazo,michango ya silaha na Sasa kuombea Prigozin apindue nchi,kashindwa, Wagner waanze vurugu wameshindwa.
Sana Leo mnamuonea huruma Mkuu wa Wagner mliemuwekea vikwazo na wanted.Nato was overrated sana.
Urusi na Putin kabla ya Vita walionekana tishio, ila cha ajabu mpaka mpishi wa zamani wa ikulu analitingisha jeshi la Supa-pawa mpaka Rais wake anaingiwa hofu.
 
Hizo propaganda tu, mbona hawaoneshi wakisalimisha slaha, ngoja tuone.
 
It's Looks like Putin hit the "unfriend" button on Wagner. Or it maybe a trick Putin hatabiriki Hata kibabu biden anafahamu hilo ,na tukumbuke Askari wanaokwenda Belarus huko kuna vitu vikubwa viwii

1: makombora ya nuclear ya Russia (baadhi) yaliamishiwa huko kwahy labda wapewa kazi ya kwenda kuyalinda.
2:sababu ya pili labda kaamua kuwasogezea kipigo Ukraine maana Belarus to Kiev ni km 100

Kwahiyo tutegemee mawili either ni wagnover( mwisho wa Wagner) au ni big win
Ndo wamekumbuka kuwa belarus to kiev ni 100km [emoji23] [emoji23] [emoji23] washaanza changanyikiwa tyr kuvamia nchi za watu kijinga
 
Yote hiyo inaonyesha udhaifu wa jeshi la Urusi; halitakiwi kujulikana kama jeshi namba mbili duniani. Special Military operation imewashinda mpaka wakasaidiwa na jeshi la mamluki. Jeshi hilo la mamluki lilipowageuka wakaingia kwenye TV za taifa zinazomilikiwa na serikali ili kupiga filimbi za serikali yao .
Jidanganyee mkuu hivyo hivyo NATO na USA wanaliogopa Hilo jesh
 
Jidanganyee mkuu hivyo hivyo NATO na USA wanaliogopa Hilo jesh
Hata bila NATO; USA ikipambana ma urusi ana kwa ana, Urusi yote itafutika mara moja. NATO huwa inaisadia Marekani kupata uwanja wa kuweka zana zao tu lakini haitegemei wapiganaji kutoka Europe. Kwa mfano sasa hivi USA inaweza kuweka zana zake Finland na kurahisisha kupiga Urusi moja kwa moja. Udikteta hauwezi kuishinda demokrasi hata siku moja aisee.
 
Back
Top Bottom