Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maslahi!Ebu niulize jamani, Kinachofanya hawa wapigane ni nini?
Nakuambia hivi,safari beberu kuu linapandwa lenyeweYaani US iweke silaha hapo harafu Russia asirudishe majimbo kwa Ukraine? Thubutuu.
Una hamu na vita ya dunia? Halafu yeye alisema atashambulia endapo wao watamshambulia. In other words tumemjua nani anamuogopa mwenzieTunataka awashambulie hao watoaji silaha kama alivyotoa onyo.
Kwani silaha anazo tumia Ukraine hadi sasa hvi ni za nani? Ni za hao hao USA na his aliies; nasikia silaha zilizo leta UPINZANi sana kwa Urusi hadi sasa hivi ni za Mwingereza, za USA jamaa kazimudu sana tu na hi nadhani ni kwasababu Urusi na USA wamekua wakichunguzana kwa muda mrefu sana, over 70 years so huyu akitoa kitu hiki, mwenzie anakijua but ni ngumu kwa mataifa mengine ambayo hakuweka juhudi kuchunguzaYaani US iweke silaha hapo harafu Russia asirudishe majimbo kwa Ukraine? Thubutuu.
Kwani silaha anazo tumia Ukraine hadi sasa hvi ni za nani? Ni za hao hao USA na his aliies; nasikia silaha zilizo leta UPINZANi sana kwa Urusi hadi sasa hivi ni za Mwingereza, za USA jamaa kazimudu sana tu na hi nadhani ni kwasababu Urusi na USA wamekua wakichunguzana kwa muda mrefu sana, over 70 years so huyu akitoa kitu hiki, mwenzie anakijua but ni ngumu kwa mataifa mengine ambayo hakuweka juhudi kuchunguza
Mpaka sasa Russia still yupo kwenye operation ya kawaida ndio maana hajawai gusa supply root ya Ukraine kama rail, airport sasa vita kamili ikianza Kwanza Ukraine itakatwa na Poland, pili hakutakuwa na kiwanja kitakachobaki hapo hautasikia warning ila west watakuja wanaongelea humanitarian we mpaka sasa ofisi za mameya zinafunguliwa na ikulu haijaguswa hata na barutiKwani silaha anazo tumia Ukraine hadi sasa hvi ni za nani? Ni za hao hao USA na his aliies; nasikia silaha zilizo leta UPINZANi sana kwa Urusi hadi sasa hivi ni za Mwingereza, za USA jamaa kazimudu sana tu na hi nadhani ni kwasababu Urusi na USA wamekua wakichunguzana kwa muda mrefu sana, over 70 years so huyu akitoa kitu hiki, mwenzie anakijua but ni ngumu kwa mataifa mengine ambayo hakuweka juhudi kuchunguza
Unajua huwezi enda kichwa kichwa lazima watege maspya wakuwata taarifa ili wasije kula la vichwa kumbuka sisi na Malawi waliposema wanajua hadi mkuu anapolala ikabidi tukapige goti kwa wakuuTunataka awashambulie hao watoaji silaha kama alivyotoa onyo.
Vita inaenda miezi 3 sasa? Acha utani mkuu. Tupo tunautafuta mwezi wa 4 huu.Awanyooshe wakati yeye ananyooshwa huko…vita inaenda miezi 3 sasa Ukraine anampeleka puta watu jana wameua general mwingine huko…wewe umeshiba makande yako eti moto upo palepale [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka Crimea itarudishwa ile.Ukraine anarudisha maeneo yake na jana wamekula general mwingine huko
Kwamba hajashambulia nini, au tulete picha ya reli ilivyoshambuliwaMpaka sasa Russia still yupo kwenye operation ya kawaida ndio maana hajawai gusa supply root ya Ukraine kama rail, airport sasa vita kamili ikianza Kwanza Ukraine itakatwa na Poland, pili hakutakuwa na kiwanja kitakachobaki hapo hautasikia warning ila west watakuja wanaongelea humanitarian we mpaka sasa ofisi za mameya zinafunguliwa na ikulu haijaguswa hata na baruti
Hutaki tabu🤣Basi kaa kwa kutulia tuangalie movie
Sawa!!!!!Awanyooshe wakati yeye ananyooshwa huko…vita inaenda miezi 3 sasa Ukraine anampeleka puta watu jana wameua general mwingine huko…wewe umeshiba makande yako eti moto upo palepale [emoji23][emoji23][emoji23]
kiuno wakati unaskia wanajeshi wa russia wanavyokata roho na majenerali wao, anadhoofishwa russia kitaalamu wewe uko mbagala huwezi jua chochoteMarekani kila akipeleka silaha ni kama amepeleka kiuno tu
Hakika MKUUandunje kanikumbusha enzi zile. Mtoto unampiga bonge la kwenzi. halafu badala ya kulia anakuzomea. ‘’ Ilooo hata sijaumia iloo’’.
Kwahio ulitaka wakate kiuno MKUU wakati wapo mapiganoni!!!??kiuno wakati unaskia wanajeshi wa russia wanavyokata roho na majenerali wao, anadhoofishwa russia kitaalamu wewe uko mbagala huwezi jua chochote