Putin kukacha kwenda Sauzi kulikoni kimya hiki kutokea Buza?

Putin kukacha kwenda Sauzi kulikoni kimya hiki kutokea Buza?

Kumbe ndiyo maana hata Baghdad, Kunduz, Kandahar na Kabul huko tunaposikia wanene wameingizana japo bila kutangaziw, huwa ni Kwa sababu walikuwa hawako busy tu na labda siku hizo pia teknolojia hugeuka kuwa bado bado japo kwa muda.
Sikuelewi ulichoandika.
 
Sikuelewi ulichoandika.

Wadhani waliokwenda sauzi physically hawako busy?

F4YNuh-W4AAfLs5.jpeg
 
Ni rahisi kumkamata Rais wa nchi ambayo ni 'supa-pawa' ?
Sio rahisi kumkamata Rais wa nchi yoyote bila ushirikiano wa baadhi ya watu kwenye hiyo nchi. Kukiwepo na watu wenye nguvu wasiomtaka huyo Rais na ambao wako tayari kukikalia kiti chake atakamatwa tu popote.
 
Unaelekea kuchanganyikiwa. Awali nilidhani wewe ni mtambuzi ila kumbe nilikosea sana.

Ukanda na udini tusiupe nafasi ndugu yangu. ID fiche zina mengi. Kwamba twaweza kuwa hata dini moja au kanda moja. Je itoshe hiyo kutupa haki ya kujipanga pamoja kama sisi dhidi ya wale bila kujali hoja au mantiki?
 
Hivi kulikuwa na swali hapa? Wacha kukurupuka, mimi sijalewa bado. Unaonekana una kiherehere. Tulia, fikiri kwanza.
NIMEKUAMURU UTULIE SAWA? USINILAZIMISHE NIKUTAMKIE NENO BAYA IWE LAANA KWAKO.

SITAKI IWE HIVYO KWA IYO TULIA WEWE.

SAUH'WAAH?
 
Back
Top Bottom