Putin kukacha kwenda Sauzi kulikoni kimya hiki kutokea Buza?

Putin kukacha kwenda Sauzi kulikoni kimya hiki kutokea Buza?

Ilikuwa makelele moja kwa moja ooh, mwamba Putin atatinga Sauzi kwenye mkutano wa BRICS.

Kwamba hatishiki wala kukuruka.

Ajabu na kweli tumesubiri wee hakuna cha Putin, Yeriko wala wale warusi nguli kutokea Buza walioweza kuyarejelea majigambo yao.

View attachment 2729538

Kwamba alikuwa busy na Yevgeny Pighozin kumuwahisha akasamehewe na mola?

Kumbe ana nini Putin kuliko akina tolu wasiokuwa na uhimilivu dhidi ya wapinzani wao?


Hufuatilii habari na update, usingeuliza
 
Hufuatilii habari na update, usingeuliza

SI kuwa ungekuwa unasoma habari, updates na nyuzi usingeandika hiki ulichoandika hapa? Kwani umewaona warusi hasa wale wenyewe hapa? Au nawe umejiunga nao tangu lini?

Kumbe wewe uliona umeulizwa swali? 🤣🤣

JF siyo reja reja kama ambavyo ungetaka kujiaminisha ndugu.
 
SI kuwa ungekuwa unasoma habari, updates na nyuzi usingeandika hiki ulichoandika hapa? Kwani umewaona warusi hasa wale wenyewe hapa? Au nawe umejiunga nao tangu lini?

Kumbe wewe uliona umeulizwa swali? 🤣🤣

JF siyo reja reja kama ambavyo ungetaka kujiaminisha ndugu.

Putin alisema haji mda mrefu sana wakati huku wa africa wanaendelea kulumbana
 
Putin alisema haji mda mrefu sana wakati huku wa africa wanaendelea kulumbana

Hata wamerekani hupotosha taarifa zao za kwenda maeneo tata kama Baghdad, Kabul, au Kiev huko. Kwani hayo ni mageni kwako?

Kwamba alisema haji zamani, basi ndiyo tuseme kuwa hakuwaogopa ICC? Hivyo imeisha hiyo?

Hudhani vibandiko vyako hivi Labda ungekuwa umemwandikia Mrusi kindaki ndaki mwenye uzi wake huyu "jun" huko:

Rais Putin yupo Afrika Kusini, tuone kama ICC watamkamata

Ambako wengine Kwa kumwelewa, tukaamua kumvutia upepo hadi BRICS iishe?

Kwa mawazo yako unadhani uzi huo wa bwana njalas hatukuuona siku hizo, au kuwa kuyo bwana nyuzi zetu hIzi baada ya mkutano wa BRICS sauzi sasa wa aina ya akina njalas hawazioni ila wewe?

Elimu yako tafadhali mjomba.
 
Tena kabisa, utumbo mpaka keshokutwa siuelewi.
Sasa jihadists,wazee wa vipedo na makobazi wanamuona Putin kama Ayotollah mwenzao,kwa jinsi wanavyompigia kifua.Kisa anashirikiana na Iran kutengeneza drones 🤔
 
Ni makosa yako mwenyewe kutokufuatilia taarifa kwa muda sahihi.

Ilishatangazwa tokea mwezi wa 7 ya kwamba putin hatokwenda afrika kusini na atawakilishwa na sergei lavrov.

Na uamuzi huo ulitiwa mkazo zaidi na serikali ya afrika kusini

Yeye alifuatilia kwa kutumia virtual tech.
brazaj
 
Yeye alifuatilia kwa kutumia virtual tech.
brazaj

Hata huyu:

IMG_20211016_132442_593.jpg


atakuwa anafuatilia virtually.
 
Back
Top Bottom