Sikuelewi ulichoandika.Kumbe ndiyo maana hata Baghdad, Kunduz, Kandahar na Kabul huko tunaposikia wanene wameingizana japo bila kutangaziw, huwa ni Kwa sababu walikuwa hawako busy tu na labda siku hizo pia teknolojia hugeuka kuwa bado bado japo kwa muda.
Sikuelewi ulichoandika.
Ujinga ni majaaliwa ya nasaba ya mtu au mtu anaupata kwa kujitakia??Uliza swali lako, wacha kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Anajifunza.Ujinga ni majaaliwa ya nasaba ya mtu au mtu anaupata kwa kujitakia??
😂😂😂😂😂
Ndio woga wwnyewe. Alishafanya hesabu zikakataaNi makosa yako mwenyewe kutokufuatilia taarifa kwa muda sahihi.
Ilishatangazwa tokea mwezi wa 7 ya kwamba putin hatokwenda afrika kusini na atawakilishwa na sergei lavrov.
Na uamuzi huo ulitiwa mkazo zaidi na serikali ya afrika kusini
HeheehMashaallah!!
Umejaaliwa...
Jibu swali weweeAnajifunza.
Tulia wewee na ujibu swali ulioulizwaUnaelekea kuchanganyikiwa. Awali nilidhani wewe ni mtambuzi ila kumbe nilikosea sana.
Hivi kulikuwa na swali hapa? Wacha kukurupuka, mimi sijalewa bado. Unaonekana una kiherehere. Tulia, fikiri kwanza.Tulia wewee na ujibu swali ulioulizwa
Sio rahisi kumkamata Rais wa nchi yoyote bila ushirikiano wa baadhi ya watu kwenye hiyo nchi. Kukiwepo na watu wenye nguvu wasiomtaka huyo Rais na ambao wako tayari kukikalia kiti chake atakamatwa tu popote.Ni rahisi kumkamata Rais wa nchi ambayo ni 'supa-pawa' ?
Unaelekea kuchanganyikiwa. Awali nilidhani wewe ni mtambuzi ila kumbe nilikosea sana.
NIMEKUAMURU UTULIE SAWA? USINILAZIMISHE NIKUTAMKIE NENO BAYA IWE LAANA KWAKO.Hivi kulikuwa na swali hapa? Wacha kukurupuka, mimi sijalewa bado. Unaonekana una kiherehere. Tulia, fikiri kwanza.
Wewe endelea tu, mimi huwa siamuriwi.NIMEKUAMURU UTULIE SAWA? USINILAZIMISHE NIKUTAMKIE NENO BAYA IWE LAANA KWAKO.
SITAKI IWE HIVYO KWA IYO TULIA WEWE.
SAUH'WAAH?
Huna hiyo akili ya kuelewaSikuelewi ulichoandika.