Putin kwa mara ya kwanza alia hali ilivyo ngumu kwenye uwanja wa mapambano huko Ukraine

Putin kwa mara ya kwanza alia hali ilivyo ngumu kwenye uwanja wa mapambano huko Ukraine

Kufa kivipi mkuu?, Umeshaona hekali za makaburi huko ukraine?,,
Sawa putin yuko realistic, huwezi ukapambana na nchi ambayo inapata full support ya west na hali ikawa nyepesi,, hii ni sawa na vita vya vietnam au korea, wakati nchi za magharibi walipata hali ngumu kipindi hicho, kwa vile vietnam ama north korea ilipata full support ya china na USSR,
Tofauti tu ni kuwa, Russia anapigana in his own backyard,, hivyo hilo litaifanya hii vita iwe ngumu pia kwa nchi za magharibi,
Binafsi nasubiri tufunge mwaka hapo february 23,, ndo tutaona nini kitatokea,, fununu ni kuwa Russia wanajiandaa kuingia ukraine via Beralus,, which means kiev na kharkiv ndio zitakuwa target, hiyo sasa italazimu either Poland nao waingize jeshi kumsaidia ukraine rasmi,, na hapo ndo tutajua mbivu na mbichi, maana poland ni NATO,
RUSSIA anacommit 200,000 jeshi ndani ya ukraine, karibu nusu yake ni mercenary wa wagner,
So approximately, Russia ameweka jeshi la watu 100000,
Russia ina active soldiers karibu milion 1,
Hii maana yake, Russia amecommit just 10% ya capability,, akiamua kwenda full force ndani ya ukraine, tutaongea habari ingine

Majenerali wa Urusi hawawezi kukubali hii vita ikuzwe mpaka kufikia matumizi ya nyuklia, maana ni dhahiri sasa hivi Putin amelewa hadi kilichobaki ni matumizi ya nyuklia, na ndio kitu akijaribu kitasababisha Urusi iangamizwe.
Kingine unapaswa ufahamu Ukraine bado haijapata full support ya West, kuna zana za aina nyingi hawajapewa, hata Magharibi pia wanajaribu mbinu za kumlemaza Mrusi bila kufanya provocation ya Urusi yote.

Wanachokifanya Magharibi ni kumtoa pumzi Mrusi akiwa ndani ya Ukraine na kuhakikisha amelemazwa kimya kimya bila kumfuata kule Urusi, na hicho Ukraine wamefanikisha pakubwa. Hao vijana 200,000 waliokusanywa kutoka mitaani acheni kuwategemea, hamna jipa wanachokifanya ila kuongeza mizoga Ukraine.
 
Back
Top Bottom