Putin: Vikwazo vya Magharibi vimepelekea janga la chakula duniani

Acha kabisa kumuita mwendazake ni mgonjwa wa akili kwani waliosema kilimo kwanza wako wapi?
 
Ila nimwaka mzima toka afe? Ila hakuwepo kwenye urais toka Mungu aiumbe tanganyika. Ila alitawala miaka mitano tu. Sasa tujiulize wengine wamefanya nini ambacho ye alikiharibu. Baada ya yeye aliyepo kafanya nini tukiondoa tozo za kizalendo. Kumpa lawama jpm ni kuonyesha unamfikilia sana kwenye akili yako kwa tafasri nyingini ni mtu mhimu maishani mwako

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kremlin chief cautioned that higher energy prices combined with a shortage of fertilisers would prompt the West to print money to buy up supplies, leading to food shortages among poorer countries.
kumbe mazungu yenyewe yatajichapishia pesa hasa kupitia Quantitative Easing kununua misosi yakituacha tunaotegemea chapati za Azam tukiwa macho wazi
 
Na wewe uliagiza ngege
 
Chunga kauli zako wewe unashamba kweli wewe kilimo unakifaham
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…