Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

Mh.Waziri kwa nini msiivunje Wizara ya Viwanda na Biashara,halafu Viwanda viende kwenye Wizara ya Nishati na Biashara iingie kwenye Wizara ya Fedha kwa kuwa wizara yako ndio inahusika na masuala ya kodi basi na biashara msimamie nyie ili mulete uwiano sahihi na itawafanya wafanyabiashara wasikwepe kodi,mtakuwa mnajua mazingira ya biashara yako vipi
 
Ndugu yangu deni lishafika 98 Trillion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…