Anakazi nyingi za kufanya jamanii bado na mitandao mingine huko anatakiwa akakanusheπUngekuwa ukishakanusha hapa Kisha unakuwepo tukiuliza maswali ingesaidia sana. Ila unaandika weeee Kisha unapotea sasa sijui ni dharau zako tu au nini sijui. Unahisi kwa kuwa una doctorate ya uchumi basi ukishasema kitu ni sharti tuelewe na tunyamaze fullstop!
Being appreciative is not being soft!.Kushukiru nini? mbona mnakuwa Soft sana?
hatuhitaji kuwa appreciative. Hii ni forum kama nyingine tu. Iwe facebook, x, instargram. Wao kuwepo ni kuonesha hii forum ni muhimu ila sio wao ndio muhimu.Tumshukuru kwa uwepo wake jf, Waziri kuingia jf na kujibu hoja sii miongoni mwa wajibu wake!, Waziri hawajibiki jf, hivyo uwepo wake humu ni ametuheshimu sana, turudishe heshima, Mawaziri zaidi waingie, juzi nimemuona Gerson Msigwa , hii ni heshima kubwa kwa jf, lets be appreciative.
P
πππUkiunganisha Tanzanialeaks alichopinga kinaweza kuwa na ukweli.
πππ ujue anasoma na kucheka haya maombi ya mwamposaππila we mzee naamini kabisa utaanza kuchomwa hapa hapa duniani yaani utaanza kuteseka hapa hapa duniani halafu kuzimu ni muendelezo tu.
Hivi hizo hela mnazoiba hamuwaonei huruma watanzania?
Mamilioni ya watoto wa kitanzania wanasoma shule chakavu hapa nchini, huduma za afya ni ghali sana kwa mwananchi wa kawaida, mfumuko wa bei ni mkubwa sana kwa maisha ya Sasa, miradi lukuki inasuasua na kama inatekelezwa basi sio kwa wakati kwa sababu ya ufisadi, WIZI, uhujumu na ubadhirifu uliopitiliza uovu, lakini nyie mnaona sawa tu mateso ya watanzania kunufaisha matumbo
MUNGU ninayemuani ni mkuu sana hakika hataacha haya yapite katika JINA LA YESU KRISTU ALIYE HAI
kila kilichofichwa kitafunuliwa na hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe
πππ Atanyongwa na nani sasa wakati wanashirikiana na wanyongaji.1. Wizi wa ununuzi wa RADAR (BAE system co.) Madalali walipata Β£ 12,000,000
2. Wizi wa Amatus Liyumba katika Ujenzi wa B.O.T twin towers .. Shilingi Billioni 400
3. Wizi wa akaunti ya EPA Shilingi 133 billioni.
4. Wizi katika Mradi wa kusafisha dhahabu wa Mwananchi Gold .. Dola Milioni 6
5. Wizi wa Buhemba Goldmine (Meremeta) Shilingi Billioni 155
6. Upotevu wa Shilingi Trilioni 1.5
7. Tegeta Escrow Account Shilingi Billioni 306
8. Wizi wa kuprinti pesa BOT, Shilingi Billioni 104
9. Wizi wa Alex Stewart (Audit firm) Shilingi 221 Billioni.
10. Richmond scandal Shilingi Billioni 172
11. Loliondo Gate by Stan Katabalo
12. DP World, Mradi wa kuendeleza Bandari.
13. Viongozi hawana woga kwa sababu hawanyongwi.
Umesoma upande mmoja umekuja na comment, kwa nini usisome na upande wa pili ujiridhishe? Then think critically!!Asante sana kwa ufafanuzi huu, this is good!, well done!.
Niliwahi kushauri, dawa ya uongo ni ukweli, uongo ukisemwa bila kukanushwa hugeuka ukweli.
Nimependa jinsi ulivyojitokeza in person kujibu na kukanusha, nashauri ijengee uwezo ile idara yako ya gvt communications pale wizarani, uongo ukitolewa Nipashe, ukanushwe Nipashe huku jf iwe ni cc only.
Kiukweli I was very right about you tangu enzi zile Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa! ila yale maswali yangu, hujawahigi kuyajibu, kila nikikuuliza unayakwepa na unapotea jumla!, naomba nisiyarudie usije ukapotea tena, uwepo wako humu una thamani kubwa kwa maslahi ya taifa kuliko hoja personal unazokwepa kuzijibu.
Nimefarijika sana kukuona.
P