Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

Mkuu Ngali, Ngalikihinja , inaonekana huyu ni mtoto wa mama, hachelewi kususa na kuingia mitini, hivyo twende nae taratibu, kitendo cha kujitokeza in personal kuja kukanusha timely, kinastahili pongezi na ku boost jf profile, tumshukuru kwa hili, ametuheshimisha, nasi tumuheshimu, tusimchokoe sana tukampoteza tena, watoto wa mama huwa hawachelewi kususa na kuzira!.
P
Sio kwamba anaogopa kuumbuka!!?

UZI WA kijasusi kama huu,wadau watakuja na IDs mpya na kutoa deep documents kuonyesha how deep they are!!

Yaani anaweza kuja Luhaga Mpina hapa akamwaga data nondo tukapoteana!!

SASA NIMEELEWA KWANINI LUHAGA MPINA KAONDOLEWA BUNGENI,KUMBE KULIKUA BADO KUNA PROCESS INAENDELEA AMBAYO JAMAA ANGEHARIBU KABISA!
 
Kila siku uko mbio kuleta maelezo marefu hapa lakini ukiulizwa maswali hutoi majibu, unakuja na maelezo ya kisiasa kudanganya wajinga ukidhani hili ni jukwaa la robots, kama unajiamini kweli tulia hapo utoe majibu ya maswali unayoulizwa.

Kaa chini ujiulize kwanini ni wizara yako ndio inayohusishwa na mambo ya hovyo zaidi badala ya wizara nyingine? usitake kutuaminisha hao wanaosema mabaya yanayohusu wizara yako wanakuchukia personally, ukweli una tatizo bahati yako unalindwa na your incompetent boss.

Mpina amekuwa akitoa mapungufu mengi kukuhusu kule bungeni, ukaishia kumjibu hovyo badala ya kumjibu kwa weledi, baadae ukashangilia sana kwa kugonga meza siku ile aliyoadhibiwa na yule spika mbovu anayewatumikia mafisadi.

Leo Mpina yuko nje ya bunge, ajabu bado wizara yako inahusishwa na madudu kila siku, umekuwa wa kujitokeza na kukanusha kama ndio mtindo mpya wa maisha yako huku ukiogopa kujibu maswali, ukijidanganya huo ndio utendaji, utendaji wa kiuoga!, acha usanii.

Naamini kesho tena utakuja kukanusha kingine, waziri wa fedha unayeona sifa kujiita unakuposheka!.
Heshima yako mkuu.
 
Ulishindwa kazi siku moja tu baada ya kuingia kwenye wizara nyeti ya nchi yetu

Endelea kunitetea! Na huwenda huko kunatokota, maana si kwa kujitetea huku, mimi namuomba Mungu atufanyie njia kwa nafisadi ya ccm

Na bado, kazi ndo kwaaanza, kila kitu kitaanikwa tu,
 
Mkuu Ngali, Ngalikihinja , inaonekana huyu ni mtoto wa mama, hachelewi kususa na kuingia mitini, hivyo twende nae taratibu, kitendo cha kujitokeza in personal kuja kukanusha timely, kinastahili pongezi na ku boost jf profile, tumshukuru kwa hili, ametuheshimisha, nasi tumuheshimu, tusimchokoe sana tukampoteza tena, watoto wa mama huwa hawachelewi kususa na kuzira!.
P
😁😁ila wewe bro na wewe una shida! Eti mtoto wa mama! Lizee hivyo na lenyewe bado linadeka?
 
Mheshimiwa, usijali kuusu kupuuzia hilo tunalifanya mkuu , tumesha mpuuzia mama yenu yule wakupenda sifa, chama cha mbogamboga na viongozi wake pamoja na wale matapeli wa madhabahuni. Mtume na type hizo. Bila kusahau jeshi la policcm. Mkuu kuna chenye nimesahau kupuuzia?
Ccm mbele kwa mbele.... 🚮
 
Mkuu Ngali, Ngalikihinja , inaonekana huyu ni mtoto wa mama, hachelewi kususa na kuingia mitini, hivyo twende nae taratibu, kitendo cha kujitokeza in personal kuja kukanusha timely, kinastahili pongezi na ku boost jf profile, tumshukuru kwa hili, ametuheshimisha, nasi tumuheshimu, tusimchokoe sana tukampoteza tena, watoto wa mama huwa hawachelewi kususa na kuzira!.
P
We Paskali weweeeeeeee.....!!!!
 
PUUZENI TAARIFA YA NIPASHE, HAKUNA UCHOTAJI FEDHA BOT, HUU NI MWENDELEZO WA KUZUA TAHARUKI KWA MAKUSUDI, BOT INASIMAMIA KWA UMAKINI SANA SHERIA ZA NCHI NA MIIKO YA BENKI KUU ZOTE DUNIANI.

Nimesoma taarifa hiyo ambayo inatokana na uchambuzi wa NGO iitwayo WAJIBU inayoongozwa na Mzee Ludovic Uttoh, CAG Mstaafu. Kwa ujumla maelezo ya taarifa hiyo yanaeleweka na hayana utata wowote, hivyo sijui kwa nini mwandishi wa Nipashe ameeleza kuwa KUNA UTATA BoT.

Taarifa imeelezea suala ambalo ni la kawaida na huwa linafanyika kila mwaka kutokana na Sheria ya BoT inayoruhusu kutoa advances or Short Term Loans kwa Serikali ili kukidhi mahitaji ya matumizi ambayo yanakuwa hayajapata mapato. Kwa mujibu wa kifungu cha 34 hadi 37 cha BoT Act, Serikali inaruhusiwa kukopa hadi 18% ya makusanyo halisi ya ndani ya mwaka uliopita. HILI LIMEKUWA LIKIFANYIKA HIVYO TANGU BOT IANZISHWE, BOT NI BENKI YA SERIKALI, SERIKALI UCHUKUA ADVANCE KWA MUJIBU WA SHERIA BADALA YA KUKOPA KWA RIBA KUBWA KUTOKA BENKI ZA KIBIASHARA.

Hivyo, kwa mwaka 2022/23, Serikali ilikuwa inaweza kukopa BoT kiasi kinachofikia TZS. 4.5 trillion. Hivyo, taarifa ya kuwepo kwa mkopo wa TZS. 1.7 trilioni ni suala ambalo liko ndani ya wigo unaokubalika kisheria. Kiasi hicho kilipofika mwisho wa Mwaka kilijumuishwa kwenye Treasury Bonds za Mwaka husika ambazo zinaendelea kulipia riba kama sehemu ya mikopo ya ndani.

Utaratibu huo ni wa kawaida na ufanyika kwa Benki Kuu za nchi nyingi duniani, pindi Serikali inapohitaji Fedha za kugharamia Bajeti wakati bado inaendelea kujipanga na kukusanya mapato kutoka katika vyanzo mbalimbali. Ndio maana hata IMF waliridhika kuwa BoT na Serikali wamezingatia Sheria na taratibu za kimataifa kama inavyotakiwa. Kutokana na uzingatiwaji wa Sheria hizo, Bodi ya IMF waliridhia kutoa USD. 300 milioni kwa mwaka 2023/24 na Benki ya Dunia waliridhia kutoa USD. 750 milioni kwa mwaka 2023/24 kwa kuwa tathmini ya Pili ya program ya IMF iliyofanyika Desemba 2023 iliangalia masuala mbalimbali yakiwemo ya mapato, matumizi, madeni, uzingatiwaji wa Sheria ya BoT, ukuaji wa uchumi, mfumuko wa bei, urari wa biashara, thamani ya shilingi na usimamizi wa masoko ya fedha nchini.

Kutokana na maelezo haya, nadhani mwandishi wa gazeti la Nipashe hakupaswa kusema kuwa kuna utata BOT tena bila hata kuulizia au kuomba ufafanuzi kutoka BoT. Inawezekana aliandika kwa nia ovu ya kuupotosha umma, kuidhalilisha BoT na kusababisha taharuki kwa jamii. Aidha, inawezekana mwandishi ameandika kwa kutojua Sheria suala ambalo angeuliza angepewa ufafanuzi unaotakiwa.

Kutokana na maelezo hayo, BoT itaandaa taarifa kwa umma na kukanusha na kutoa elimu kuwa hakuna utata wowote uliopo kutokana na taarifa hizo bali ni suala la kawaida ambalo Serikali inaruhusiwa kukopa kwa kuzingatia ukomo wa 18% ya mapato halisi ya mwaka uliopita, kama ilivyo kwa Sheria za nchi nyingine duniani. Hata ukomo huu upo kwenye viwango karibiana kati ya Nchi zote za EAC.

View attachment 3047891
Hongera saana kwa ufafanuzi mzuriii. Sasa tunachoomba ni kuweka utaratibu mzurii kwa vyombo vya habari viache maramoja kutoa taarifa ambazo hazijahakikiwa.
 
Kila siku uko mbio kuleta maelezo marefu hapa lakini ukiulizwa maswali hutoi majibu, unakuja na maelezo ya kisiasa kudanganya wajinga ukidhani hili ni jukwaa la robots, kama unajiamini kweli tulia hapo utoe majibu ya maswali unayoulizwa.

Kaa chini ujiulize kwanini ni wizara yako ndio inayohusishwa na mambo ya hovyo zaidi badala ya wizara nyingine? usitake kutuaminisha hao wanaosema mabaya yanayohusu wizara yako wanakuchukia personally, ukweli una tatizo bahati yako unalindwa na your incompetent boss.

Mpina amekuwa akitoa mapungufu mengi kukuhusu kule bungeni, ukaishia kumjibu hovyo badala ya kumjibu kwa weledi, baadae ukashangilia sana kwa kugonga meza siku ile aliyoadhibiwa na yule spika mbovu anayewatumikia mafisadi.

Leo Mpina yuko nje ya bunge, ajabu bado wizara yako inahusishwa na madudu kila siku, umekuwa wa kujitokeza na kukanusha kama ndio mtindo mpya wa maisha yako huku ukiogopa kujibu maswali, ukijidanganya huo ndio utendaji, utendaji wa kiuoga!, acha usanii.

Naamini kesho tena utakuja kukanusha kingine, waziri wa fedha unayeona sifa kujiita unakuposheka!.
hawezi kutoa majibu huyo!
 
PUUZENI TAARIFA YA NIPASHE, HAKUNA UCHOTAJI FEDHA BOT, HUU NI MWENDELEZO WA KUZUA TAHARUKI KWA MAKUSUDI, BOT INASIMAMIA KWA UMAKINI SANA SHERIA ZA NCHI NA MIIKO YA BENKI KUU ZOTE DUNIANI.

Nimesoma taarifa hiyo ambayo inatokana na uchambuzi wa NGO iitwayo WAJIBU inayoongozwa na Mzee Ludovic Uttoh, CAG Mstaafu. Kwa ujumla maelezo ya taarifa hiyo yanaeleweka na hayana utata wowote, hivyo sijui kwa nini mwandishi wa Nipashe ameeleza kuwa KUNA UTATA BoT.

Taarifa imeelezea suala ambalo ni la kawaida na huwa linafanyika kila mwaka kutokana na Sheria ya BoT inayoruhusu kutoa advances or Short Term Loans kwa Serikali ili kukidhi mahitaji ya matumizi ambayo yanakuwa hayajapata mapato. Kwa mujibu wa kifungu cha 34 hadi 37 cha BoT Act, Serikali inaruhusiwa kukopa hadi 18% ya makusanyo halisi ya ndani ya mwaka uliopita. HILI LIMEKUWA LIKIFANYIKA HIVYO TANGU BOT IANZISHWE, BOT NI BENKI YA SERIKALI, SERIKALI UCHUKUA ADVANCE KWA MUJIBU WA SHERIA BADALA YA KUKOPA KWA RIBA KUBWA KUTOKA BENKI ZA KIBIASHARA.

Hivyo, kwa mwaka 2022/23, Serikali ilikuwa inaweza kukopa BoT kiasi kinachofikia TZS. 4.5 trillion. Hivyo, taarifa ya kuwepo kwa mkopo wa TZS. 1.7 trilioni ni suala ambalo liko ndani ya wigo unaokubalika kisheria. Kiasi hicho kilipofika mwisho wa Mwaka kilijumuishwa kwenye Treasury Bonds za Mwaka husika ambazo zinaendelea kulipia riba kama sehemu ya mikopo ya ndani.

Utaratibu huo ni wa kawaida na ufanyika kwa Benki Kuu za nchi nyingi duniani, pindi Serikali inapohitaji Fedha za kugharamia Bajeti wakati bado inaendelea kujipanga na kukusanya mapato kutoka katika vyanzo mbalimbali. Ndio maana hata IMF waliridhika kuwa BoT na Serikali wamezingatia Sheria na taratibu za kimataifa kama inavyotakiwa. Kutokana na uzingatiwaji wa Sheria hizo, Bodi ya IMF waliridhia kutoa USD. 300 milioni kwa mwaka 2023/24 na Benki ya Dunia waliridhia kutoa USD. 750 milioni kwa mwaka 2023/24 kwa kuwa tathmini ya Pili ya program ya IMF iliyofanyika Desemba 2023 iliangalia masuala mbalimbali yakiwemo ya mapato, matumizi, madeni, uzingatiwaji wa Sheria ya BoT, ukuaji wa uchumi, mfumuko wa bei, urari wa biashara, thamani ya shilingi na usimamizi wa masoko ya fedha nchini.

Kutokana na maelezo haya, nadhani mwandishi wa gazeti la Nipashe hakupaswa kusema kuwa kuna utata BOT tena bila hata kuulizia au kuomba ufafanuzi kutoka BoT. Inawezekana aliandika kwa nia ovu ya kuupotosha umma, kuidhalilisha BoT na kusababisha taharuki kwa jamii. Aidha, inawezekana mwandishi ameandika kwa kutojua Sheria suala ambalo angeuliza angepewa ufafanuzi unaotakiwa.

Kutokana na maelezo hayo, BoT itaandaa taarifa kwa umma na kukanusha na kutoa elimu kuwa hakuna utata wowote uliopo kutokana na taarifa hizo bali ni suala la kawaida ambalo Serikali inaruhusiwa kukopa kwa kuzingatia ukomo wa 18% ya mapato halisi ya mwaka uliopita, kama ilivyo kwa Sheria za nchi nyingine duniani. Hata ukomo huu upo kwenye viwango karibiana kati ya Nchi zote za EAC.

View attachment 3047891
Chukueni hatua za kisheria kama wamepotosha
 
Kuna mahali nimeona ushuru wa kuingiza makwanja ya kufyekea nyasi umepunguzwa. Ila sijui impact ya haya makwanja kwa watanzania milioni 60. ANAYEYATUMIA HUMU FJ NA ANYOSHE KIDOLE JAMANI.
Yatatufaa sisi wahudumia mifugo na bustani kwa mawaziri tunaoenda na vitendea kazi vyetu kupunguziwa gharama.
 
ila we mzee naamini kabisa utaanza kuchomwa hapa hapa duniani yaani utaanza kuteseka hapa hapa duniani halafu kuzimu ni muendelezo tu.

Hivi hizo hela mnazoiba hamuwaonei huruma watanzania?

Mamilioni ya watoto wa kitanzania wanasoma shule chakavu hapa nchini, huduma za afya ni ghali sana kwa mwananchi wa kawaida, mfumuko wa bei ni mkubwa sana kwa maisha ya Sasa, miradi lukuki inasuasua na kama inatekelezwa basi sio kwa wakati kwa sababu ya ufisadi, WIZI, uhujumu na ubadhirifu uliopitiliza uovu, lakini nyie mnaona sawa tu mateso ya watanzania kunufaisha matumbo

MUNGU ninayemuani ni mkuu sana hakika hataacha haya yapite katika JINA LA YESU KRISTU ALIYE HAI

kila kilichofichwa kitafunuliwa na hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe
 
Kila siku uko mbio kuleta maelezo marefu hapa lakini ukiulizwa maswali hutoi majibu, unakuja na maelezo ya kisiasa kudanganya wajinga ukidhani hili ni jukwaa la robots, kama unajiamini kweli tulia hapo utoe majibu ya maswali unayoulizwa.

Kaa chini ujiulize kwanini ni wizara yako ndio inayohusishwa na mambo ya hovyo zaidi badala ya wizara nyingine? usitake kutuaminisha hao wanaosema mabaya yanayohusu wizara yako wanakuchukia personally, ukweli una tatizo bahati yako unalindwa na your incompetent boss.

Mpina amekuwa akitoa mapungufu mengi kukuhusu kule bungeni, ukaishia kumjibu hovyo badala ya kumjibu kwa weledi, baadae ukashangilia sana kwa kugonga meza siku ile aliyoadhibiwa na yule spika mbovu anayewatumikia mafisadi.

Leo Mpina yuko nje ya bunge, ajabu bado wizara yako inahusishwa na madudu kila siku, umekuwa wa kujitokeza na kukanusha kama ndio mtindo mpya wa maisha yako huku ukiogopa kujibu maswali, ukijidanganya huo ndio utendaji, utendaji wa kiuoga!, acha usanii.

Naamini kesho tena utakuja kukanusha kingine, waziri wa fedha unayeona sifa kujiita unakuposheka!.
Je Kwa nini isiwe ni mambo ya kisiasa? Yaani Kwa nini hutaki maelezo yake unalazimisha maelezo ya gazeti?
 
Back
Top Bottom