Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

Muheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba, tatizo lako kubwa ni kwamba, huwa unaanzisha mada humu JF, na watu wakikushushia nondo kukuonyesha umetudanganya kiasi gani, huwa hurudi kujibu hoja. Unaingia mitini na kuanzisha uzi mwingine wenye uelekeo ule ule. Mwisho wa siku wenye akili tunajua tu UNATUINGIZA CHAKA..!!

Na kwa hili, NIPASHE wakiamua kwenda deep na kurudi na maushahidi, mtaishia kulifungia kama mlivyofanya kwa gazeti la motomoto bada ya kuripoti kuwa mmeuza Ngorongoro. Mlikana na mmiliki wa gazeti la motomoto bwana Stanley Katabalo, akauwawa.
Nondo jf? 😂
Wengi weupe sana, hawajui mengi hata ya kawaida. Japo wapo walio vizuri

Lakini unapaswa ufahamu hili kanusho hajaliweka jf tu kaweka kwenye mitandao yote anayotumia, alianza kuweka Twitter. Ukisema ajibu kila comment si atatumia siku nzima kuzunguma Twitter, insta na jf ili kujibu alichoweka
 
PUUZENI TAARIFA YA NIPASHE, HAKUNA UCHOTAJI FEDHA BOT, HUU NI MWENDELEZO WA KUZUA TAHARUKI KWA MAKUSUDI, BOT INASIMAMIA KWA UMAKINI SANA SHERIA ZA NCHI NA MIIKO YA BENKI KUU ZOTE DUNIANI.

Nimesoma taarifa hiyo ambayo inatokana na uchambuzi wa NGO iitwayo WAJIBU inayoongozwa na Mzee Ludovic Uttoh, CAG Mstaafu. Kwa ujumla maelezo ya taarifa hiyo yanaeleweka na hayana utata wowote, hivyo sijui kwa nini mwandishi wa Nipashe ameeleza kuwa KUNA UTATA BoT.

Taarifa imeelezea suala ambalo ni la kawaida na huwa linafanyika kila mwaka kutokana na Sheria ya BoT inayoruhusu kutoa advances or Short Term Loans kwa Serikali ili kukidhi mahitaji ya matumizi ambayo yanakuwa hayajapata mapato. Kwa mujibu wa kifungu cha 34 hadi 37 cha BoT Act, Serikali inaruhusiwa kukopa hadi 18% ya makusanyo halisi ya ndani ya mwaka uliopita. HILI LIMEKUWA LIKIFANYIKA HIVYO TANGU BOT IANZISHWE, BOT NI BENKI YA SERIKALI, SERIKALI UCHUKUA ADVANCE KWA MUJIBU WA SHERIA BADALA YA KUKOPA KWA RIBA KUBWA KUTOKA BENKI ZA KIBIASHARA.

Hivyo, kwa mwaka 2022/23, Serikali ilikuwa inaweza kukopa BoT kiasi kinachofikia TZS. 4.5 trillion. Hivyo, taarifa ya kuwepo kwa mkopo wa TZS. 1.7 trilioni ni suala ambalo liko ndani ya wigo unaokubalika kisheria. Kiasi hicho kilipofika mwisho wa Mwaka kilijumuishwa kwenye Treasury Bonds za Mwaka husika ambazo zinaendelea kulipia riba kama sehemu ya mikopo ya ndani.

Utaratibu huo ni wa kawaida na ufanyika kwa Benki Kuu za nchi nyingi duniani, pindi Serikali inapohitaji Fedha za kugharamia Bajeti wakati bado inaendelea kujipanga na kukusanya mapato kutoka katika vyanzo mbalimbali. Ndio maana hata IMF waliridhika kuwa BoT na Serikali wamezingatia Sheria na taratibu za kimataifa kama inavyotakiwa. Kutokana na uzingatiwaji wa Sheria hizo, Bodi ya IMF waliridhia kutoa USD. 300 milioni kwa mwaka 2023/24 na Benki ya Dunia waliridhia kutoa USD. 750 milioni kwa mwaka 2023/24 kwa kuwa tathmini ya Pili ya program ya IMF iliyofanyika Desemba 2023 iliangalia masuala mbalimbali yakiwemo ya mapato, matumizi, madeni, uzingatiwaji wa Sheria ya BoT, ukuaji wa uchumi, mfumuko wa bei, urari wa biashara, thamani ya shilingi na usimamizi wa masoko ya fedha nchini.

Kutokana na maelezo haya, nadhani mwandishi wa gazeti la Nipashe hakupaswa kusema kuwa kuna utata BOT tena bila hata kuulizia au kuomba ufafanuzi kutoka BoT. Inawezekana aliandika kwa nia ovu ya kuupotosha umma, kuidhalilisha BoT na kusababisha taharuki kwa jamii. Aidha, inawezekana mwandishi ameandika kwa kutojua Sheria suala ambalo angeuliza angepewa ufafanuzi unaotakiwa.

Kutokana na maelezo hayo, BoT itaandaa taarifa kwa umma na kukanusha na kutoa elimu kuwa hakuna utata wowote uliopo kutokana na taarifa hizo bali ni suala la kawaida ambalo Serikali inaruhusiwa kukopa kwa kuzingatia ukomo wa 18% ya mapato halisi ya mwaka uliopita, kama ilivyo kwa Sheria za nchi nyingine duniani. Hata ukomo huu upo kwenye viwango karibiana kati ya Nchi zote za EAC.

View attachment 3047891
Maelezo ni mengi uliyoyaandika ila naomba nikuulize swali moja, umejibu hoja yake kwa facts zisizokuwa na shaka?
 
PUUZENI TAARIFA YA NIPASHE, HAKUNA UCHOTAJI FEDHA BOT, HUU NI MWENDELEZO WA KUZUA TAHARUKI KWA MAKUSUDI, BOT INASIMAMIA KWA UMAKINI SANA SHERIA ZA NCHI NA MIIKO YA BENKI KUU ZOTE DUNIANI.

Nimesoma taarifa hiyo ambayo inatokana na uchambuzi wa NGO iitwayo WAJIBU inayoongozwa na Mzee Ludovic Uttoh, CAG Mstaafu. Kwa ujumla maelezo ya taarifa hiyo yanaeleweka na hayana utata wowote, hivyo sijui kwa nini mwandishi wa Nipashe ameeleza kuwa KUNA UTATA BoT.

Taarifa imeelezea suala ambalo ni la kawaida na huwa linafanyika kila mwaka kutokana na Sheria ya BoT inayoruhusu kutoa advances or Short Term Loans kwa Serikali ili kukidhi mahitaji ya matumizi ambayo yanakuwa hayajapata mapato. Kwa mujibu wa kifungu cha 34 hadi 37 cha BoT Act, Serikali inaruhusiwa kukopa hadi 18% ya makusanyo halisi ya ndani ya mwaka uliopita. HILI LIMEKUWA LIKIFANYIKA HIVYO TANGU BOT IANZISHWE, BOT NI BENKI YA SERIKALI, SERIKALI UCHUKUA ADVANCE KWA MUJIBU WA SHERIA BADALA YA KUKOPA KWA RIBA KUBWA KUTOKA BENKI ZA KIBIASHARA.

Hivyo, kwa mwaka 2022/23, Serikali ilikuwa inaweza kukopa BoT kiasi kinachofikia TZS. 4.5 trillion. Hivyo, taarifa ya kuwepo kwa mkopo wa TZS. 1.7 trilioni ni suala ambalo liko ndani ya wigo unaokubalika kisheria. Kiasi hicho kilipofika mwisho wa Mwaka kilijumuishwa kwenye Treasury Bonds za Mwaka husika ambazo zinaendelea kulipia riba kama sehemu ya mikopo ya ndani.

Utaratibu huo ni wa kawaida na ufanyika kwa Benki Kuu za nchi nyingi duniani, pindi Serikali inapohitaji Fedha za kugharamia Bajeti wakati bado inaendelea kujipanga na kukusanya mapato kutoka katika vyanzo mbalimbali. Ndio maana hata IMF waliridhika kuwa BoT na Serikali wamezingatia Sheria na taratibu za kimataifa kama inavyotakiwa. Kutokana na uzingatiwaji wa Sheria hizo, Bodi ya IMF waliridhia kutoa USD. 300 milioni kwa mwaka 2023/24 na Benki ya Dunia waliridhia kutoa USD. 750 milioni kwa mwaka 2023/24 kwa kuwa tathmini ya Pili ya program ya IMF iliyofanyika Desemba 2023 iliangalia masuala mbalimbali yakiwemo ya mapato, matumizi, madeni, uzingatiwaji wa Sheria ya BoT, ukuaji wa uchumi, mfumuko wa bei, urari wa biashara, thamani ya shilingi na usimamizi wa masoko ya fedha nchini.

Kutokana na maelezo haya, nadhani mwandishi wa gazeti la Nipashe hakupaswa kusema kuwa kuna utata BOT tena bila hata kuulizia au kuomba ufafanuzi kutoka BoT. Inawezekana aliandika kwa nia ovu ya kuupotosha umma, kuidhalilisha BoT na kusababisha taharuki kwa jamii. Aidha, inawezekana mwandishi ameandika kwa kutojua Sheria suala ambalo angeuliza angepewa ufafanuzi unaotakiwa.

Kutokana na maelezo hayo, BoT itaandaa taarifa kwa umma na kukanusha na kutoa elimu kuwa hakuna utata wowote uliopo kutokana na taarifa hizo bali ni suala la kawaida ambalo Serikali inaruhusiwa kukopa kwa kuzingatia ukomo wa 18% ya mapato halisi ya mwaka uliopita, kama ilivyo kwa Sheria za nchi nyingine duniani. Hata ukomo huu upo kwenye viwango karibiana kati ya Nchi zote za EAC.

View attachment 3047891
Hongera Mheshimiwa Waziri kwa ufafanuzi huo

Pia hongera kwa kulipa jukwaa hili heshima kubwa kwa kutoa ufafanuzi wa wizara kupitia jukwaa hili INGAwa unajuwa wapo watu wenye itikadi tabia na mienendo mizuri na mibaya NDANI ya Fake Id

Pia niendelee kupongeza juhudi mbalimbali za wiazara yako na serikali kwa ujumla katika kuletea wananchi maendeleo

Kwanza Naomba uendelee kutoa ufafanuzi wako pia ikiwezekana vitengo vyako vyote vitoe ufafanuzi mbalimbali humu

Pili niombe kwa vile umetoa ufafanuzi humu kwa Nia njema Naomba uwe mvumilivu pia kwa michango ya wanajukwaa na ukipata nafasi UWEZE kujibu baadhi ,
Tunajua majukumu makubwa uliyonayo Ila ni vizuri ukapata nafasi ukapitia

Humu Kuna watu wenye akili na ufahamu mkubwa wa masuala ya kiuchumi


Ila Kuna wengine wamezoea kukusoa na kulalamika tu bila kutoa suluhu ya matatizo na kuunganisha chuki BINAFSI matusi kejeli ,
Naomba na hao uwavumilie pia.

Mwisho Hali ya uchumi wetu bado haiko vizuri mawazo yako BINAFSI na elimu yako Mheshimiwa waziri haitoshi kuleta mabadiliko chanya kiuchumi


Kubali tu kuwa mnyekekevu upokee mawazo ya watu wengine wenye NIA NJEMA na nchi yetu nzuri tuipendayo

Tutaendelea kutoa maoni yetu
 
Kila siku uko mbio kuleta maelezo marefu hapa lakini ukiulizwa maswali hutoi majibu, unakuja na maelezo ya kisiasa kudanganya wajinga ukidhani hili ni jukwaa la robots, kama unajiamini kweli tulia hapo utoe majibu ya maswali unayoulizwa.

Kaa chini ujiulize kwanini ni wizara yako ndio inayohusishwa na mambo ya hovyo zaidi badala ya wizara nyingine? usitake kutuaminisha hao wanaosema mabaya yanayohusu wizara yako wanakuchukia personally, ukweli una tatizo bahati yako unalindwa na your incompetent boss.

Mpina amekuwa akitoa mapungufu mengi kukuhusu kule bungeni, ukaishia kumjibu hovyo badala ya kumjibu kwa weledi, baadae ukashangilia sana kwa kugonga meza siku ile aliyoadhibiwa na yule spika mbovu anayewatumikia mafisadi.

Leo Mpina yuko nje ya buinge, ajabu bado wizara yako inahusishwa na madudu kila siku, umekuwa wa kujitokeza na kukanusha kama ndio mtindo mpya wa maisha yako huku ukiogopa kujibu maswali yetu, ukijidanganya huo ndio utendaji, utendaji gani wa kiuoga!, acha usanii.

Naamini kesho tena utakuja kukanusha kingine, waziri wa fedha unayeona sifa kujiita unakuposheka!.
Yuko hapo alipo kwa hisani ya yule Chura Kiziwi. Hivyo hajali chochote. Kweli hii nchi imepigwa.
 
Hongera Mheshimiwa Waziri kwa ufafanuzi huo

Pia hongera kwa kulipa jukwaa hili heshima kubwa kwa kutoa ufafanuzi wa wizara kupitia jukwaa hili INGAwa unajuwa wapo watu wenye itikadi tabia na mienendo mizuri na mibaya NDANI ya Fake Id

Pia niendelee kupongeza juhudi mbalimbali za wiazara yako na serikali kwa ujumla katika kuletea wananchi maendeleo

Kwanza Naomba uendelee kutoa ufafanuzi wako pia ikiwezekana vitengo vyako vyote vitoe ufafanuzi mbalimbali humu

Pili niombe kwa vile umetoa ufafanuzi humu kwa Nia njema Naomba uwe mvumilivu pia kwa michango ya wanajukwaa na ukipata nafasi UWEZE kujibu baadhi ,
Tunajua majukumu makubwa uliyonayo Ila ni vizuri ukapata nafasi ukapitia
Humu Kuna watu wenye akili na ufahamu mkubwa wa masuala ya kiuchumi
Ila Kuna wengine wamezoea kukusoa na kulalamika tu bila kutoa suluhu ya matatizo na kuunganisha chuki BINAFSI matusi kejeli ,
Naomba na hao uwavumilie pia.

Mwisho Hali ya uchumi wetu bado haiko vizuri mawazo yako BINAFSI na elimu yako Mheshimiwa waziri haitoshi kuleta mabadiliko chanya kiuchumi
Kubali tu kuwa mnyekekevu upokee mawazo ya watu wengine wenye NIA NJEMA na nchi yetu nzuri tuipendayo

Tutaendelea kutoa maoni yetu
Oya ntie, hili kanusho kaweka kila mtandao anaotumia, atawezaje kusoma na kujibu kila comment? Au unahisi kweka tu jf? Tumieni ubongo
 
Asante sana kwa ufafanuzi huu, this is good!, well done!.

Niliwahi kushauri, dawa ya uongo ni ukweli, uongo ukisemwa bila kukanushwa hugeuka ukweli.

Nimependa jinsi ulivyojitokeza in person kujibu na kukanusha, nashauri ijengee uwezo ile idara yako ya gvt communications pale wizarani, uongo ukitolewa Nipashe, ukanushwe Nipashe huku jf iwe ni cc only.
Kiukweli I was very right about you tangu enzi zile Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa! ila yale maswali yangu, hujawahigi kuyajibu, kila nikikuuliza unayakwepa na unapotea jumla!, naomba nisiyarudie usije ukapotea tena, uwepo wako humu una thamani kubwa kwa maslahi ya taifa kuliko hoja personal unazokwepa kuzijibu.
Nimefarijika sana kukuona.
P
Manina walai...hii nchi ina machawa.
 
Mh Waziri wakati wa Mapambio mnasema Ukusanyaji uko wa kutosha kodi matrilioni jadi mnaguka lengo.
Wananchi wazalendo wanapohisi pesa zao mnazipiga mnadai ni mikopo ya hapa na pale.

Yaani mkihojiwa tu ndio mnakuja na ufafanuzi wa vifungu vya sheria.
Hivyo, kwa mwaka 2022/23, Serikali ilikuwa inaweza kukopa BoT kiasi kinachofikia TZS. 4.5 trillion. Hivyo, taarifa ya kuwepo kwa mkopo wa TZS. 1.7 trilioni ni suala ambalo liko ndani ya wigo unaokubalika kisheria. Kiasi hicho kilipofika mwisho wa Mwaka kilijumuishwa kwenye Treasury Bonds za Mwaka husika ambazo zinaendelea kulipia riba kama sehemu ya mikopo ya ndani.
 
Basi akaweke huko anakoona hawezi kuulizwa maswali.. Au mnagawana naye hizo fedha wanazokwapua!?
Mm nimekusaidia kufikiria, kaweka mitandao yote anayotumia na of course ana huo uhuru
Sasa jiulize anaweza kujibu comments zote insta, Twitter na huku jf?
 
Mkuu Ngali, Ngalikihinja , inaonekana huyu ni mtoto wa mama, hachelewi kususa na kuingia mitini, hivyo twende nae taratibu, kitendo cha kujitokeza in personal kuja kukanusha timely, kinastahili pongezi na ku boost jf profile, tumshukuru kwa hili, ametuheshimisha, nasi tumuheshimu, tusimchokoe sana tukampoteza tena, watoto wa mama huwa hawachelewi kususa na kuzira!.
P
Kama nyakati zile aliaga kwa kuapa kwamba hatarudi tena humu. Na akatukana
 
Asante Mheshimiwa Waziri Dr. Mwigulu Nchemba Dr. Mwigulu Nchemba kwa ufafanuzi wako. Ninaunga mkono maelezo yako kuhusu utaratibu wa kisheria unaoruhusu Serikali kukopa kutoka BoT. Ni muhimu kwa umma kuelewa kuwa taratibu hizi ni za kawaida na zinafuata sheria za nchi na taratibu za kimataifa.

Ningependa kusisitiza umuhimu wa vyombo vya habari kufanya uchunguzi wa kina na kupata ufafanuzi kutoka kwa mamlaka husika kabla ya kuchapisha taarifa ambazo zinaweza kusababisha taharuki. Hii itasaidia kuzuia upotoshaji na kuhakikisha wananchi wanapata habari sahihi na zenye ukweli.

Naamini kuwa BoT itaendelea kutoa elimu kwa umma na kuweka wazi taratibu zake ili kuimarisha uaminifu na uwazi katika utendaji wake.
 
Kama kaweza kuweka kote ni wazi anaweza kujibu kote usimkatishe tamaa
Siamini unawaza sawa sawa kama wengine wanavyowaza
Kuweka post kwenye mitandao unayotumia ni ku-copy na ku-paste th
Ila comments unasoma moja moja, ww hiyo kazi ungeiweza? Usome waliocomment insta wote na uwajibu, usome Twitter na uwajibu na huku jf napo uwajibu
 
Back
Top Bottom