Puuzeni taarifa za uteuzi wangu. Mimi ni Mwanachama wa kawaida na wala sina cheo ndani ya CCM

Puuzeni taarifa za uteuzi wangu. Mimi ni Mwanachama wa kawaida na wala sina cheo ndani ya CCM

Asante kama umeelewa. sasa nataka nikujibu swali lako kwa kusema kuwa nikipewa nafasi ya kutumikia sehemu yoyote nipo tayari kufanya kwa moyo wangu wote na kwa weledi wa hali ya juu sana kwa ajili ya kuleta matokeo chanya.Lakini sipo jukwaani au kuandika jukwaani kwa ajili ya kupewa uteuzi .maana lazima ufahamu ya kuwa Uongozi unatoka kwa Mungu Mwenyewe.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom