Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupo wa kuniteua.We mpigadeki wa Lumumba nani akuteue?!
Lakini si vocha za uchawa unapata toka kwa mataniboi wanao chukua nauli ?Hayupo wa kuniteua.
Wewe omba omba labda uteuliwe kuendelea kupiga deki Lumumba.Hayupo wa kuniteua.
Kazi yangu ni kilimo na huko ndiko nipatiako riziki yangu.Lakini si vocha za uchawa unapata toka kwa mataniboi wanao chukua nauli ?
Cha msingi mkono uende kinywani.
Sawa mkuuAsante kama umeelewa. sasa nataka nikujibu swali lako kwa kusema kuwa nikipewa nafasi ya kutumikia sehemu yoyote nipo tayari kufanya kwa moyo wangu wote na kwa weledi wa hali ya juu sana kwa ajili ya kuleta matokeo chanya.Lakini sipo jukwaani au kuandika jukwaani kwa ajili ya kupewa uteuzi .maana lazima ufahamu ya kuwa Uongozi unatoka kwa Mungu Mwenyewe.
Wewe nilishakupuuza siku nyingi.Kuna mtu humu anakufahamu na alisema anafahamu hauopo timamu kiakili sasa nimeamini.
Ni kweli huyo ni mwezi mchangaKuna mtu humu anakufahamu na alisema anafahamu hauopo timamu kiakili sasa nimeamini.
Kila Ijumaa wanarushiwa 50kLakini si vocha za uchawa unapata toka kwa mataniboi wanao chukua nauli ?
Cha msingi mkono uende kinywani.
Wewe na uongo ni pete na kidole.Kila Ijumaa wanarushiwa 50k
Hakuna nilipojipa umuhimu.Na wewe unajipa umuhimu wala huna
Hii hata ephen_ anajuaWewe na uongo ni pete na kidole.
Lucas Mwashambwa nitumie huo mgaoHii hata ephen_ anajua
Lazizi wangu ephen waridi wa ❤️ wangu nakupendaa Sanaa.Achana na huyo tapeli na wala usimsikilize hata kidogo. .Lucas Mwashambwa nitumie huo mgao