UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Siyo tundu lisu huyo!Mwezi mchanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo tundu lisu huyo!Mwezi mchanga
Teuzi ni fursa lo.Amekula uteuzi, kapambana sana...
Kuna hoja huwa haujibu kabisa Luka. Hasa zinapokuwa mwiba kwako na serikali. Huwa inakuwaje? Huoni kuwa wewe ni chawa tu wa kawaida ?Ndugu zangu Watanzania,
Nimesikitika sana ,kuumia sana,kuhuzunika sana na kusononeshwa sana na taarifa za uongo,uzushi, uchonganishi na ufitini zilizoletwa humu jukwaani na mwana jukwaa zinazosema ya kuwa Mimi nimeteuliwa au kupewa nafasi ndani ya CCM.
Niseme ya kuwa taarifa hizo ni za uongo na hazina ukweli wa aina yoyote ile hata chembe.nilijaribu kutoa ripoti kuwa mada na andiko lile lilikuwa la uongo na kuomba mada ile ifutwe lakini kwa bahati mbaya bila kujuwa sababu zake andiko halikufutwa.
Najuwa lengo la andiko lile lilikuwa ni kutaka kujenga taswira na kupandikiza mawazo na hisia Mbaya kwa wana jukwaa kuonekana kuwa naandika hapa jukwaani kwa kuwa nalipwa au nipo hapa jukwaani kwa kazi maalumu inayotokana na malipo,jambo ambalo siyo la kweli na halina ukweli wa aina yoyote ile.
Niseme tu ya kuwa mimi silipwi na mtu wala chama kuwepo hapa jukwaani .sipo katika malipo ya aina yoyote ile na wala sijawahi kulipwa kufanya kazi ya kuandika hapa jukwaani. Nafanya nifanyayo kwa hiyari yangu,kwa uzalendo wangu kwa Taifa langu,upendo na mapenzi makubwa kwa chama changu cha CCM, imani yangu kubwa na isiyopimika katika mzani wa aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan pamoja na serikali yake.
Naandika kwa gharama zangu za muda,akili na pesa zangu mwenyewe.nanunua vocha kwa pesa zangu mwenyewe zinazotokana na jasho langu Mwenyewe. Kazi nayo fanya ni kazi ya kujitolea bure kabisa. Pamoja na matusi yote makubwa kwa madogo nayo tukanwa ,kejeli,kudhalilishwa na kutweza utu wangu bado naendelea kufanya kazi hii kwa kujitolea na kwa hiyari yangu Pasipo kuhitaji malipo zaidi ya kuusema ukweli tu.
Siwezi nikakaa kimya nikiona RAIS wangu anatukanwa au chama changu cha CCM kinashambuliwa au serikali yangu inachafuliwa au Taifa langu lina chafuliwa. Nipo tayari kutetea na hata ikibidi kusimama mwenyewe katika uwanja wa vita ya hoja bila matusi wala lugha ya udhalilishaji kwa wapinzani wangu.
Ndio Maana pamoja na kutukanwa matusi yote ,huwezi ukaniona nikimtukana mtu.
mimi najikita katika hoja na siyo matusi.ningekuwa najibu matusi basi ningekuwa nilishafungiwa humu jukwaani na kuwapa ushindi maadui zangu wanaotamani nipotee hata leo hii. Jambo ambalo limeshindikana kwa sababu nimeweza kuruka viunzi na mitego yao yote. Nimeishinda hofu na uoga na nimeishinda mitego ya maadui zangu. Nipo imara na tayari muda wote kuendelea na mapambano . Sirudi nyuma Zaidi ya kusonga mbele.
Wana CCM tusimame imara kuisemea na kuitetea serikali yetu na chama chetu.tutembee vifua mbele kwa sababu Rais wetu amefanya kazi kubwa sana zinazotupa nguvu ya kutembea vifua mbele na kueleza makubwa yaliyofanywa na serikali yetu na chama chetu.hakuna kukaa kinyonge wala kuogopa. Njooni uwanjani kishujaa ,ushindi upo upande wetu na watanzania wapo upande wetu.
Sisi ndio tumaini la watanzania,sisi ndio nuru ya Taifa hili,sisi ndio nyota ya matumaini.Tusimame pamoja kuwaunganisha watanzania na kuwaonyesha njia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Una kazi nyingine zaidi ya hii? Inayokuingizia kipato? Maana muda wote upo na kitendea kazi chako kuleta habari za kichawachawa. Ukiulizwa mambo ya masingi ambayo ccm inatuhumiwa kulitendea taifa hili haujibu!Mimi silipwi kitu chochote kile zaidi ya kufanya kazi yangu kwa uzalendo na kwa kujitolea
Weka namba bado wengine hatuna tukuchangie vocha unafanya Kaz iliyotukukaNaacha nafasi ili na wengine waweke namba zao.
Acha kumuita mwanamke wangu laaziz, nitakukata kidevu mchimba chumvi weweLazizi wangu ephen naomba usimuunge mkono huyo dalali na tapeli.
SiO kwanza unapiga mwano ili wakuu waone jitihada zapis tomu jamvini😅😅😅😅Ndugu zangu Watanzania,
Nimesikitika sana ,kuumia sana,kuhuzunika sana na kusononeshwa sana na taarifa za uongo,uzushi, uchonganishi na ufitini zilizoletwa humu jukwaani na mwana jukwaa zinazosema ya kuwa Mimi nimeteuliwa au kupewa nafasi ndani ya CCM.
Niseme ya kuwa taarifa hizo ni za uongo na hazina ukweli wa aina yoyote ile hata chembe.nilijaribu kutoa ripoti kuwa mada na andiko lile lilikuwa la uongo na kuomba mada ile ifutwe lakini kwa bahati mbaya bila kujuwa sababu zake andiko halikufutwa.
Najuwa lengo la andiko lile lilikuwa ni kutaka kujenga taswira na kupandikiza mawazo na hisia Mbaya kwa wana jukwaa kuonekana kuwa naandika hapa jukwaani kwa kuwa nalipwa au nipo hapa jukwaani kwa kazi maalumu inayotokana na malipo,jambo ambalo siyo la kweli na halina ukweli wa aina yoyote ile.
Niseme tu ya kuwa mimi silipwi na mtu wala chama kuwepo hapa jukwaani .sipo katika malipo ya aina yoyote ile na wala sijawahi kulipwa kufanya kazi ya kuandika hapa jukwaani. Nafanya nifanyayo kwa hiyari yangu,kwa uzalendo wangu kwa Taifa langu,upendo na mapenzi makubwa kwa chama changu cha CCM, imani yangu kubwa na isiyopimika katika mzani wa aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan pamoja na serikali yake.
Naandika kwa gharama zangu za muda,akili na pesa zangu mwenyewe.nanunua vocha kwa pesa zangu mwenyewe zinazotokana na jasho langu Mwenyewe. Kazi nayo fanya ni kazi ya kujitolea bure kabisa. Pamoja na matusi yote makubwa kwa madogo nayo tukanwa ,kejeli,kudhalilishwa na kutweza utu wangu bado naendelea kufanya kazi hii kwa kujitolea na kwa hiyari yangu Pasipo kuhitaji malipo zaidi ya kuusema ukweli tu.
Siwezi nikakaa kimya nikiona RAIS wangu anatukanwa au chama changu cha CCM kinashambuliwa au serikali yangu inachafuliwa au Taifa langu lina chafuliwa. Nipo tayari kutetea na hata ikibidi kusimama mwenyewe katika uwanja wa vita ya hoja bila matusi wala lugha ya udhalilishaji kwa wapinzani wangu.
Ndio Maana pamoja na kutukanwa matusi yote ,huwezi ukaniona nikimtukana mtu.
mimi najikita katika hoja na siyo matusi.ningekuwa najibu matusi basi ningekuwa nilishafungiwa humu jukwaani na kuwapa ushindi maadui zangu wanaotamani nipotee hata leo hii. Jambo ambalo limeshindikana kwa sababu nimeweza kuruka viunzi na mitego yao yote. Nimeishinda hofu na uoga na nimeishinda mitego ya maadui zangu. Nipo imara na tayari muda wote kuendelea na mapambano . Sirudi nyuma Zaidi ya kusonga mbele.
Wana CCM tusimame imara kuisemea na kuitetea serikali yetu na chama chetu.tutembee vifua mbele kwa sababu Rais wetu amefanya kazi kubwa sana zinazotupa nguvu ya kutembea vifua mbele na kueleza makubwa yaliyofanywa na serikali yetu na chama chetu.hakuna kukaa kinyonge wala kuogopa. Njooni uwanjani kishujaa ,ushindi upo upande wetu na watanzania wapo upande wetu.
Sisi ndio tumaini la watanzania,sisi ndio nuru ya Taifa hili,sisi ndio nyota ya matumaini.Tusimame pamoja kuwaunganisha watanzania na kuwaonyesha njia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi siyo kilaza kama weweImekuwaje hujateuliwa? Maana vilaza wa aina yako huko ccm ndio wanapata vyeo.
Kweli kiswahili kinakuakulipwa posho ya kujikomba ambayo ni sh 1500 kwa kila mjikombo
Ukosefu wa utulivuKweli kiswahili kinakua
Weka tu ya kwako .Unalia kwa kububujikwa na machozi ukiwa mbozi au Uyole au Songwe?
Weka no ya simu ukumbukwe huku unasikitika sana.
Akili kama hii unateua jinga kulipeleka wapi? Kafie mbali jinga na kuwadi la matapeli. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketeeNdugu zangu Watanzania,
Nimesikitika sana ,kuumia sana,kuhuzunika sana na kusononeshwa sana na taarifa za uongo,uzushi, uchonganishi na ufitini zilizoletwa humu jukwaani na mwana jukwaa zinazosema ya kuwa Mimi nimeteuliwa au kupewa nafasi ndani ya CCM.
Niseme ya kuwa taarifa hizo ni za uongo na hazina ukweli wa aina yoyote ile hata chembe.nilijaribu kutoa ripoti kuwa mada na andiko lile lilikuwa la uongo na kuomba mada ile ifutwe lakini kwa bahati mbaya bila kujuwa sababu zake andiko halikufutwa.
Najuwa lengo la andiko lile lilikuwa ni kutaka kujenga taswira na kupandikiza mawazo na hisia Mbaya kwa wana jukwaa kuonekana kuwa naandika hapa jukwaani kwa kuwa nalipwa au nipo hapa jukwaani kwa kazi maalumu inayotokana na malipo,jambo ambalo siyo la kweli na halina ukweli wa aina yoyote ile.
Niseme tu ya kuwa mimi silipwi na mtu wala chama kuwepo hapa jukwaani .sipo katika malipo ya aina yoyote ile na wala sijawahi kulipwa kufanya kazi ya kuandika hapa jukwaani. Nafanya nifanyayo kwa hiyari yangu,kwa uzalendo wangu kwa Taifa langu,upendo na mapenzi makubwa kwa chama changu cha CCM, imani yangu kubwa na isiyopimika katika mzani wa aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan pamoja na serikali yake.
Naandika kwa gharama zangu za muda,akili na pesa zangu mwenyewe.nanunua vocha kwa pesa zangu mwenyewe zinazotokana na jasho langu Mwenyewe. Kazi nayo fanya ni kazi ya kujitolea bure kabisa. Pamoja na matusi yote makubwa kwa madogo nayo tukanwa ,kejeli,kudhalilishwa na kutweza utu wangu bado naendelea kufanya kazi hii kwa kujitolea na kwa hiyari yangu Pasipo kuhitaji malipo zaidi ya kuusema ukweli tu.
Siwezi nikakaa kimya nikiona RAIS wangu anatukanwa au chama changu cha CCM kinashambuliwa au serikali yangu inachafuliwa au Taifa langu lina chafuliwa. Nipo tayari kutetea na hata ikibidi kusimama mwenyewe katika uwanja wa vita ya hoja bila matusi wala lugha ya udhalilishaji kwa wapinzani wangu.
Ndio Maana pamoja na kutukanwa matusi yote ,huwezi ukaniona nikimtukana mtu.
mimi najikita katika hoja na siyo matusi.ningekuwa najibu matusi basi ningekuwa nilishafungiwa humu jukwaani na kuwapa ushindi maadui zangu wanaotamani nipotee hata leo hii. Jambo ambalo limeshindikana kwa sababu nimeweza kuruka viunzi na mitego yao yote. Nimeishinda hofu na uoga na nimeishinda mitego ya maadui zangu. Nipo imara na tayari muda wote kuendelea na mapambano . Sirudi nyuma Zaidi ya kusonga mbele.
Wana CCM tusimame imara kuisemea na kuitetea serikali yetu na chama chetu.tutembee vifua mbele kwa sababu Rais wetu amefanya kazi kubwa sana zinazotupa nguvu ya kutembea vifua mbele na kueleza makubwa yaliyofanywa na serikali yetu na chama chetu.hakuna kukaa kinyonge wala kuogopa. Njooni uwanjani kishujaa ,ushindi upo upande wetu na watanzania wapo upande wetu.
Sisi ndio tumaini la watanzania,sisi ndio nuru ya Taifa hili,sisi ndio nyota ya matumaini.Tusimame pamoja kuwaunganisha watanzania na kuwaonyesha njia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas, mbona ingalitosha tu kama ungalitumia sentensi moja tu, tena na yenye aya kama mbili kufikisha ujumbe wa kile ambacho wewe unaamini kuwa ni uzushi wa taarifa!?Ndugu zangu Watanzania,
Nimesikitika sana ,kuumia sana,kuhuzunika sana na kusononeshwa sana na taarifa za uongo,uzushi, uchonganishi na ufitini zilizoletwa humu jukwaani na mwana jukwaa zinazosema ya kuwa Mimi nimeteuliwa au kupewa nafasi ndani ya CCM.
Niseme ya kuwa taarifa hizo ni za uongo na hazina ukweli wa aina yoyote ile hata chembe.nilijaribu kutoa ripoti kuwa mada na andiko lile lilikuwa la uongo na kuomba mada ile ifutwe lakini kwa bahati mbaya bila kujuwa sababu zake andiko halikufutwa.
Najuwa lengo la andiko lile lilikuwa ni kutaka kujenga taswira na kupandikiza mawazo na hisia Mbaya kwa wana jukwaa kuonekana kuwa naandika hapa jukwaani kwa kuwa nalipwa au nipo hapa jukwaani kwa kazi maalumu inayotokana na malipo,jambo ambalo siyo la kweli na halina ukweli wa aina yoyote ile.
Niseme tu ya kuwa mimi silipwi na mtu wala chama kuwepo hapa jukwaani .sipo katika malipo ya aina yoyote ile na wala sijawahi kulipwa kufanya kazi ya kuandika hapa jukwaani. Nafanya nifanyayo kwa hiyari yangu,kwa uzalendo wangu kwa Taifa langu,upendo na mapenzi makubwa kwa chama changu cha CCM, imani yangu kubwa na isiyopimika katika mzani wa aina yoyote ile kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan pamoja na serikali yake.
Naandika kwa gharama zangu za muda,akili na pesa zangu mwenyewe.nanunua vocha kwa pesa zangu mwenyewe zinazotokana na jasho langu Mwenyewe. Kazi nayo fanya ni kazi ya kujitolea bure kabisa. Pamoja na matusi yote makubwa kwa madogo nayo tukanwa ,kejeli,kudhalilishwa na kutweza utu wangu bado naendelea kufanya kazi hii kwa kujitolea na kwa hiyari yangu Pasipo kuhitaji malipo zaidi ya kuusema ukweli tu.
Siwezi nikakaa kimya nikiona RAIS wangu anatukanwa au chama changu cha CCM kinashambuliwa au serikali yangu inachafuliwa au Taifa langu lina chafuliwa. Nipo tayari kutetea na hata ikibidi kusimama mwenyewe katika uwanja wa vita ya hoja bila matusi wala lugha ya udhalilishaji kwa wapinzani wangu.
Ndio Maana pamoja na kutukanwa matusi yote ,huwezi ukaniona nikimtukana mtu.
mimi najikita katika hoja na siyo matusi.ningekuwa najibu matusi basi ningekuwa nilishafungiwa humu jukwaani na kuwapa ushindi maadui zangu wanaotamani nipotee hata leo hii. Jambo ambalo limeshindikana kwa sababu nimeweza kuruka viunzi na mitego yao yote. Nimeishinda hofu na uoga na nimeishinda mitego ya maadui zangu. Nipo imara na tayari muda wote kuendelea na mapambano . Sirudi nyuma Zaidi ya kusonga mbele.
Wana CCM tusimame imara kuisemea na kuitetea serikali yetu na chama chetu.tutembee vifua mbele kwa sababu Rais wetu amefanya kazi kubwa sana zinazotupa nguvu ya kutembea vifua mbele na kueleza makubwa yaliyofanywa na serikali yetu na chama chetu.hakuna kukaa kinyonge wala kuogopa. Njooni uwanjani kishujaa ,ushindi upo upande wetu na watanzania wapo upande wetu.
Sisi ndio tumaini la watanzania,sisi ndio nuru ya Taifa hili,sisi ndio nyota ya matumaini.Tusimame pamoja kuwaunganisha watanzania na kuwaonyesha njia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.