LGE2024 Pwani: CHADEMA wamsaka Mgombea aliyechukua Fomu Kibaha, wadai sio Mtu wao

LGE2024 Pwani: CHADEMA wamsaka Mgombea aliyechukua Fomu Kibaha, wadai sio Mtu wao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.

Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .

"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.

Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.

Chanzo: Wasafi FM
 
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.

Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .

"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.

Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.

Chanzo: Wasafi FM
Ni mgombea wa CCM kachukua, haiwezekani nimefika tu ofisi kwa VEO nimwambie anipe form ya CCM na aitoe bila utambulisho
 
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.

Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .

"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.

Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.

Chanzo: Wasafi FM


Inabidi kuingia ofisini kuchukua fomu kwa staili hii ya kule Rungwe :

Nguvu ya umma mtaa kwa mtaa hadi kieleweke


View: https://m.youtube.com/watch?v=n-Nl9-Iy9OQ
Wananchi wakimsindikiza mtia nia wa CHADEMA
 
Mama anaupiga mwingi eti 🤣🤣🤣
Wana ujinga mwingi sana hawa, na huwa wanajuaga spirit ya nguvu ya umma.
 
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.

Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .

"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.

Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.

Chanzo: Wasafi FM
Huo ni utoto sasa......
 
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.

Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .

"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.

Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.

Chanzo: Wasafi FM
Kuna afande nimemuelewa sana , kumbe jeshi la police inawatu wako makini sana
 
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.

Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .

"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.

Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.

Chanzo: Wasafi FM
Hata mwaka 2019 hii ilikuwa moja wapo ya mbinu iliyotumika kuwanyima wagombea wa Chadema kwa madai kuwa kuna mtu ameshachukua,hivi CCM wataacha lini huu usenge?
 
CUF Zanzibar ndio walikuwa wanajuwa kudeal na hawa mapunguwani wa vcm, tenganisha kichwa na kiwiliwili kama mtasikia tena huu ujinga.
 
Back
Top Bottom