Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa atachukuaje fomu bila kumpa hela Mbowe? Hatukubali arudishe hiyo fomu.yaani mnamkataa mwenzenu ccm anahusika na nini hapo sasa?
Acha uchocheziSasa atachukuaje fomu bila kumpa hela Mbowe? Hatukubali arudishe hiyo fomu.
Hawajui kama dhulma ni dhulma malipo akheraCcm wana mambo ya kipuuzi sana
DuuuhLisu tafunga (atawatia jela ) mpk kuku wa huyu aliyefoji saini na kuchukua fomu.
Mmemwelewa vizuri lakini asemayo huyo mtu hapo juu?Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.
Ndiyo maana CCM sasa hivi ni kama inalazimisha pawepo na machafuko nchiniFitna za ccm ni za kibwege sana
Ccm wana mambo ya kipuuzi sana
Chadema wanachekesha. Kwa vichekesho kama hivi bonyeza..... Chadema.comZoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.
Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .
"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.
Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.
Chanzo: Wasafi FM
Inabidi kuingia ofisini kuchukua fomu kwa staili hii ya kule Rungwe :
Nguvu ya umma mtaa kwa mtaa hadi kieleweke
View: https://m.youtube.com/watch?v=n-Nl9-Iy9OQ
Wananchi wakimsindikiza mtia nia wa CHADEMA
Inabidi kuingia ofisini kuchukua fomu kwa staili hii ya kule Rungwe :
Nguvu ya umma mtaa kwa mtaa hadi kieleweke
View: https://m.youtube.com/watch?v=n-Nl9-Iy9OQ
Wananchi wakimsindikiza mtia nia wa CHADEMA
Inabidi kuingia ofisini kuchukua fomu kwa staili hii ya kule Rungwe :
Nguvu ya umma mtaa kwa mtaa hadi kieleweke
View: https://m.youtube.com/watch?v=n-Nl9-Iy9OQ
Wananchi wakimsindikiza mtia nia wa CHADEMA
Huyo anayevuruga hapo alitakiwa acheze kichapoFitna za ccm ni za kibwege sana
😂😂😂Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.
Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .
"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.
Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.
Chanzo: Wasafi FM
Chadema hawawezi kumzidi mamako Kwa ubwege maana anekuzaa bwege mwenzake.lakini ubwege wa chadema ni wa kiwango cha lami hawajitambui