LGE2024 Pwani: CHADEMA wamsaka Mgombea aliyechukua Fomu Kibaha, wadai sio Mtu wao

LGE2024 Pwani: CHADEMA wamsaka Mgombea aliyechukua Fomu Kibaha, wadai sio Mtu wao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Lisu atawafunga (atawatia jela ) mpk kuku wa huyu aliyefoji saini na kuchukua fomu.
 
Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.
Mmemwelewa vizuri lakini asemayo huyo mtu hapo juu?
Fitna za ccm ni za kibwege sana
Ndiyo maana CCM sasa hivi ni kama inalazimisha pawepo na machafuko nchini
Ccm wana mambo ya kipuuzi sana
 
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.

Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .

"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.

Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.

Chanzo: Wasafi FM
Chadema wanachekesha. Kwa vichekesho kama hivi bonyeza..... Chadema.com
 
Zoezi la kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe wa serikali ya mtaa kwenye Mtaa wa Mailimoja B halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani limelazimika kusimama kwa zaidi ya masaa matatu baada ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) kufika kwenye ofisi hiyo kwaajili ya kuchukua fomu na kuambiwa tayari kuna mgombea kutoka chama hicho ameshachukua fomu ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti.

Katibu wa CHADEMA tawi la Tangini Leons Kaloli amesema wamefika Ofisi ya Mtaa Mailimoja B Oktoba 28 majira ya saa tano na kuonana na mtendaji Suzana Awiti kuchukua fomu na kuambiwa kuwa tayari Kuna mgombea wao ameshachukua fomu wakati hawamfahamu .

"Hiyo barua wanadai kuwa mimi ndiye nimeisaini lakini hiyo saini nilivyoingalia sio ya kwangu imefojiwa hivyo ni lazima nichukue hatua za kisheria" alisema.

Baada ya mvutano wa muda mrefu Afisa uchaguzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkhusin Saidi alipigiwa simu na kufika kwenye ofisi hiyo ili kulitolea ufafanuzi suala hilo ambapo Katika ufafanuzi wake afisa huyo alisema kuwa mtu anayegawa fomu hawezi kutambua chama kipi kina mhuri gani na badala yake kazi yake ni kugawa fomu.

Chanzo: Wasafi FM
😂😂😂
CCM kiboko aisee..
 
Back
Top Bottom