LGE2024 Pwani: CHADEMA wamsaka Mgombea aliyechukua Fomu Kibaha, wadai sio Mtu wao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Lisu atawafunga (atawatia jela ) mpk kuku wa huyu aliyefoji saini na kuchukua fomu.
 
Mmemwelewa vizuri lakini asemayo huyo mtu hapo juu?
Fitna za ccm ni za kibwege sana
Ndiyo maana CCM sasa hivi ni kama inalazimisha pawepo na machafuko nchini
Ccm wana mambo ya kipuuzi sana
 
Chadema wanachekesha. Kwa vichekesho kama hivi bonyeza..... Chadema.com
 
Inabidi kuingia ofisini kuchukua fomu kwa staili hii ya kule Rungwe :

Nguvu ya umma mtaa kwa mtaa hadi kieleweke


View: https://m.youtube.com/watch?v=n-Nl9-Iy9OQWananchi wakimsindikiza mtia nia wa CHADEMA
πŸ˜‚πŸ€ πŸ‘ Hawa ni watu wangu wa nguvu wa Mbozi Mkoa wa Songwe na siyo Rungwe kama ulivyoandika?

Hilo banjo la Nguvu la wanyiha!
β€οΈπŸ€©πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
CCM kiboko aisee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…