Pwani: Mtoto wa Tembo alivyonasa Kibindu, Halmashauri ya Chalinze

Mama yake angewakuta apo saivi tungekua na list ya askari waliopoteza maisha in the line fire
Haaha kabisa mkuuu tuliwahi kuwa mafunzoni sehemu mtoto tembo akaanza kutuletea nuksi anatufata kutukimbilia mama ake akaona sio kweli wanamfanyaje mwanngu aliharibu sana hali ya hewa lile eneo mpaka kuondoka watu tuliteseka sana
 
Kweli wanastahili pongezi Kwa sasa watakuwa ma,,,,,,,,ko bar kabla ya kufika Kwamsanja Kwa wadigo wenzangu wajipongeze maana kwenye list kina mangi mmoja
 
Hii ni kujipa promo na ndio sababu wamejilist. Huyo mtoto tembo wamemswaga mpaka kwenye hilo dimbwi.
Tembo wakubwa wasingeondoka mpaka wafukuzwe na hao ranger. Pia tazama mazingira ya dimbwi, tembo wakubwa wangevuruga sana kabla ya huo uokozi wanaodai.
 
Sawa hata ukiwataja hao Askari pori ma migambo hakuna offer au zawadi yoyote hayo ni majukumu yao waendelee kufanya kazi kwa bidii na maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…