Huwezi ukahalalisha jinai sababu ya ajira hao ni wahalifu kama wahalifu wengine hatua za kisheria zifuate mkondo wake.ajira hakuna watu wanajiongeza.
Jinai,jinai kitu gani hata viongozi wakubwa wanafanya jinai tena kubwa na mbaya.Huwezi ukahalalisha jinai sababu ya ajira hao ni wahalifu kama wahalifu wengine hatua za kisheria zifuate mkondo wake.
Hapo ndio utanaswa wakiziingiza tu kwenye mashineHata me nataka huo mtambo wa kufyatua pesa bandia. Maisha magumu nimechoka nkipata nafyatua trillion 50 naenda deposit bot ama world bank
Kwa jinsi walivyo, hizo noti hata wao watakuwa wamezitumia bila kujuaJeshi la Polisi Mkoani Pwani limekamata noti za fedha zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 13 za bandia pamoja na Mtambo wa kutengeneza pesa hizo Maeneo ya Goba jijini Dar es salaam ambapo baadhi ya noti hizo zilishaanza kutumika mitaani ikiwemo Msata, Chalinze Mkoani Pwani
Pesa bandia haipelekwi benki mkuu.Hata me nataka huo mtambo wa kufyatua pesa bandia. Maisha magumu nimechoka nkipata nafyatua trillion 50 naenda deposit bot ama world bank
Ukipata trion 50 unakufa hapo hapo maana huu unanunua Tanzania nzimaHata me nataka huo mtambo wa kufyatua pesa bandia. Maisha magumu nimechoka nkipata nafyatua trillion 50 naenda deposit bot ama world bank
dollar bilion 20 mkuu ununue taifa letu?Ukipata trion 50 unakufa hapo hapo maana huu unanunua Tanzania nzima
Usichukulie serious mambo ya mitandao, ilishawahi ona wapi kuna nchi imeuzwa?dollar bilion 20 mkuu ununue taifa letu?