Pwani: Polisi wakamata noti bandia za milioni 13

Pwani: Polisi wakamata noti bandia za milioni 13

uhalisia wa noti halali upo kwenye karatasi na wino unaotumika kuchapisha noti. Noti halali ukiikunja inarudi na pia ukitumia UV light inaonekana rangi tofauti.
UV light mimi siijui wala sijawahi kuiona. Sijui hata inauzwa duka gani. Tutapigwa sana awamu hii
 
Kuelekea uchaguzi wa wizi wakura 2025 tutakutana na mengi, tuwe wavumilivu.
Mama yule uwezo wa kutafsiri na kuyaona haya hana.
 

Jeshi la Polisi Mkoani Pwani limekamata noti za fedha zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 13 za bandia pamoja na Mtambo wa kutengeneza pesa hizo Maeneo ya Goba jijini Dar es salaam ambapo baadhi ya noti hizo zilishaanza kutumika mitaani ikiwemo Msata, Chalinze Mkoani Pwani

Tukio hilo limekwenda sambamba na kuwakamata watu wanne wanaotuhumiwa kuhusika na mnyororo wa matumizi na uzalishaji wa noti hizo bandia.

Baadhi ya wakazi mjini Kibaha wamesema hawajui noti bandia ni ipi na halali ni ipi kutokana na kutojua utofauti wake kirahisi machoni.
Bado mitambo mizuri zaidi na ya kisasa kama hii, watakutana nazo huko* Arusha na Kilimanjaro.*
Unguja na Pemba watakuwa wamelala usingizi.
 

Jeshi la Polisi Mkoani Pwani limekamata noti za fedha zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 13 za bandia pamoja na Mtambo wa kutengeneza pesa hizo Maeneo ya Goba jijini Dar es salaam ambapo baadhi ya noti hizo zilishaanza kutumika mitaani ikiwemo Msata, Chalinze Mkoani Pwani

Tukio hilo limekwenda sambamba na kuwakamata watu wanne wanaotuhumiwa kuhusika na mnyororo wa matumizi na uzalishaji wa noti hizo bandia.

Baadhi ya wakazi mjini Kibaha wamesema hawajui noti bandia ni ipi na halali ni ipi kutokana na kutojua utofauti wake kirahisi machoni.
Aisee
Hao wanaturudishia uchumi wetu nyuma sana sana
 
Ndio unakutana nazo kama tatu ivi utakausha 😂😂😂😂au utavizia kwa mangi usiku umuuzie mzigo.
 
Back
Top Bottom