BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Wana akili sana hawa.
Naagiza waachiwe mara moja.
Naagiza waachiwe mara moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UV light mimi siijui wala sijawahi kuiona. Sijui hata inauzwa duka gani. Tutapigwa sana awamu hiiuhalisia wa noti halali upo kwenye karatasi na wino unaotumika kuchapisha noti. Noti halali ukiikunja inarudi na pia ukitumia UV light inaonekana rangi tofauti.
Kwa akili hizo za kitoto sahau ata kunusaHata me nataka huo mtambo wa kufyatua pesa bandia. Maisha magumu nimechoka nkipata nafyatua trillion 50 naenda deposit bot ama world bank
Tubeliht hutoa UV light hasa ikiwa ina rangi ya zambarauUV light mimi siijui wala sijawahi kuiona. Sijui hata inauzwa duka gani. Tutapigwa sana awamu hii
Nafikiri ambacho hautakutana nacho ni mama lishe kua na uv light at the ready ili kukagua notiTubeliht hutoa UV light hasa ikiwa ina rangi ya zambarau
Bado mitambo mizuri zaidi na ya kisasa kama hii, watakutana nazo huko* Arusha na Kilimanjaro.*
Jeshi la Polisi Mkoani Pwani limekamata noti za fedha zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 13 za bandia pamoja na Mtambo wa kutengeneza pesa hizo Maeneo ya Goba jijini Dar es salaam ambapo baadhi ya noti hizo zilishaanza kutumika mitaani ikiwemo Msata, Chalinze Mkoani Pwani
Tukio hilo limekwenda sambamba na kuwakamata watu wanne wanaotuhumiwa kuhusika na mnyororo wa matumizi na uzalishaji wa noti hizo bandia.
Baadhi ya wakazi mjini Kibaha wamesema hawajui noti bandia ni ipi na halali ni ipi kutokana na kutojua utofauti wake kirahisi machoni.
Njia rahisi ni kuikunja kwnye kiganja cha mkono ikijifungua ni halali ila ikikataa sio halaliNafikiri ambacho hautakutana nacho ni mama lishe kua na uv light at the ready ili kukagua noti
Hatari sanaajira hakuna watu wanajiongeza.
Aisee
Jeshi la Polisi Mkoani Pwani limekamata noti za fedha zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 13 za bandia pamoja na Mtambo wa kutengeneza pesa hizo Maeneo ya Goba jijini Dar es salaam ambapo baadhi ya noti hizo zilishaanza kutumika mitaani ikiwemo Msata, Chalinze Mkoani Pwani
Tukio hilo limekwenda sambamba na kuwakamata watu wanne wanaotuhumiwa kuhusika na mnyororo wa matumizi na uzalishaji wa noti hizo bandia.
Baadhi ya wakazi mjini Kibaha wamesema hawajui noti bandia ni ipi na halali ni ipi kutokana na kutojua utofauti wake kirahisi machoni.
Duuh, hata mimi siwezi kutofautisha aisee
Kuna mtu aliniambia pia, anasema bandia ukiikunja haikujuki kama inavyofanya ya kawaida ila sijui kama ni kweliInakuwa na texture tofauti
Kuna mtu aliniambia pia, anasema bandia ukiikunja haikujuki kama inavyofanya ya kawaida ila sijui kama ni kweli
Ngoja nianze kujaribu jaribu na mimi kuzikunja,, ila sidhani kama nitakutana na bandiaUkiifinyanga haikunjuki...inabakia kunyauka tu