Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Very sadful

20241008_204900.jpg
 
Na ndio lengo la serikali ya CHURA kwa watanganyika. BOT haina meno zidi ya hz kampuni zenye asili ya znz. Na bado mpk muishe watanganyika.Ukijua jina la mmiliki wa kampuni hii na watu wake wa karibu lazima udate tu.
All the best
Hauko sawa kichwani

Kuna siku utafunga choo kWa kula mirungi halafu uitukane serikali
 

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Mfaume (40), Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.

Tarehe 07-10-2024 katika Kitongoji cha Mbagala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani, watu wanne ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, walifika nyumbani hapo kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo kwa mke wa Juma Said Mfaume aitwaye Khadija Ramadhan.

Baada ya kufika nyumbani kwa Juma Mfaume, ailiwaelekeza kuwa mkewe hayupo lakini watuhumiwa hao walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia fimbo na baadae Bw. Mfaume, alianguka na kupoteza fahamu.

Kutokana na hali hiyo watuhumiwa walimbeba, Juma Mfaume kwa kutumia gari lao ili wampeleke hospitali na alifariki akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Mlandizi. Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari kisha kukabidhiwa kwa taratibu za mazishi.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Mfaume (40), Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.

Tarehe 07-10-2024 katika Kitongoji cha Mbagala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani, watu wanne ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, walifika nyumbani hapo kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo kwa mke wa Juma Said Mfaume aitwaye Khadija Ramadhan.

Baada ya kufika nyumbani kwa Juma Mfaume, ailiwaelekeza kuwa mkewe hayupo lakini watuhumiwa hao walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia fimbo na baadae Bw. Mfaume, alianguka na kupoteza fahamu.

Kutokana na hali hiyo watuhumiwa walimbeba, Juma Mfaume kwa kutumia gari lao ili wampeleke hospitali na alifariki akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Mlandizi. Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari kisha kukabidhiwa kwa taratibu za mazishi.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Mfaume (40), Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.

Tarehe 07-10-2024 katika Kitongoji cha Mbagala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani, watu wanne ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, walifika nyumbani hapo kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo kwa mke wa Juma Said Mfaume aitwaye Khadija Ramadhan.

Baada ya kufika nyumbani kwa Juma Mfaume, ailiwaelekeza kuwa mkewe hayupo lakini watuhumiwa hao walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia fimbo na baadae Bw. Mfaume, alianguka na kupoteza fahamu.

Kutokana na hali hiyo watuhumiwa walimbeba, Juma Mfaume kwa kutumia gari lao ili wampeleke hospitali na alifariki akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Mlandizi. Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari kisha kukabidhiwa kwa taratibu za mazishi.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Mfaume (40), Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.

Tarehe 07-10-2024 katika Kitongoji cha Mbagala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani, watu wanne ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, walifika nyumbani hapo kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo kwa mke wa Juma Said Mfaume aitwaye Khadija Ramadhan.

Baada ya kufika nyumbani kwa Juma Mfaume, ailiwaelekeza kuwa mkewe hayupo lakini watuhumiwa hao walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia fimbo na baadae Bw. Mfaume, alianguka na kupoteza fahamu.

Kutokana na hali hiyo watuhumiwa walimbeba, Juma Mfaume kwa kutumia gari lao ili wampeleke hospitali na alifariki akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Mlandizi. Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari kisha kukabidhiwa kwa taratibu za mazishi.
 
Back
Top Bottom