Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 1,513
- 2,019
Kwani hawani app niwapige nina nida ya uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise,nasikia hao OYA wanadai balaaWale jamaa ni washenzi sana wamepata haki
😄Wana vi IST vyao rangi ya maziwa mudguard nyeusi. Hawa wajinga wakikudai watakusubiri getini Hadi usiku wa manane.
Aise,nasikia hao OYA wanadai balaa
Ova
😄 dah aiseMtaani Wanawaita kausha damu
Hizo ist utaziona mpaka saa nane usiku 😄Mtaani Wanawaita kausha damu
Watu wanatamba na biti 😄Wapumbavu hao jamaa.
Mkopo tu unapiga mpaka unaua binadamu mwenzako.
Linawashikilia watu wasio na majina?.Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Mfaume (40), Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.
Tarehe 07-10-2024 katika Kitongoji cha Mbagala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani, watu wanne ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, walifika nyumbani hapo kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo kwa mke wa Juma Said Mfaume aitwaye Khadija Ramadhan.
Baada ya kufika nyumbani kwa Juma Mfaume, ailiwaelekeza kuwa mkewe hayupo lakini watuhumiwa hao walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia fimbo na baadae Bw. Mfaume, alianguka na kupoteza fahamu.
Kutokana na hali hiyo watuhumiwa walimbeba, Juma Mfaume kwa kutumia gari lao ili wampeleke hospitali na alifariki akiwa anapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Mlandizi. Mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na daktari kisha kukabidhiwa kwa taratibu za mazishi.
Wanatumia nguvu sana.apo tayar ni kifungo cha maisha.Wale jamaa ni washenzi sana wamepata haki yao
Mkopo wenyewe wa 300,000Wapumbavu hao jamaa.
Mkopo tu unapiga mpaka unaua binadamu mwenzako.
Wanakusanya madeni tuHizo ist utaziona mpaka saa nane usiku 😄
Ova
Binadamu wamekua waovu mno.Mkopo wenyewe wa 300,000
Ova