Pyramid tunaingia Bongo kuchukua mwali wetu Yanga SC

Azam FC, Gwambina, Mwadui, Mtibwa Sugar, nk Wamejenga Viwanja vyao na hawalalamiki nawe Jenga cha kwako punguza wivu!
 
Hahahaaa. Nilikuwa namkumbusha kwamba mmezichezea sana hizo 5 5 mwaka jana.
Yale magoli tulitokua tunafungwa wakati ule yalikuwa wala hayawasaidii wapinzani wetu. Kwani wale Vita FC waliishia wapi? Si walikufa pale kwa Mkapa mchana kweupee na tukawatupa nje ya mashindano? Simba ilikua inacheza kwa malengo Shadeeya
 
Yale magoli tulitokua tunafungwa wakati ule yalikuwa wala hayawasaidii wapinzani wetu. Kwani wale Vita FC waliishia wapi? Si walikufa pale kwa Mkapa mchana kweupee na tukawatupa nje ya mashindano? Simba ilikua inacheza kwa malengo Shadeeya
Sawa, ila mkono aibu mkuu. Ujue ni Simba tu ndio ilipigwa 55.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…