brokeni
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 412
- 279
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometime uwa naisi ni chai tena chai kavu hv ni bilioni 20 nazozijuwa mm au maana nina wakika ata wakichukua ilo kombe zawadi haifiki ata bilioni 12.
mkuu mbona uwekezaj mara nying unazidi zawad zinazotolewa
Hawa kuwakomoa ni kutoingiza timu kabisa tuone hayo magoli watayatoa wapi!!
Hahahah, ninayo namba ya metacha mnata, ngoja nimstue tupange diliHapo ningekuwa mi ndio kipa wa yanga ningeongea na mshambuliaji mmoja anipe milioni 10 tu niwaachie gori 7 kiulaini
Mko dunia ipi, mnafikiri hivi vijisent vyenu ndo mna hela, watu wana pesa nyie sio vipesa...pesaa...wewe unashangaa bilioni 20, ?!Sometime uwa naisi ni chai tena chai kavu hv ni bilioni 20 nazozijuwa mm au maana nina wakika ata wakichukua ilo kombe zawadi haifiki ata bilioni 12.