Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
πππππππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈSo hakuwahi kuwa na mtoto?maana aliogopa viarage....
Duh πPythagoras alikuwa na tatizo la phobias(uoga wa kitu fulani) alikuwa anaogopa sana maharagwe,yani kuyaona maharagwe kwake ilikuwa sawa na wewe kukutana na Simba
Hakupoga hesabu hapo akawakimbia hao watesi wake ??alale pema hesabu tunazitumiaaa....kuwapiga Iran hukoJe unamjua Pythagoras?, huyu mtu alikuwa ni Genius sana watu wa Mathematicx/Hesabu wanamfahamu
Pythagoras alikuwa na tatizo la phobias(uoga wa kitu fulani) alikuwa anaogopa sana maharagwe,yani kuyaona maharagwe kwake ilikuwa sawa na wewe kukutana na Simba
Kutokana na umaarufu na utajiri wake alionao alivamiwa na majambazi nyumbani kwake lakini alifanikiwa kuwatoroka, wakati walipokuwa wana mkimbiza kwa bahati mbaya alienda kutokea kwenye shamba la maharagwe, kutokana na kuyaogopa sana alikubali kukamatwa na kupelekea kifo chake, inadaiwa alifariki kati ya miaka ya 450B.C Au 500B.C
By magical powerView attachment 3136220
Mbona mnaongopa mchana kweupe? Aisee hivi vi-online TV vya Bongo ni janga. Wengi hawaelewi lugha ya mama, hivyo wakisimuliwa jambo wanalichukuwa hivyo hivyo na pengine kuliongezea chumvi, halafu wanaanza kulisambaza. Elimu yetu kweli ni mzigo. Hili uliloelezea umeongoza chumvi na magadi na mtu akisoma atadhani wewe ni shahidi uliyekuwepo. Ukweli ni kwamba kifo chake hakijulikani kwa uhakika kilitokeaje na haya maelezo uliyotoa ni moja ya ''myth'' zinazoelezea kifo chake japo wewe umeongezea na kugeuza hiyo ''myth'' ili lengo lako litimie.Je unamjua Pythagoras?, huyu mtu alikuwa ni Genius sana watu wa Mathematicx/Hesabu wanamfahamu
Pythagoras alikuwa na tatizo la phobias(uoga wa kitu fulani) alikuwa anaogopa sana maharagwe,yani kuyaona maharagwe kwake ilikuwa sawa na wewe kukutana na Simba
Kutokana na umaarufu na utajiri wake alionao alivamiwa na majambazi nyumbani kwake lakini alifanikiwa kuwatoroka, wakati walipokuwa wana mkimbiza kwa bahati mbaya alienda kutokea kwenye shamba la maharagwe, kutokana na kuyaogopa sana alikubali kukamatwa na kupelekea kifo chake, inadaiwa alifariki kati ya miaka ya 450B.C Au 500B.C
By magical powerView attachment 3136220
Uyo ndo mwenye mathe yake sasa
Vip ivyoππ€·π½ββοΈIla viarage vile vingine alikua haogopi, haya sawaππ
Umenielewa mkuuππ tena ndiyo vinatisha zaidi πββοΈVip ivyoππ€·π½ββοΈ
Umeanza lini bange mchumbaIla viarage vile vingine alikua haogopi, haya sawaππ
Kamba 2 Kamba Mexicana LaCavela πJe unamjua Pythagoras?, huyu mtu alikuwa ni Genius sana watu wa Mathematicx/Hesabu wanamfahamu
Pythagoras alikuwa na tatizo la phobias(uoga wa kitu fulani) alikuwa anaogopa sana maharagwe,yani kuyaona maharagwe kwake ilikuwa sawa na wewe kukutana na Simba
Kutokana na umaarufu na utajiri wake alionao alivamiwa na majambazi nyumbani kwake lakini alifanikiwa kuwatoroka, wakati walipokuwa wana mkimbiza kwa bahati mbaya alienda kutokea kwenye shamba la maharagwe, kutokana na kuyaogopa sana alikubali kukamatwa na kupelekea kifo chake, inadaiwa alifariki kati ya miaka ya 450B.C Au 500B.C
By magical powerView attachment 3136220
πππ hapo hata sijavuta ujueπUmeanza lini bange mchumba
Hahahah nimependa kinywaji ulichokunywa jana usiku. Naomba leo unipeleke tukanywe woteπππ hapo hata sijavuta ujueπ