Q&A, kwanini kila habari ya Mange ni verified kuliko nyingine?

"Huku maji hayatoki siku ya tatu"Please Hide my ID...sasa sijui yeye ndio atawapelekea maji!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wengne u mwaka 1 na nusu tulisha kula block kitamboo Kama ni kweny mapenzi tuna sema tusha move on [emoji23][emoji23] kumb bado yupo nlkua sha msahau
 
Yaani Diamond ana roho mbaya sana, anawalipa watu pesa ili wasiangalie video za Ali Kiba kwenye YouTube? Ndio maana kazaliwa Manzese
Ameewalipa akina nan na wapi, na kwa njia gn, # bila shaka we n mke wa alikiba!!!!
 


Issue sio kusoma habar zake but ni kwanini asilimia kubwa huamini taarifa zake
 
Mange ni bipolar a.k.a mwezi mchanga. Wanao mfatisha analolisema wana moyo wa ziada
 
WANAMALIZANA WENYEWE.VYEO NI SHIDA!! MMOJA AKIMWAGA UGALI NA MWINGINE ANAMWAGA MBOGA MPAKA 2020 MANGE ATAKUWA ANAPEWA HABARI .MWEZAKO HIYO NI KAZI KWAKE YA UHAKIKA
 
Kwangu Mange sometimes yes sometimes no
 
I f*ckn hate her, but apparently, people trust her. Baada long analysis nikagundua kitu.
I think yeye ni kama wikileaks ya bongo, ila less 'sophisticated'. Naona watu wenye kutaka kutoa siri wanamtumia yeye kwa ajili ya wao kubaki anonymous. Kumbuka wikileaks sio wenye content, bali platform ya whistleblowers.
Hivyo, in a loop, pale wengi wanavyomtumia taarifa zenye ukweli, ndipo na yeye anaongeza fans, halaf tena watu wengine zaidi wanaongezeka kwa ajili ya kumtumia.
Obviously, she didnt mastermind this, but she was lucky enough to be granted this opportunity, concidently.
Hivyo basi, look deeper, she is a whistleblowing platform.
Mfano, zile taarifa za kiofisi za TRA. Lazima ni mtu wa ndani alitaka ku-leak those information bila kujulikana.
So, yah, shit happens! I bet, even she doesnt know how she got here.
 

Mimi simuamini hata kidogo. Inaonekana watu wakitaka kumshambulia mtu kwa kisasi lazima wapitie kwake, na yeye bila kuchuja na kujua upande wa pili ana publish hivyo hivyo.
Kwa ujumla ni Mmbeya kama wambeya wengine. Ni shambenga haswaa.

Shilawadu wananafuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…