Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Mange anaaminika kwa vile amedata.Toka nianze kumsikia Mange Kimambi mtandaoni, nimeona asilimia kubwa ya watu huamini kila anachosema.
Kwanini kila habari yake inakuwa verified kuliko nyingine?
Au ni watu ni ile tabia ya kupenda kusikia tu kile tunachotaka kusikia ndio kinaoeleka kuamini na kuthibitisha kila anachosema?
Au pengine tumeungana kuwa comrades kwa kuattack upande mmoja ndio maana tunakubali lolote tu ili yule tunaye mshambulia aumie?
Kipi kinakufanya uamini kile anachosema kuliko neno la Yesu!?
mambo mengi sometimes sipo hewaniUmechelewa siti mkuu
Una uhakika gani?Habari za mange ni za kweli coz zinatoka Chini ya carpet
Kuliko wewe unaeneza udaku?Huyu ni mdaku tu hana lolote
Umetukanaaaaa....kuna ule
Umoja wa
KUmsapoti
MAnge kimavi
kiufupi soma niliyobold hawa hawaelewi
Kuna kitabu cha Tamthiliya kidato cha tano kinaitwa kivuli kinaishi, ukikisoma humo ndani utakutana na unga wa ndele, jinsi unavyo pumbaza watu..Unga wa ndele ndio nini?