Q&A, kwanini kila habari ya Mange ni verified kuliko nyingine?

ѕíjαwαhí kumkuвαlí mwαnαmkє, nαdhαní hílí línαwєzα kuα ní tαtízσ lαngu вínfѕí.

huчσ mαngє nαmѕíkíα ѕαnα ílα ѕíjαwαhí kuσnα kαmα αnααndíkα jαmвσ lσlσtє lα mααnα
 
Mange anaaminika kwa vile amedata.

watu waliodata wanachosema huwa ni UKWELI mtupu. hizi ni findings za utafiti wa kisayansi.
 
I like her! I will continue to blv in her. She gives real News, true facts unlike others who are scared lyk little kids.
 
Umeanza vizuri, mwisho kabisa unaharibu. Habari za Yesu na za Mange zinatofauti gani?
 
Tuacheni tumfatilie kwani mmelazimishwa??
 
Kimambi anazo source nyingi za information, kumwamini yeye ni rahisi sana!
Usaliti ni mwingi sana! Wapo wanaompa taarifa wanaokaa na kushinda na watesi Wetu!
Ni rahisi sana, Mimi hapa siwezi kuziweka in public manyanyaso ninayoyapata ofisini hivyo mtu wa kumpa azi-publicise ni mange!
I wish there could be 50 mange kimambis
 
Ngoja nikatembelee page yake
 
Hivi ile account ya Instagram, Bill Gates aliyoifungia akiwa Tanzania, ina followers wangapi na ana post chochote?


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…