Q&A, kwanini kila habari ya Mange ni verified kuliko nyingine?

Q&A, kwanini kila habari ya Mange ni verified kuliko nyingine?

"Huku maji hayatoki siku ya tatu"Please Hide my ID...sasa sijui yeye ndio atawapelekea maji!!
Huwa inasaidia some how huwez kuamini lkn kuna kina kaisari wakubwa sana Wa nchi lazima na wao wanaperuzi pale asikiaye na afahamu hlf ...kuna wakuu watabisha ila huo ndio ukwl
 
Me simwamini ata kidogo mana habari zake zmeegemea upande anaoupenda yeye/wenye maslah kwake nakuwalazimisha na wengne wakbar, ukikataa Block[emoji56] [emoji3]
Kabisa na ole wako umkosoe,hapo tu ndipo anaponimaliza nguvu. Anahubiri democracy lakini hapendi kutoa Uhuru huo kwa wachangiaji.

Namfananisha na Ni Bi Kilembwe.
 
Ukimchallenge tu unakula Ban so members alionao wengi wao ni wale ambao always wanapenda kusikia habari za upande mmoja tu maana wanaompinga anawapa ban so usishangae sana anajitekenya na kucheka mwenyewe..
 
Tafuta kitabu kinachoitwa Kivuli Kinaishi.

Unga wa ndele aliutumia Bi Kilembwe kuwapa watu washindwe kujua kweli na ongo. Kama ni nyeusi ukimwonesha MTU ukamwambia ni nyeupe anakubali kuwa kweli ni nyeupe kwa sababu tu Fulani kasema
umenikumbusha mbali sana na hiki kitabu...pia kuna unga wa rutuba..naona yeye anawapa unga wa ndele kwasababu wanopingana nae anawapa block
 
Kabisa na ole wako umkosoe,hapo tu ndipo anaponimaliza nguvu. Anahubiri democracy lakini hapendi kutoa Uhuru huo kwa wachangiaji.

Namfananisha na Ni Bi Kilembwe.
Kabisa na ole wako umkosoe,hapo tu ndipo anaponimaliza nguvu. Anahubiri democracy lakini hapendi kutoa Uhuru huo kwa wachangiaji.

Namfananisha na Ni Bi Kilembwe.
Hakuna cha democracy anchohubiri yupo kimaslahi zaidi mwaka 2015 kwenye kampeni CCM walipanda dau akatumika ipasavyo kumtukana Mzee wa watu Lowassa..mpaka akamsingizia vitu vya kijinga kabisa nadhani mnajua namna alovyomzushia Leo hii kuna watu wamepanda dau anatumika kumtukana mkuu na mkuu wa mkoa wa DSM..so ni bibi kilembwe kweli...
 
Huwa inasaidia some how huwez kuamini lkn kuna kina kaisari wakubwa sana Wa nchi lazima na wao wanaperuzi pale asikiaye na afahamu hlf ...kuna wakuu watabisha ila huo ndio ukwl
Dada mange yaani huku kwetu maisha ni magumu tunakula hadi kenge plz hide my ID... hahahahaha huwanafurahi sana haswa nikiwaona followers wake wanapenda kusikia wanachokipenda namna wanavyochangia na kuunga mkono bila kuhoji...
 
IMG-20171009-WA0017.jpg
 
Mange ameanza kitambo haya mambo sema amepata umaarufu kutokana na teknolojia kuwa kiganjani na ndio maana anawapata wengi, kabla ya hapo alikuwa ana blog yake ambayo alikuwa na wafuasi wake sema kipindi kile ili uweze kucheck blog lazima uwe na computer either yako ama ya ofisi na of course wengi walikuwa wanajielewa na ndio maana alikuwa hasikiki kama sasa hivi ambapo kila mtu anapata information kwa urahisi ambapo humo humo tumechanganyikana watu wenye mitazamo tofauti
 
Anzisheni page zenu tuwasome kutwa Oooh mpuuzi mwingine sijui Mange kasemaje,si uende ukamsome huko shubaaamiti
 
Nashauri nyinyi maccm mngeanzisha page yenu ya kuongea habari za ukweli nadhani mngepata followers wengi, mbona watu hawana habari na page ya Polepole ? Au jpm huko insta? Hawana mvuto wanaongea yaleyale bombadia ,sijui serikali inapambana na rushwa wakati watu wanaona si kweli,
 
Kwa sababu anaishi Marekani, kwani hujui watu huamini wanaoishi Ulaya ndio wakweli, na ndio maana matapeli weni huja. Kwa gia ya uzungu na Kiingereza
Mkuu kwan marekani ni ulaya siku hizi au mie mshamba
 
Yaani Diamond ana roho mbaya sana, anawalipa watu pesa ili wasiangalie video za Ali Kiba kwenye YouTube? Ndio maana kazaliwa Manzese
Atalipa wangapi wewe watanzania wenye access ya internet ni wengi sana achaà mawazo potofu hayo we lazima uwe timu kiba ndo maana be neutral! Sasa kwa ushauri mwambie kiba awalipe ili waangalie sasa
 
Atalipa wangapi wewe watanzania wenye access ya internet ni wengi sana achaà mawazo potofu hayo we lazima uwe timu kiba ndo maana be neutral! Sasa kwa ushauri mwambie kiba awalipe ili waangalie sasa
Hata mange amenunuliwa kupost mondi mondi... Hahaha just kidding watu na hela zao
 
Back
Top Bottom