Ushauri wako haumtendei haki jamaa.Yaan asiwashirikishe DABRIYUSIBII?Q-Chillah bado ana nafasi kubwa kimuziki. Inabidi asome soko linataka nini kwasasa na aendane nalo.
Pia ashirikishe vijana wanaotamba kwasasa kama Asley, Baraka Da Prince, Dogo Janja n.k.
Ila asiwashirikishe Vijana wa WCB. Hao wameishatengwa na Media hawatomfikisha popote.
Unajuwa tatizo lake? kwanza hataki kuacha mziki anachotafuta huruma afanye mziki. baya zaidi anataka afanikiwe bila kufanya kazi kwa bidii kidogo anadhani kafika. muziki ni kama league unamaliza mechi unawaza kushinda tena. Muziki sio sauti tu ni nidhamu na hard work pia good management yeye ni kuwa na nidhamu ya hali ya juu na kubwa zaidi aache kuimba kizungu katika muziki wake maana soko unataka la ndani kizungu hakina nafasi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nilikutana na q Jay songea vijijiji ndani kachoka balaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] amekua mwanakijiji na yeye[emoji23]
Sauti yote ile masikini...nilikutana na q Jay songea vijijiji ndani kachoka balaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] amekua mwanakijiji na yeye[emoji23]
ndio mkuu maisha yamemfuaSauti yote ile masikini...
Dah..
Inasikitisha.
Ngoma yake SIFAI.....ni classic mpaka leo..na haijawahi chuja.ndio mkuu maisha yamemfua
Mia jamaa.Q-Chillah, T.I.D ni wasanii wakali sana ila wamekosa nidhamu tu, hata ukiwa na management ila ukakosa nidhamu kufanikiwa itakuwa ngumu sana, huwezi niambia Ali na Diamond ni wakali kuliko Chillah and T.I.D? ila utofauti uliopo kati yao ni nidhamu tu. Hakuna mtu mwenye pesa atawekeza pesa zake na muda wake kwa mtu ambaye hana nidhamu. NIDHAMU NDIO ILIOWAANGUSHA WASANII HAWA
amechezea sana pesa huyo "" so acha maisha ya muadhibu kidogo Ili awe na adabu ""Namsikiliza hapa,naona ni upuuzi tu..hawa wasanii wanafikiri wao ndo wanashida tu hapa tanzania..mwanaume analialia tu kama mtoto wa kike..life is not simple,na hii ni kwa wote
q chief na Tid Hawa Jamaa wote wanajua kuimba lakini tatizo kubwa ambalo wanalo ni life skills " hawana" yaani wanajikuta wana vimba wanayale maisha ya wahuni wa kizamani ..kwamba mimi ndio mtoto wa mjini utanieleza Nini " ? so tabia yao hiyo imepelekea kugombana mnooo na wadau wenye mziki ambao ndio wameshikilia soko la mziki "" so hawawezi kupata nafasi ya kutamba kwa sbabu waliogombana nao ndio wale wale ambao wameshikilia soko la muziki wenyewUnajuwa tatizo lake? kwanza hataki kuacha mziki anachotafuta huruma afanye mziki. baya zaidi anataka afanikiwe bila kufanya kazi kwa bidii kidogo anadhani kafika. muziki ni kama league unamaliza mechi unawaza kushinda tena. Muziki sio sauti tu ni nidhamu na hard work pia good management yeye ni kuwa na nidhamu ya hali ya juu na kubwa zaidi aache kuimba kizungu katika muziki wake maana soko unataka la ndani kizungu hakina nafasi.
hahaha sasa huyo analalamika kukimbiwa na mwanamke wakati yeye mwenyew Malaya...khaaaJamaa alikosea maisha tuu
Watu kibao hawasikiki kimziki lakin maisha yanaenda wala wake zao hawaja kimbia.
Ukiona mwanamke anakimbia jua akiona mchizi hana hata mipango amebaki kulalamika tu
hahaaa.."" katika maisha hakuna kitu ambacho unapaswa kukiogopa kama uhai wa umri mrefu....maana unaweza ukamcheka mtu kwa kufikwa na jambo Fulani...kumbe na wewe " muda unakusubiri ili ukifika wakati muafaka na wewe ukutwe na yako " aiseee maisha haya...sasa hapo nadhani anatamani kufuta yale mashairi aisee...Huyu si ndiyo alimtungia wimbo baba yake mzazi kuwa anamfuatafuata baada ya kuona yeye AMEKUWA TAJIRI!!?
Kwa kweli akisimama barabarani na kuimba mimi mwenyewe nitakuwa mchangiaji wake[emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna kumsaidia bana akacheze tatu mzuka asituzingue. Au asimame barabarani aimbe...am sure hatakosa wakumchangia mia mia
Dogo hana ubunifu..Kwa kweli akisimama barabarani na kuimba mimi mwenyewe nitakuwa mchangiaji wake
Bila shaka ushauri wako atauchukuaDogo hana ubunifu..
Hahaha Kiki ya kishamba kweli hiiHii kiki ya leo clouds nimeiheshimu. Mtu anakuja kutangaza kuacha mziki, anabembelezwa, anakubali, kisha kwa coincidence tu eti alikuja na ngoma mpya, na mentor/manager wake anasema tayari wana mipango mingi.
Sasa hapo alikuja kutangaza kuacha mziki kweli?