Q NET imerudi tena kwa kasi sasa inafanya utapeli mikoa ya kusini (Songea, Mtwara ,Njombe, Iringa)

Q NET imerudi tena kwa kasi sasa inafanya utapeli mikoa ya kusini (Songea, Mtwara ,Njombe, Iringa)

Chatta g

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2018
Posts
585
Reaction score
955
Nashindwa niandike kwa namna ipi ili ieleweke kwamba hakuna pesa za bure, vijana tufanye kazi hata kama ajira hakuna Ila tufanye kazi tu hizo hizo za windani umachinga .

Ipo hivi..

Pwani-mlandizi mtaa wa tanesco kalibu na idara ya maji pale (Mara yangu ya kwanza kufika),

QNET wamekodi nyumba na wamewaweka Vijana walio watapeli pesa zao huku wakiwapa matumaini ya kuupata utajiri kwa mda mfupi
wengi ni ndugu zangu wangoni wamakonde, wahehe na wabena.

Note; walikua mbezi mwanzo na walikodi nyumba hivo hivo na walikua na Vijana walio watapeli kutoka Singida, Dodoma, Moshi na Arusha.

Mimi Jana hiyo nilienda kufanya interview baad ya kupewa mchongo na mwanangu akidai ni kampuni ya usafirishaji, kufika pale bwana kumbe Ni QNET.

Nipo tayari kumpeleka kiongozi yeyote sehemu Ile, ili tukawaokoe vijana
 
MAGUFULI aliwafukuza ROSTAM, KIKWETE MAKAMBA alivyokufa tu genge limerudi Kwa hiyo utegemee haya tunasafari ndefu sana
 
Nashindwa niandike kwa namna ipi ili ieleweke kwamba hakuna pesa za bure, vijana tufanye kazi hata kama ajira hakuna Ila tufanye kazi tu hizo hizo za windani umachinga .

Ipo hivi..

Pwani-mlandizi mtaa wa tanesco kalibu na idara ya maji pale (Mara yangu ya kwanza kufika),

QNET wamekodi nyumba na wamewaweka Vijana walio watapeli pesa zao huku wakiwapa matumaini ya kuupata utajiri kwa mda mfupi
wengi ni ndugu zangu wangoni wamakonde, wahehe na wabena.

Note; walikua mbezi mwanzo na walikodi nyumba hivo hivo na walikua na Vijana walio watapeli kutoka Singida, Dodoma, Moshi na Arusha.

Mimi Jana hiyo nilienda kufanya interview baad ya kupewa mchongo na mwanangu akidai ni kampuni ya usafirishaji, kufika pale bwana kumbe Ni QNET.

Nipo tayari kumpeleka kiongozi yeyote sehemu Ile, ili tukawaokoe vijana
Isije ikawa ni mradi wa mwana CCM mwenye maadili mtema mchana Ila usiku Ni paka shume.
 
Back
Top Bottom