Ni nani kauza Bandari nzima? Kama ni TPA ya Tanzania, you are wrong dudealthough it will remain a minority, non-controlling
Unajua maana ya kuwa minority non controlling kwenye Kampuni
Sasa wengine wanauza bandari nzima nzima with full control
Alafu unataka watu wapige makofi
Taja mambo yanayonyan'anya uhuru wetu kwenye msauala nyeti ya nchi kwenye mkataba wa TPAHakuna MTU mwenye Akili timamu anayepinga uwekezaji haijalishi ni wa nchi gani
Isipokuwa ni ujinga kukubali uwekezaji kwenye nchi yako unakunyang'anya uhuru wako kwenye masuala nyeti ya nchi
Well presented Mkuu HeijahSasa ndugu yangu nani atakuja kuwekeza mabilioni halafu aachie watawala wa Tanzania? akili ya kawaida tu sisi kama sisi tunanini tumeendesha kwa faida. Sasa ngoja tuongee ukweli, sisi tunaita wawekezaji tukifikia hali ni mbaya yametushinda ndio tunakimbilia wawekezaji sasa hawezi mtu kuja kuweka pesa ikiwa za kwenu tu mmezimaliza lazima atakuja kuweka management yake na haya ndio kama Simba minority share holder ana run na huwezi kumlaumu.
Sasa wenzetu kwa sababu wanaendesha mashirika yao kwa faida muwekezaji anavutia mwenyewe kuwekeza sababu anajuwa ufanisi wao ndio umemvuta kuingia ushirikiana kwa hiyo hana sababu ya kutaka kuongoza. anawekeza apate faida akiwa ana confidence ya Management. Ukitaka tuwe kama wenzetu kwanza tufanikiwe wenyewe wawekezaji watakuja kuweka pesa zao tu, watavutiwa wao kuweka mitaji yao. Sisi tunafilisi mpaka tunakuwa ICU bado unataka mtu alete pesa zake wazifyeke tena.
Wala hawana mapungufu hata tone ni watakatifu sana wale tena waarabu wapewe nchi na kila kitu ukiwemo na wewe au we unasemaje?Kwani DP WORLD wana mapungufu gani?
Hiyo ndo maana ya serikali,unadhani mikataba ya nchi ikawekwa wazi mpk wewe WA mbagala kuu uuuone nchi itakuwa na Siri gani mbele ya competitors wa nchi zenye bandari na mahasimu wa nchi,Kwakukuongezea Tu ulishawahi kuona nchi gani duniani inaweka mikataba yake hadharani ili tanzania iwe yapili au waige huko,Tuanzie apa kwanini mikataba na terms zake haviwekwi wazi kama sio wizi.
I bet you dont have answers,Akitokea Mtu Akiwaambia kitu hususan mwanasiasa,Kaeni chini kwanza mufikiri kabla ya kuyabeba vichwani mwenu,Wanasiasa wapo kwaajili ya leo yao watatunga kila Aina ya uongo ilimradi aendelee kubaki madarakani au aingie madarakani,Mbona unanipa kazi ambayo hata wewe unaiweza mkuu, kama hilo hulijui basi.
Akikujibu jibu lenye usahihi lisilo na hisia,Nakuahidi kukununulia full lunch ya uwezo wangu,wengi wa watu hawajui wayasemayo ila hufuata ya watu wayasemayo bila ya wao kuyajua kidhati hayo mamboTaja mambo yanayonyan'anya uhuru wetu kwenye msauala nyeti ya nchi kwenye mkataba wa TPA
Ni mwingwreza yule wewe mzala,Hong Kong na Singapore walikuwepo hao Wavietnam Nchi ambazo zinaongoza kutoa kontena nyingi Duniani kwa siku moja.Sasa Mvietnam umfananishe na mwarabu kwa uzoefu wa kuendesha bandari?watu wanaosafiri Dubai huko waulize bandari zao zinavyofanyakazi hao DP world Hadi UK kuna bandari wanaziendesha wao
Pole sana mkuu, huna hata haja ya kuandika yote hayo. Ninajua A to Z na nimeamua kutokukujibu swali lako la awali kwa makusudi kabisa. Kama unaona kilichotokea kwa bandari yetu ni sahihi, sina cha kukusaidia. Ngoja tuwatafutie watoto chochote mezani leo.I bet you dont have answers,Akitokea Mtu Akiwaambia kitu hususan mwanasiasa,Kaeni chini kwanza mufikiri kabla ya kuyabeba vichwani mwenu,Wanasiasa wapo kwaajili ya leo yao watatunga kila Aina ya uongo ilimradi aendelee kubaki madarakani au aingie madarakani,
Wengi wa watu hata neno KUUZA hawajui maana yake, ndomana wanaropoka tu WAMEUZA BANDARI AU RASILIAMALI FLANI,
Kuna Russia, china, na Gulf states, hawa wote wanataka waigawane Africa, kwa kuchukua miradi ya kilimo, commercial agriculture, transportation infrastructure,View attachment 3076023
Qatar Airways has acquired a 25% equity stake in South African airline Airlink, one of Africa’s largest carriers.
The deal, which was signed on August 20, 2024, in Doha, builds upon years of collaboration between the two airlines, which already codeshare some of their flights.
After this equity investment, the two airlines are expected to strengthen their partnership, enhancing the connectivity between their respective networks, cooperating in the commercial sphere and linking their respective loyalty programs.
As of August 2024, Airlink operates an all-Embraer fleet of more than 60 aircraft, which comprise pretty much all types of commercial jet made by the Brazilian manufacturer, from 37-seaters ERJ-135 to the E-195, which can carry more than 100 passengers.
The Qatari flag carrier will also gain two seats on the board of Airlink, although it will remain a minority, non-controlling shareholder, explained Airlink CEO, Rodger Foster during an interview with a South African news network shortly after the signing ceremony.
With this move, Qatar Airways also highlighted its commitment to the African market, a continent where it already flies to 29 destinations. It is expected that the Airlink tie-up will contribute to boosting links between the Doha hub and additional markets in South and East Africa, where Airlink is strong.
Airlink CEO Rodger Foster: “There needs to be some rationalization” in African aviation
AeroTime’s Africa Correspondent Michael Jonga spoke with Airlink’s Rodger Foster during AviaDev 2024, a conference dedicated to the present and future of the African commercial aviation industry, which took place in Windhoek, Namibia, in June 2024.
In the interview Foster highlighted the need for more consolidation in the African aviation industry and ruled out any expansion in the long-haul market in the foreseeable future. The airline executive explained that Airlink is providing global reach through its alliances with global carriers and was focused on providing more frequencies in the markets where it already has a presence. This way, Foster said, it is possible to offer much better connectivity.
Hawezi, huyo ni nyumbu anaangalia tu kiongozi wake kasema niniAkikujibu jibu lenye usahihi lisilo na hisia,Nakuahidi kukununulia full lunch ya uwezo wangu,wengi wa watu hawajui wayasemayo ila hufuata ya watu wayasemayo bila ya wao kuyajua kidhati hayo mambo
Nashukuru mkuuSasa ndugu yangu nani atakuja kuwekeza mabilioni halafu aachie watawala wa Tanzania? akili ya kawaida tu sisi kama sisi tunanini tumeendesha kwa faida. Sasa ngoja tuongee ukweli, sisi tunaita wawekezaji tukifikia hali ni mbaya yametushinda ndio tunakimbilia wawekezaji sasa hawezi mtu kuja kuweka pesa ikiwa za kwenu tu mmezimaliza lazima atakuja kuweka management yake na haya ndio kama Simba minority share holder ana run na huwezi kumlaumu.
Sasa wenzetu kwa sababu wanaendesha mashirika yao kwa faida muwekezaji anavutia mwenyewe kuwekeza sababu anajuwa ufanisi wao ndio umemvuta kuingia ushirikiana kwa hiyo hana sababu ya kutaka kuongoza. anawekeza apate faida akiwa ana confidence ya Management. Ukitaka tuwe kama wenzetu kwanza tufanikiwe wenyewe wawekezaji watakuja kuweka pesa zao tu, watavutiwa wao kuweka mitaji yao. Sisi tunafilisi mpaka tunakuwa ICU bado unataka mtu alete pesa zake wazi
Unaweza kuniambia wawekezaji wa Bandari wa Dar es laam wamepewa share /hisa Asilimia ???Ni nani kauza Bandari nzima? Kama ni TPA ya Tanzania, you are wrong dude
Je unajua Dar Port ndo bandari kubwa kuliko zote iliyoendelezwa ?Taja mambo yanayonyan'anya uhuru wetu kwenye msauala nyeti ya nchi kwenye mkataba w
Sijui umri wakoAkikujibu jibu lenye usahihi lisilo na hisia,Nakuahidi kukununulia full lunch ya uwezo wangu,wengi wa watu hawajui wayasemayo ila hufuata ya watu wayasemayo bila ya wao kuyajua kidhati hayo mambo
Mimi nadhani kwa makusudi hutaki kunielewa, sio suala la kuamini au kutoamini watu wanaangali perfomance mimi nimekwambia hakuna shirika hata moja tumeweza kuendesha likawa kivutio kwa wawekezaji jibu hakuna. Ukija suala la bandari ambalo ndio umeshikilia sijui mkataba mbovu mimi hilo sijui na wala sijaona huo mkataba, lakini kitu kimoja najuwa mikataba ni siri ya pande mbili huwezi kuweka mkataba hadharani hasa partner wako akiwa private. Mkataba wa kibiashara ni siri ya pande mbili hata ukiwa kwenye taasisi kubwa sio kila mtu ana access mikataba.Nashukuru mkuu
Kama hutuamini watawala watanzania kwenye Kusimamia miradi
Basi ni ngumu pia kuwamini kwenye mikataba ya Siri ya Kusimamia miradi nyeti ya nchi
Maana ni rahisi kudanganywa kwenye mikataba ya miradi ambayo wenyewe imewashinda
So hofu ya watu waliokuwa nayo juu ya mikataba ya bandari ni sahihi
Wewe sasa unayedai wamepewa ndiyo uziweke hapa. DP World wanachofanya ni kuendesha gati 1-7 ambapo watapakua na kupakia makasha (containers). Adani Group wako Gati 8-11. Sehemu inayobaki ni TPA wenyewe.Unaweza kuniambia wawekezaji wa Bandari wa Dar es laam wamepewa share /hisa Asilimia ???
Kama ambavyo tunaona wenzao wamepewa 25 percent?
Ulinzi na usalama haujakodishwa bado ni jukumu letu.Je unajua Dar Port ndo bandari kubwa kuliko zote iliyoendelezwa ?
Je unajua bandari ni lango kuu la kiuchumi ?
Je unajua ni mambo mangapi ya Siri ya nchi yanaweza kupitishwa bandari ni yakiwemo ulinzi na usalama wa nchi?
Kwa wenzetu wanewapa minor share ambazo hawawezi ku control zaidi ya kuongeza mtaji na wao gawio tu
Je mkataba wa Bandari wawekezaji wetu wamepewa share ngapi
Minor shareholders au
Major shareholders?