Qatar Air Yanunua Hisa 25% Za South African Air Link

Qatar Air Yanunua Hisa 25% Za South African Air Link

Kituko kikubwa zaidi ni pale wanapo fananisha ATCL (state owned) to Airlink ambayo ni kampuni binafsi. Wanafananisha machungwa na tufa.
Sawa na leo hii Precisoin Air Tanzania, wauze 50% kwa Qatar Air, ni wangapi watapiga kelele?
Siyo kituko biashara ni biashara tu, iwe private au public, ukiishiwa maarifa au mtaji unauza tu kuingiza maarifa na mtaji mpya.

Ya nini ung'ang'anie kuendesha biashara inayokupa hasara? Kwa mfano MWENDOKAKASI ya Tanzania kwa situation iliyonayo ? Kama ni mtaji tafuta? Kama siyo mtaji bali management, nayo unaweza kuitafuta kwa njia nyingi tu
 
Mkuu wewe una akili sana. Umefungua code ya thread yangu. Hilo ndiyo kusudio langu kuonyesha kuwa biashara haina siasa, dini, rangi wala kabila.

Kama Waarabu wananunua investments za Uingereza (Manchester City, Newcastle), Ufaransa (PSG) na sasa Airlink ya SA, wewe Tanzania una uchumi gani usinunuliwe na DP WORLD
Shida inaanzia kwenye udini,unadhani bandari ingepewa kampuni ya ulaya kungekua na kelele
 
Hauna akili master,huko ulaya nchi nyingi tu wamekodisha bandari hadi viwanja vya ndege
Kuna Billionaire wa Kinigeria anaendesha viwanja vya ndege vya Uingereza
Screenshot_20240826_080606_Google.jpg
Screenshot_20240826_080544_Google.jpg
 
Tatizo lako unafanisha uuzwaji wa kampuni binafsi na uuzwaji wa kampuni inayomilikiwa na serikali..! Leo hii Mwamedi wa Simba auze METL kwa Dangote, wangapo hapo bongo watainua mdomo? Lakini serikali iuze sehemu ya Tanesco kwa labda Qatar (State) watu lazıma waseme.

Pili, kwa taarifa yako hakuna mfanyabiashara yeyote duniani mwenye akili timamu na kujua biashara anayeweza kununua/kuwekeza kwenye mwendokasi. Biashara pigo za Mwendokasi, ni huduma na kwa kawaida uaga haziingizi faida. Labda kama serikali ya bongo kwenye mkataba ikubali kutoa ruzuku ya kutosha, kusaidia uendeshaji wa kampuni. Vinginevyo, mwendokasi ni mshipa wa serikali, itake isitake.
Mkamdarasi kutoka UAE ankuja kuendesha Mwendokasi
Screenshot_20240826_084132_Chrome.jpg
Screenshot_20240826_084203_Chrome.jpg
Screenshot_20240826_084252_Chrome.jpg
 
Wewe hata kama una umri mkubwa bado mbumbumbu tu
Ungekuwa una fikiria vizuri usingefafanisha mkataba wa kampuni ambao uko wazi kwenye umiliki na usimamizi
Ambao uko clear 25% share

Na kituko Cha mkataba wenye Kona Kona nyingi haijulikana ni wanamilki Asilimia ngapi mipaka yao ya usimamizi haiko clear
 
Tatizo lako unafanisha uuzwaji wa kampuni binafsi na uuzwaji wa kampuni inayomilikiwa na serikali..! Leo hii Mwamedi wa Simba auze METL kwa Dangote, wangapo hapo bongo watainua mdomo? Lakini serikali iuze sehemu ya Tanesco kwa labda Qatar (State) watu lazıma waseme.

Pili, kwa taarifa yako hakuna mfanyabiashara yeyote duniani mwenye akili timamu na kujua biashara anayeweza kununua/kuwekeza kwenye mwendokasi. Biashara pigo za Mwendokasi, ni huduma na kwa kawaida uaga haziingizi faida. Labda kama serikali ya bongo kwenye mkataba ikubali kutoa ruzuku ya kutosha, kusaidia uendeshaji wa kampuni. Vinginevyo, mwendokasi ni mshipa wa serikali, itake isitake.
Kwa hiyo wewe kipimo chako ni mdomo au kelele za watakao kuuliza kwa nini wauza shirika la umma? Kama unaogopa kelele za watu badala ya ubora wa maamuzi then wewe hufai kuwa entrepreneur!!

Vigezo vya kuendesha taasisi yeyote ya biashara ni profitability, period

Model ya BRT (Bus Rapid Transit) ni product ya World Bank na ilifanikiwa sana huko South America kupunguza congestion kwenye urban transport.

Tunachopaswa kufanya ni kuichukua wholly kama ilivyo na siyo kuchakachua
 
Ungekuwa una fikiria vizuri usingefafanisha mkataba wa kampuni ambao uko wazi kwenye umiliki na usimamizi
Ambao uko clear 25% share

Na kituko Cha mkataba wenye Kona Kona nyingi haijulikana ni wanamilki Asilimia ngapi mipaka yao ya usimamizi haiko clear
Unataka asilimia za nini kwenye model ya TPA ? Kwani Net Group Solutions alipokuwa anaendesha TANESCO miaka ya 2000-2006 kwa mfumo wa management contract Tanzania ilikuwa na share ngapi?

Sisi bado TPA ni mali ya Tanzania kwa 100% ila tumekodisha menejimenti ya operations za port, period
 
Unataka asilimia za nini kwenye model ya TPA ? Kwani Net Group Solutions alipokuwa anaendesha TANESCO miaka ya 2000-2006 kwa mfumo wa management contract Tanzania ilikuwa na share ngapi?

Sisi bado TPA ni mali ya Tanzania kwa 100% ila tumekodisha menejimenti ya operations za port, peri
Ndo maana nikakuambaia kulinganisha mkataba wa Bandari na huu wa Qatar Airways ni
Dalili za kushindwa kufikiria vizuri

Hapo wenzenu wametafuta wawekezaji na sio wanyampara

Tpa imetafuta wanyampara wa mataifa mengine kuja kuwasimamia wao na watanzania wengine na watawalipa pia
Tena bila aibu walitaka kipengele Cha kutokuvunja mkataba
Pili hawakutaka mahakama za NDANI ziamue kesi zao

Usilazimishe mikataba ya watu wenye akili na vitu vya aibu
Tafuta mifano mingine
 
Ndo maana nikakuambaia kulinganisha mkataba wa Bandari na huu wa Qatar Airways ni
Dalili za kushindwa kufikiria vizuri

Hapo wenzenu wametafuta wawekezaji na sio wanyampara

Tpa imetafuta wanyampara wa mataifa mengine kuja kuwasimamia wao na watanzania wengine na watawalipa pia
Tena bila aibu walitaka kipengele Cha kutokuvunja mkataba
Pili hawakutaka mahakama za NDANI ziamue kesi zao

Usilazimishe mikataba ya watu wenye akili na vitu vya aibu
Tafuta mifano mingine
Wape jina lolote lakini wamekuzidi maarifa, mtaji, teknolojia na mzigo.. Ndiyo maana wanafanya biashara dunia nzima.
 
Back
Top Bottom