establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
Emirates wazee wa hizo kazi. Wanarusha B777 au Airbus 380 route Zote dunianHawa wamanga wanatuchukulia poa Siku ya kuondoka tulipandishwa kwenye Ngalangala (chata la Oman Air) siti mbovu, in-flight entertainment hamna, Ila Doha-New York full chuma, siku narudi nako DOHA-Dar full kangafu limepauka mpaka rangi. Hii Imekaaje?
EK balaa zitoNdege Ni Emirates hao wengine Tia maji Tia maji. Kuna Cathay na Singapore Ila hawafiki bongo
Chigoma airlinesNi kawaida mkuu inategemea na hali
Hata sisi wa kgm huwa mnatuonea kwa kutuletea mabehewa yaliyochoka hata vyoo unaogopa utatumbukia
Kisa tunabeba dagaa
Yaani uletewe dude kubwa la A380 litatua hapo kweliChigoma airlines
Airbus 380 inakuja Tanzania? Kwanza zimeisha anza kuondolewa kwenye huduma na Airbus ineamua jusimamisha na haiundi mpyaEni
Emirates wazee wa hizo kazi. Wanarusha B777 au Airbus 380 route Zote dunian
EK bado anazo. Anazitumla destination zenye hela new York, San Francisco,, London, ManchesterAirbus 380 inakuja Tanzania? Kwanza zimeisha anza kuondolewa kwenye huduma na Airbus ineamua jusimamisha na haiundi mpya
Hata Qatar anazo japo chacheEK bado anazo. Anazitumla destination zenye hela new York, San Francisco,, London, Manchester
Cheap ticket nazipata wapi ndugu zangu. Nataka nikaamshe popo Mahe, SeychellesHata Qatar anazo japo chache
Hawa wamanga wanatuchukulia poa Siku ya kuondoka tulipandishwa kwenye Ngalangala (chata la Oman Air) siti mbovu, in-flight entertainment hamna, Ila Doha-New York full chuma, siku narudi nako DOHA-Dar full kangafu limepauka mpaka rangi. Hii Imekaaje?
πππHiyo mikangafu haimzidi mwa J alichonifanyia mbwa yule, sinto sahau alicho nifanyia kwq kuniambukiza uti sugu, na komwe lake ka nanga ya manowari...π€¨
Qatar wana ndege nzuri sana na ni mojawapo ya mashirika yenye huduma bora kabisa dunianiNdege Ni Emirates hao wengine Tia maji Tia maji. Kuna Cathay na Singapore Ila hawafiki bongo
Kawaida hiyo,Hawa wamanga wanatuchukulia poa Siku ya kuondoka tulipandishwa kwenye Ngalangala (chata la Oman Air) siti mbovu, in-flight entertainment hamna, Ila Doha-New York full chuma, siku narudi nako DOHA-Dar full kangafu limepauka mpaka rangi. Hii Imekaaje?
Mkuu umegusa penyewe, Cathay Pacific, Emirates na Singapore Airlines ndiyo mashirika matatu ninayoyapenda duniani, japo nimewahi kupanda Emirates tu. Ila tuache utani, kwa route nyingi emirates wanatisha, wanaenda nchi yoyote duniani, hata ukitaka kwenda Panama wanafikaNdege Ni Emirates hao wengine Tia maji Tia maji. Kuna Cathay na Singapore Ila hawafiki bongo
Hivi kumbe kuna ndege mikangafu!ngoja na mimi nitafute hela angalau nipande kwenda Chato nitarudi kwa basi....Hawa wamanga wanatuchukulia poa Siku ya kuondoka tulipandishwa kwenye Ngalangala (chata la Oman Air) siti mbovu, in-flight entertainment hamna, Ila Doha-New York full chuma, siku narudi nako DOHA-Dar full kangafu limepauka mpaka rangi. Hii Imekaaje?
Japo hawatui RwandaMkuu umegusa penyewe, Cathay Pacific, Emirates na Singapore Airlines ndiyo mashirika matatu ninayoyapenda duniani, japo nimewahi kupanda Emirates tu. Ila tuache utani, kwa route nyingi emirates wanatisha, wanaenda nchi yoyote duniani, hata ukitaka kwenda Panama wanafika