Qatar Airways route za Dar/KIA analeta mikangafu!

Qatar Airways route za Dar/KIA analeta mikangafu!

Alipata isolated incident. Hii huwa inatokea kama ndege iliyopangiwa route inakuwa ina matatizo mnaletewa ya dharura...na huwa wanasema.

Nilipanda Boeing 777 ya Qatar kutoka JFK mpaka Doha dah! Siti pana, ndani kuzuri, entertainment safi na chakula cha kueleweka. Hata mimi ukiniambia nichague nitachagua KLM na Qatar always japo na wengine akina BA wapo....

By the way, mashirika ya ndege ya Kimarekani niliyowahi kupanda - Delta, United, NWestern, American...yote hayafai. Viti vimerundikwa, huduma mbovu ikiwemo chakula. Haya kama mtu una vihela afadhali hukoo Business class kama una lisafari lirefu!

Nasubiri siku nikipanda ndege za mashirika ya Asia - Indonesian Airlines, Thai, Korean, Malaysian, Japanese....nasikia wao wako level nyingine kwenye design na hospitality...
20231224_095052.jpg
 
Haiji washenzi wale wanaishia kwao then mnafaulishwa kwenye vindege chakavu siti zimebana hamna chochote humo utakutana na wavaa kobazi wamejaa wanaongea km wako kariakoo wana mifuko ya maandazi kabisa na tende za kula njiani.
Ndo utajua sasa naenda bongo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa huwa hawana Sajesheni boksi?,nadhani haya malalamiko ungehakikisha yanaufikia uongozi wa hilo shirika ungekuwa umetisha sana kwani ungewasaidia wengi!
Ukiingia kwenye website yao na uandike malalamiko yako ndio hakuna zaidi, ukipiga simu inakwenda Doha na huko hakuna msaada wowote, najua watu tunalalamika ukipiga simu ATC ( Air Tanzania )hakuna majibu lakini Qatar ndio wazembe kuliko ATC, ukifika Doha bora ukutane na wa Kenya wanaweza kukupa msaada lakini desk nyingi utakuta wa Hindi na ukitoa Pass ya Tanzania hesabu maumivu
 
Umepata bahati ya kupanda A350, usiombe kupanda Boeing 777 ya Qatar, viti ni vidogo kwa safari ndefu
airport kubwa lakini huduma sio za kuridhisha,
sitoipanda Tena Qatar Airways nipo tayari kuwapa Ethiopia pesa yangu kuliko Qatar, ukiwa na pass ya Tanzania ndio kabisa huthaminiwi,
itakuwa chaguo la mwisho kuchagua Qatar, simshauri mtu kusafiri na Qatar airways

Ethiopia hiihii ninayoijuwa mimi au nyingine. Hata bure hunipandishi.
 
Nimepanda mashirika mengi ila sijaona linalozudi SQ- Singapore airline- hawa Jamaa huduma zao, usafi wao, na chakula ndani ya Ndege ni full masinonda…
Changi airport pia ni safi sana - ni 5 start airport na Kwa kweli- nilitembelea ma super market Yao kujionea tu bila kuwa na nia ya kununua chochote, Ila nilivyotoka nilikuwa na lundo la shopping- hawa wa Singapore wanajua nini maana ya customer services/ care Kwa kweli… inabidi watu wetu wakajifunze huko…
 
Nimepanda mashirika mengi ila sijaona linalozudi SQ- Singapore airline- hawa Jamaa huduma zao, usafi wao, na chakula ndani ya Ndege ni full masinonda…
Changi airport pia ni safi sana - ni 5 start airport na Kwa kweli- nilitembelea ma super market Yao kujionea tu bila kuwa na nia ya kununua chochote, Ila nilivyotoka nilikuwa na lundo la shopping- hawa wa Singapore wanajua nini maana ya customer services/ care Kwa kweli… inabidi watu wetu wakajifunze huko…
Tatizo wachangiaji wengi ni wa economy ujue
 
Mleta mada nisaidie kidogo. Ndani ya Oman air wanatoa huduma za chakula na vinywaji kama Qatar airways au. Sababu napenda Qatar Kwa ajili ya beer za heinken za kopo.
 
Hawa wamanga wanatuchukulia poa Siku ya kuondoka tulipandishwa kwenye Ngalangala (chata la Oman Air) siti mbovu, in-flight entertainment hamna, Ila Doha-New York full chuma, siku narudi nako DOHA-Dar full kangafu limepauka mpaka rangi. Hii Imekaaje?
Umefika hujafika?
 
Umepata bahati ya kupanda A350, usiombe kupanda Boeing 777 ya Qatar, viti ni vidogo kwa safari ndefu
airport kubwa lakini huduma sio za kuridhisha,
sitoipanda Tena Qatar Airways nipo tayari kuwapa Ethiopia pesa yangu kuliko Qatar, ukiwa na pass ya Tanzania ndio kabisa huthaminiwi,
itakuwa chaguo la mwisho kuchagua Qatar, simshauri mtu kusafiri na Qatar airways
Huduma pale doha ni kweli 0,wako wahindi na wapakistani wengi sana.
Nilipata problem wakati wa kwenda na kurudi late.
Airport is too big,but no information.
Nimeenda kuboard naambiwa hatuna ticket yako nikaambiwa your flight is after us aisee.
Wakati iliyoandikwa ni hii na nikiikosa ina maana deal lote linakufa huko nnakoenda.
Ilibidi wapate attention baada ya kwenda customer service na kuwaambia kwamba kesho mtakua responsible na haya mambo .
Ndio nikapewa seat ndege ingine niunge night kwa night yaani nikafika kikao cha kwanza niko hoii.
Hiyo ni Qatar airways.
 
Back
Top Bottom