connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
1. Aisee, Emirates analeta A380? Kuanzia lini?Kinachotokea ni kuwa, airline zote zinakusanya abiria kutoka nchi zenye abiria wachache kwa kutumia ndege ndogo ili mkaungane makao makuu. Mfano emirate dar to Dubai wanaleta A380. ndege kama hiyo itatoka Nairobo to Dubai, Cairo to Dubai etc. Kisha pale Dubai to Guangzhou mnakuwa abiria wengi ,mnawekwa ndege kubwa kama A800
Mzinga wa pipa. Niki-connect Addis nazionaga zinavyojongea hadi raha.Gharama za matunzo ni kubwa sana kulinganisha na faida.
Binafsi napenda A350-1000
Korea na Lufthansa ndio operator wakubwa waliobakia. KLM naona anazo ila sijajua kama ni cargo au abiria pia.Wengi tunatamani Sana kupanda Boeing 747, ila nahisi chances are slim. Mashirika Machache Sana Yana operate 747 kama ndege za abiria na route zao nyingi ni Asia. nadhani Lufthansa ndie operator pekee aliyebaki kwa ulaya.
Dutch for some reasons have tendency of being loyal to the Aeroplane they trust. Klm kwa mfano alioperate Douglas md 11 till the end.
Wako vizuri ukiwa nje huko,Nilitoka Heathrow huduma ,misosi,pombe mule hamnaga uisilamu unatwanga whisky njia nzima na lile dege huwa halijai utakuta siti ya mtu tatu umekaa mwenyewe na hata kuhama unaruhusiwa.Nakumbuka nililipa 800k zaidi Ili nipande A380 from Dubai tu Guangzhou and it was worth it. Ile ndege achana nayo
Yeah tiketi za kampuni nyengine zilikua bei rahisi lakini Emirates bei yao iliongeza Kwa 800k. Nililipa Ile nipande ndege kubwa kabisa Duniani A380 jumbo kmmk. Sema mbona ndege zinapandwa sana Mzee hata siku hizi ndege za Dodoma na mwanza zinajaaa kinomaDuh Jamii forum shikamoo! Nimepitia comments zote nimebaki nacheka hovyo yani wote humu mmepanda ndege!!! Mam*e kuna jitu linasema eti tulipanda dubai mpaka Barcelona tena inaweka na kwenye bracket "BNC", jingine eti lilienda China ikaongezeka na 800k aisee amkeni mtakojoa nendeni mkalime magimbi acheni kuota 🤣🤣🤣🤣🤪
Sometimes inakuja ila most of time inatumia ndege ya fly Dubai.Mbona Nana kama Emirates haiji tena bongo siku izi?
Hahah sio Atr mkuu ni Boeing zile narrowbody.Wako vizuri ukiwa nje huko,Nilitoka Heathrow huduma ,misosi,pombe mule hamnaga uisilamu unatwanga whisky njia nzima na lile dege huwa halijai utakuta siti ya mtu tatu umekaa mwenyewe na hata kuhama unaruhusiwa.
Sasa umefika doha unakimbizwa mkuku kwenye vile vi atr vingalangala kwenda bongo.
Humo ndo unakutana na kila aina ya ukhanisi.
Na abiria km wa mbagala.
Nikakuta muhudumu mkenya kumwambia lete whisky alipiga kelele huyo utafkiri naiba.
Baadae anakuja kuambiwa huyo mpe tu katoka mbali huko kila kitu kimelipiwa.
Ndo katoa macho.
Sawa mkuu mi niliona kinapepesuka tu mpk tunaondoka pale.Hahah sio Atr mkuu ni Boeing zile narrowbody.
Umefanya siku yangu kuwa mwanana. Hahahaha. Mwa J ni mbwa Koko nakaziaHiyo mikangafu haimzidi mwa J alichonifanyia mbwa yule, sinto sahau alicho nifanyia kwq kuniambukiza uti sugu, na komwe lake ka nanga ya manowari...[emoji2955]
Nilikuwa natania tu, hizo a380 nimeziona duabi international airport (DXB) japo sijawahi kuzipanda nilipanda fly Dubai kwenda Dubai then Kuwait 2016 Ila kwa kipindi hicho sikuwa mkubwa wa kuweza kufuatilia aina ya ndege ila ndege ya dubai to Kuwait imetulia sana nafkiri pia kwa sababu ya idadi ya abiria maana ndege za kuja huku abiria ni wachache sana hasa wengine wanashuka Zanzibar mpka unajiuliza ivi hizi kampuni hazipati hasara kweliYeah tiketi za kampuni nyengine zilikua bei rahisi lakini Emirates bei yao iliongeza Kwa 800k. Nililipa Ile nipande ndege kubwa kabisa Duniani A380 jumbo kmmk. Sema mbona ndege zinapandwa sana Mzee hata siku hizi ndege za Dodoma na mwanza zinajaaa kinoma
Abiri ni wachache sana kutoka dubai kuja Bongo kwahiyo hizo ndege nzuri ni bora wa iweke kwenye high demandJamaa huwa hawana Sajesheni boksi?,nadhani haya malalamiko ungehakikisha yanaufikia uongozi wa hilo shirika ungekuwa umetisha sana kwani ungewasaidia wengi!
Ficha aibu ndogo ndogoMbona Nana kama Emirates haiji tena bongo siku izi?
Haisaidii lolote,wwakikufikisha doha shughuli imeisha utafika unakokwenda hasa Africa.Jamaa huwa hawana Sajesheni boksi?,nadhani haya malalamiko ungehakikisha yanaufikia uongozi wa hilo shirika ungekuwa umetisha sana kwani ungewasaidia wengi!
Alipata isolated incident. Hii huwa inatokea kama ndege iliyopangiwa route inakuwa ina matatizo mnaletewa ya dharura...na huwa wanasema.May be ulipata experience mbaya! Kwa uzoefu wangu nimeshasafiri na mashirika ya ndege zaidi ya matano, Emirates, KLM, Delta Airlines, Rwanda Air etc.
So far Kwa experience yangu nimeona KLM na Qatar Wapo vizuri zaidi.
Qatar wana ndege mpya na pia rangi zao zinavutia zaidi.
Hahaha wamerekani wenyewe hawayapendi hayo mashirika.Alipata isolated incident. Hii huwa inatokea kama ndege iliyopangiwa route inakuwa ina matatizo mnaletewa ya dharura...na huwa wanasema.
Nilipanda Boeing 777 ya Qatar kutoka JFK mpaka Doha dah! Siti pana, ndani kuzuri, entertainment safi na chakula cha kueleweka. Hata mimi ukiniambia nichague nitachagua KLM na Qatar always japo na wengine akina BA wapo....
By the way, mashirika ya ndege ya Kimarekani niliyowahi kupanda - Delta, United, NWestern, American...yote hayafai. Viti vimerundikwa, huduma mbovu ikiwemo chakula. Haya kama mtu una vihela afadhali hukoo Business class kama una lisafari lirefu!
Mkuu nadhani point ya mtoa mada ni kuwa ndege zinazokuja Afrika (ukitoa Cairo, Johannesburg na Cape town) Ni mangalangala. Nimeshuhudia kupakizwa kwenye Ngalangala la Oman Air kutokea KIA-Dar-DOHA wakati tiket Ni Qatar. Kuanzia DOHA-LHR nikapanda pipa la maana. Business class ilikua fullAlipata isolated incident. Hii huwa inatokea kama ndege iliyopangiwa route inakuwa ina matatizo mnaletewa ya dharura...na huwa wanasema.
Nilipanda Boeing 777 ya Qatar kutoka JFK mpaka Doha dah! Siti pana, ndani kuzuri, entertainment safi na chakula cha kueleweka. Hata mimi ukiniambia nichague nitachagua KLM na Qatar always japo na wengine akina BA wapo....
By the way, mashirika ya ndege ya Kimarekani niliyowahi kupanda - Delta, United, NWestern, American...yote hayafai. Viti vimerundikwa, huduma mbovu ikiwemo chakula. Haya kama mtu una vihela afadhali hukoo Business class kama una lisafari lirefu!
Nasubiri siku nikipanda ndege za mashirika ya Asia - Indonesian Airlines, Thai, Korean, Malaysian, Japanese....nasikia wao wako level nyingine kwenye design na hospitality...