Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu wanampendeza Mungu kwa lipi? Wangekuwa bora hata mbele za Mungu basi wangekuwa juu ya wote maana baraka za Mungu ni hizo kwamba aliyebarikiwa anakuwa juu ya wengi sasa waarabu wana jipya gani?Kama shida ni ushoga, bora lisiende wabaki kumpendeza Mungu. Yaliyobakia siyo ishu sana. Maana hata bia zilitolewa japo kwa masharti
Yanukuu au sema tuongeze mafunguWw huna akili na kama kuna aliyekufundisha hayo maandiko hakika huyo ni juha
Kwahiyo wewe umeona ushoga tu kilichokatazwa? Bia je?Kwa hiyo wewe unasupport USHOGA?
Kumbe mko wengi kiasi hiki?Unaongea Nini wewe? Hebu tuanze na pombe, Quran 45:17 Allah anasema peponi Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao, halafu unazuia pombe hapa duniani huu ni unafiki. Tuje Quran 2 223 inasema wanawake ni konde zenu ziendeeni konde zenu Kama mpendavyo, tafsri yake ni kuwalawiti. Leo unazuia ushoga na ulawiti hapa duniani, huu ni unafiki wa hali ya juu. FIFA safari nyingine waziepuke nchi za Kiarabu kuandaa World cup.
Kwa hiyo mkuu unasapoti ushoga na ulevi uliopindukia? Ukiachana na msimamo mkali wa baadhi ya waislam unaopelekea kutia chuki na hata kuua baadhi ya binadamu wenzao kwa kisingizio cha ukafiri, huwa nazikubali sheria zao maana zitakufanya uishi maisha marefu na yasiyomkwaza na kumkosea Mungu. Kwangu mimi hata kama hakuna tena world cup kwa nchi za kiarabu but Qatar wamefanya jambo jema na neema itawazidia sana kutoka kwa Mungu.Huenda kwa sasa wakaonekana ni mashujaa wa kiislamu baada ya kuchachamaa sheria zao hasa za dini zisivunjwe wala kuingiliwa na utamaduni wa magharibi kama ushoga, ulevi,tattoo nk.
Lakini nawaambia kaeni mkijua hili kombe likishaisha msahau kabisa ili kombe kurudi tena kwenye nchi yoyote ya uarabuni.Hakuna tena atayekubali hili kombe lifanyike kwenye mazingira kama haya NEVER NEVER NEVER.
Usifikiri kwenye uislamu hakuna watu waliobobea kwenye hiyo quran, kwahyo ulitaka tupangiwe mitindo ya kuwaendea wake zetu!? umeshasema konde, konde ni shamba kwa maana sehemu inayotoa mazao na mazao ni watoto kwahyo wewe ukienda chooni huwa unapata watoto kule sio? kuhusu hiyo aya ya pombe uliyotaja makusudio ni wine safi isiyoumiza kichwa wala kuondosha akili kama ufafanuzi ulivyopita kwingine.Unaongea Nini wewe? Hebu tuanze na pombe, Quran 45:17 Allah anasema peponi Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao, halafu unazuia pombe hapa duniani huu ni unafiki. Tuje Quran 2 223 inasema wanawake ni konde zenu ziendeeni konde zenu Kama mpendavyo, tafsri yake ni kuwalawiti. Leo unazuia ushoga na ulawiti hapa duniani, huu ni unafiki wa hali ya juu. FIFA safari nyingine waziepuke nchi za Kiarabu kuandaa World cup.
Unaongea Nini wewe? Hebu tuanze na pombe, Quran 45:17 Allah anasema peponi Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao, halafu unazuia pombe hapa duniani huu ni unafiki. Tuje Quran 2 223 inasema wanawake ni konde zenu ziendeeni konde zenu Kama mpendavyo, tafsri yake ni kuwalawiti. Leo unazuia ushoga na ulawiti hapa duniani, huu ni unafiki wa hali ya juu. FIFA safari nyingine waziepuke nchi za Kiarabu kuandaa World cup.
Kwann lisirudi tena, toa sababuHuenda kwa sasa wakaonekana ni mashujaa wa kiislamu baada ya kuchachamaa sheria zao hasa za dini zisivunjwe wala kuingiliwa na utamaduni wa magharibi kama ushoga, ulevi,tattoo nk.
Lakini nawaambia kaeni mkijua hili kombe likishaisha msahau kabisa ili kombe kurudi tena kwenye nchi yoyote ya uarabuni.Hakuna tena atayekubali hili kombe lifanyike kwenye mazingira kama haya NEVER NEVER NEVER.
Mungu akulaani kwa uposhajiUnaongea Nini wewe? Hebu tuanze na pombe, Quran 45:17 Allah anasema peponi Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao, halafu unazuia pombe hapa duniani huu ni unafiki. Tuje Quran 2 223 inasema wanawake ni konde zenu ziendeeni konde zenu Kama mpendavyo, tafsri yake ni kuwalawiti. Leo unazuia ushoga na ulawiti hapa duniani, huu ni unafiki wa hali ya juu. FIFA safari nyingine waziepuke nchi za Kiarabu kuandaa World cup.
Duu ushampata mtu wa kukulawiti?Unaongea Nini wewe? Hebu tuanze na pombe, Quran 45:17 Allah anasema peponi Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao, halafu unazuia pombe hapa duniani huu ni unafiki. Tuje Quran 2 223 inasema wanawake ni konde zenu ziendeeni konde zenu Kama mpendavyo, tafsri yake ni kuwalawiti. Leo unazuia ushoga na ulawiti hapa duniani, huu ni unafiki wa hali ya juu. FIFA safari nyingine waziepuke nchi za Kiarabu kuandaa World cup.
Allah akusamehe bure na kukufungua fikra zako, hivi huogopi kuelezea maneno ya mwenyezi Mungu kwa uelewa wako wa kijinga, wapi Mungu kasema karuhusu kulawiti, astaghafirullahUnaongea Nini wewe? Hebu tuanze na pombe, Quran 45:17 Allah anasema peponi Kuna mito ya pombe yenye radha safi kwa wanywao, halafu unazuia pombe hapa duniani huu ni unafiki. Tuje Quran 2 223 inasema wanawake ni konde zenu ziendeeni konde zenu Kama mpendavyo, tafsri yake ni kuwalawiti. Leo unazuia ushoga na ulawiti hapa duniani, huu ni unafiki wa hali ya juu. FIFA safari nyingine waziepuke nchi za Kiarabu kuandaa World cup.
AstaghafirrullahWaarabu wanampendeza Mungu kwa lipi? Wangekuwa bora hata mbele za Mungu basi wangekuwa juu ya wote maana baraka za Mungu ni hizo kwamba aliyebarikiwa anakuwa juu ya wengi sasa waarabu wana jipya gani?
Israel wenyewe waliongozwa na Mungu hand to hand bado wakashindwa kumpendeza seuze hawa wanakwenda Hijja wanazunguka jiwe jeusi bila kuvaa nguo za ndani? [emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app