Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi pata headphones kwenye balo za mtumba..
Babaa, ile kitu acha kabisaa, narudia acha kabisa, Yaani mziki unausikia kama unapigiwa hapo kichwani kwako, kila angle ya beats unaisikia...
Kati ya watu watafika mbinguni wamechoka, Basi ni wachina...,
NOTE : Bidhaa za wachina nyingi zinaongeza stress.
JBL na oraimo earpod kwa Bei hio zipi qualityKwann usidake za JBL ..bei yake nzuri tu 120k
Umesikiliza na ngoma ya "WE ZOMBIE"
Uziwi unaletwa na hizo za ajabuajabuMnataka kuwa viziwi sio?
Unaongelea uchizi huu huu au?Uziwi unaletwa na hizo za ajabuajabu
Lakini hizi proffesional unakuta zinasaidia hadi kuzuia uziwi
Mfano unaambiwa teknolojia ya noise cancelling inakusaidia usisikie makelele ya mtaani ambayo ndio huleteleza uziwi. Unakula music tu.
Earphone nzuri zinatibu hadi uchizi broh
ItakuaNi wimbo gani huk
Yaaas, uchizi mwingine unasababishwaga tu na kelele mingi.Unaongelea uchizi huu huu au?
Hapo ndio shughuliTatizo kupata JBL halisi hapa Bongo ni kichefuchefu.
Nmekumis[emoji847
Nimekumiss zaidi. [emoji847]
🤣🤣🤣 Bora wali-maharage kuliko WALIMWENGU 🤣Naona mishangazi yako ilikua imekuficha haitaki utoke ndani ni kuoshewa maziwa na asali tu mpka umetakata[emoji3][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora wali-maharage kuliko WALIMWENGU [emoji1787]
Unapata dhambi ujue [emoji1787]
🤣🤣Walimwengu tumekufanya nni[emoji81]
Dhambi which na wew acha kujitia baba paroko[emoji2][emoji41]
[emoji1787][emoji1787]
Nawe sema kimya kimya.. unataka kila mtu asikie kuwa nilifungiwa na mishangazi.
Ndio maana nimetoka kwa mishangazi, nami nipo mwezi wa rozali.Aiiiiii mdomo komaa jmni, bas bana nmefunga bakuli[emoji850][emoji40] ila uache madhambi tupo mwez wa rozali
Nmekumbuka kuna uzi flan iv kuna jamaa alisimulia story yake na mshangaz mpka nikakukumbuka sijui umeuona
Ndio maana nimetoka kwa mishangazi, nami nipo mwezi wa rozali.
Nipo mwezi wa rozali,sitaki hata kuuona huo uzi.[emoji1787][emoji1787]
Ukisikia neno UKWELI mie ndio ukweli wenyewe, sinaga Fix🙈🤣Ka moyo kanavyoenda mbio sas, em nipishe sitaki kuamin ma uongo yako
JBL hiko juu ila kupata og ni kazi sana. Kuna duka lipo pale airport JKIA linauza OEM ila bei siyo ya kitoto.JBL na oraimo earpod kwa Bei hio zipi quality