Quality headphones zinaaibisha watayarishaji wa muziki (producers) bongo

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaongelea uchizi huu huu au?
 
[emoji1787][emoji1787]

Nawe sema kimya kimya.. unataka kila mtu asikie kuwa nilifungiwa na mishangazi.

Aiiiiii mdomo komaa jmni, bas bana nmefunga bakuli[emoji850][emoji40] ila uache madhambi tupo mwez wa rozali
Nmekumbuka kuna uzi flan iv kuna jamaa alisimulia story yake na mshangaz mpka nikakukumbuka sijui umeuona
 
Aiiiiii mdomo komaa jmni, bas bana nmefunga bakuli[emoji850][emoji40] ila uache madhambi tupo mwez wa rozali
Nmekumbuka kuna uzi flan iv kuna jamaa alisimulia story yake na mshangaz mpka nikakukumbuka sijui umeuona
Ndio maana nimetoka kwa mishangazi, nami nipo mwezi wa rozali.

Nipo mwezi wa rozali,sitaki hata kuuona huo uzi.🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…