Quality of Roads: Tanzania vs Kenya

Quality of Roads: Tanzania vs Kenya

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917


2348107_IMG_20200325_103249.jpeg


2348108_IMG_20200325_103229.jpeg


2348490_2348476_tapatalk_1585131709177.jpeg
 
Tanzania 6000km of paved roads to Kenya's 20,000km. How do you feel that?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya has a road network of about 177,800 km out of which only 63,575 km is classified. The classified road network has increased from 41,800 km at independence to 63,575 km today, a development rate of less than 600 km per annum. During the same period, the paved road length grew from 1,811 km to 9,273 km. It is presently estimated that about 70% (44,100 km) of the classified road network is in good condition and is maintainable while the remaining 30% (18,900 km) requires rehabilitation or reconstruction. Table 1 below gives a summary of classified road network in Kenya.

Road network
 
Kenya has a road network of about 177,800 km out of which only 63,575 km is classified. The classified road network has increased from 41,800 km at independence to 63,575 km today, a development rate of less than 600 km per annum. During the same period, the paved road length grew from 1,811 km to 9,273 km. It is presently estimated that about 70% (44,100 km) of the classified road network is in good condition and is maintainable while the remaining 30% (18,900 km) requires rehabilitation or reconstruction. Table 1 below gives a summary of classified road network in Kenya.

Road network
Asante kwa kupost article ya 2007. Kenya is currently at 20,000km.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Stale news.
Meanwhile
Shirika la umeme Zanzibar lagoma kuilipa TANESCO - JamiiForums
Shirika la umeme la Zanzibar limekiri kudaiwa na shirika la umeme TANESCO deni la shilingi bilioni kumi lakini limesema halitalipa bali deni hilo litalipwa na Serikali ya muungano.

Limesema Serikali ya muungano inadaiwa na Serikali ya Zanzibar kwa hiyo watakatana hukohuko.

Kwanza haijulikani ni deni gani ambalo Serikali ya muungano inadaiwa na Zanzibar. Pili kwa muda mrefu inasemekana Zanzibar imekuwa haichangii gharama za kuendesha Serikali ya muuungano. Tatu kama kweli Serikali ya muungano inadaiwa na Zanzibar ni vema ikaweka hadharani deni hilo.

Watanzania bara tumekuwa tukipandishiwa umeme huku upande wa pili hawalipi hapo ndio utaona umuhimu wa serikali tatu.

Chanzo: Habari ya ITV
 
Stale news.
Meanwhile
Shirika la umeme Zanzibar lagoma kuilipa TANESCO - JamiiForums
Shirika la umeme la Zanzibar limekiri kudaiwa na shirika la umeme TANESCO deni la shilingi bilioni kumi lakini limesema halitalipa bali deni hilo litalipwa na Serikali ya muungano.

Limesema Serikali ya muungano inadaiwa na Serikali ya Zanzibar kwa hiyo watakatana hukohuko.

Kwanza haijulikani ni deni gani ambalo Serikali ya muungano inadaiwa na Zanzibar. Pili kwa muda mrefu inasemekana Zanzibar imekuwa haichangii gharama za kuendesha Serikali ya muuungano. Tatu kama kweli Serikali ya muungano inadaiwa na Zanzibar ni vema ikaweka hadharani deni hilo.

Watanzania bara tumekuwa tukipandishiwa umeme huku upande wa pili hawalipi hapo ndio utaona umuhimu wa serikali tatu.

Chanzo: Habari ya ITV
Yaani wewe hii tabia ya kuanzisha mada nyingine ndani ya uzi ni ya kitoto sana... Si ufungue uzi mwingine
 
Back
Top Bottom