Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazeee wa Karume na Kkoo bila shaka hii 3d haituhusu!
Tatizo la Tanzania ni maji na sabuni, hatusomi label ya maelekezo
Tunakamua nguo ambazo hazipaswi kamuliwa
Twaamika juani
Huo mtumba unauchukulia wapiNguo za duka nina muda mrefu sana japo mtumba wa jinzi ya 40000 unavaa hadi unachoka mwenyewe
Bora mkuu. Nimegundua maduka kibao wanauza direct imports ambazo zina viwango.
Sisi kwa sehemu kubwa twachangia kuharibu nguo zetu.Kweli kabisa kila nguo ina masherti yake
Hapo umepigwa sana kwa hiyo bei unapata 3-5Nguo za duka nina muda mrefu sana japo mtumba wa jinzi ya 40000 unavaa hadi unachoka mwenyewe
Wapi na wapi? unaweza ku-share hapa na wengine tukajaribu huko?Bora mkuu. Nimegundua maduka kibao wanauza direct imports ambazo zina viwango.
ComputersDAR fuata huu ushauri.Woolworth nguo zao kweli ghali lakini quality. Niliwahi nunua nguo za mtoto kwenye maduka yao yote mawili. Gsm pia ukilinganisha na maduka mengine ya mtaani wana nguo nzuri maana mimi nilikuwa mdau wa duka lao la msasani kwa nguo zangu mwenyewe na watoto ila nina zaidi ya mika 2 sijanunua nguo kwao ila kwa kipindi nilichokuwa nanunua pale hasa viatu vya watoto na cardet zangu kwakweli sina lawama kwa kiasi cha pesa.
Cardet nilikuwa nazivaa hadi nazichoka, tshirts pia.
Unashangaa jeans ya mtumba kuuzwa 40K?ipo mitumba classical na hizo ronya za buku 10 10Hapo umepigwa sana kwa hiyo bei unapata 3-5
Kwenye sale sometime ni rahisi kuliko Kkoo nishanunua Tshirt chini ya 10k hapo msasani mall.Wazeee wa Karume na Kkoo bila shaka hii 3d haituhusu!
Nyie ndo mnapigwa afu mnajifanya wajanjaUnashangaa jeans ya mtumba kuuzwa 40K?ipo mitumba classical na hizo ronya za buku 10 10
Ipo suruali ya mtumba unakuta mtu ameishika unampa 60K anakataa wakati unalia akupunguzie anakuja mtu kitendo cha kuishika kujua material yake akianziwa 85 analipa 80k unabaki umeduwaa.
Na Vijana Mall pia wapo...Wapo Mlimani City Mall. Ni brand ya Uturuki
Tatizo letu binadamu ni kujifanya tunajua kila kitu.Nyie ndo mnapigwa afu mnajifanya wajanja