Quality ya nguo za GSM na Waikiki siyo nzuri

Quality ya nguo za GSM na Waikiki siyo nzuri

ComputersDAR fuata huu ushauri.

Kuongezea usinunue Nguo za Gsm nunua Nguo za Brand fulani ndani ya maduka Ya Gsm ama ndugu zake hao Gsm.

Mfano Msasani Mall ni wakala wa Brand nyingi za South kama Babyshop, Max, Splash, Anta, Ipanema etc so kinachofanyika pale Ingia Duka la Brand husika kununua. Ikiwa ni Duka la Gsm mwenyewe ina maana anaweza weka nguo yoyote ila ukiingia Max ama Babyshop ama Brand yoyote inayojulikana wanabanwa na mikataba kuweka Exactly Nguo za Standard fulani. Ni kama Cocacola ama Kfc mfano wake.
Hapo mimi nimekuelewa maana mimi nilikuwa nanunua brand za max tu
 
Tatizo letu binadamu ni kujifanya tunajua kila kitu.

Tukubaliane vipo unavyovijua wewe vipo ninavyovijua mimi mfano huwezi kukuta Levi's Jeans mtumba fresh from USA muuzaji amenunua balo Nairobi 2.7mill ukauziwa suruali Tsh 40,000/=

Na hiyo 80K nimekupa kama mfano tu kama wewe mtoto wa mjini hapa Dar miaka ya 2008 wakati mtaa wa Lumumba unawika kwa kuuza magari na kuwepo wale jamaa waliokuwa wanaimbwa imbwa kwenye bands mbalimbali nilishawahi kumuona jamaa akiitwa Kizaizai ananunua jeans 150K na hababaiki huyo mtu anayemuuzia wewe mwenyewe unaogopa kumsogelea kwa vitu alivyobeba.
Watu wabishi tu mkuu, wanadhani kuuziwa kitu bei cheap basi ndo ujanja.

Na hii ni kwasababu watu hawachunguzi kitu kabla ya kununua, yeye anaangalia bei tu, itayokua chini ndo hiyo anapita nayo na sio ubora wa bidhaa.
 
f

Unaweza kuamua kurudi kijijini kwenu ukaanza kuishi off the grid kwa kulala juu ya mti au kwenye pango msituni na kujisitiri kwa kutumia magamba ya miti. Ni uamuzi wako tu mkuu
You're defending what you already in your head so I can say you've mind map or perception blind spot.
Hatujakataa mkuu, you're right.

Ukiona smb like Bill gate,mark Zuckerberg,Elon musk etc wapo kwenye tisheti wanawaza namna ya ku conquer dunia.
Ngoja sie tumiliki ist ili iwe rahisi kula mbususu Mana maisha yenyewe mafupi.

Diamond contract milele,bandari nayo milele,gesi msoga wameshabeba muda kitambo muda huo umewekewa maigizo ama simba na yanga unashangilia watu wanajichukulia Mali na kuhakikisha wajukuu zao wanakuja kuwa Kama akina Trump.
Trump amekutana na Mali anaendeleza so make sure na mjukuu wako anakutana na investment aama anaweza akakutana Woolworths,iPhone ,adidas na series alizokuwa anacheki Babu. Ni juu yako ya kuamua. Mie nimeamua kurudi kijijini mkuu kitambo mno
 
Mwaka jana mwezi wa 12 niliamua kufanya shopping ya nguo kwa watoto wangu. Nilianza na Woolworth.

Woolworth bei za nguo za watoto ni juu sana kwa kweli. Nilinunua nguo chache lkn kwa gharama kubwa. Baada ya hapo nikaamua kwenda Mlimani City.

Hapo ndipo nikagundua kumbe naweza kununua nguo nyingi na nzuri kutoka maduka ya GSM na WAIKIKI kwa gharama nafuu sna ukilinganisha na Woolworth.

Basi nikatumia pesa maduka haya mawili kwa nguo za watoto. Lakini nilichogundua baadaye ni kwamba nguo za GSM NA WAIKIKI zinapendeza kws macho ukiziona dukani tu au tuseme zikiwa mpya.

Zikishaanza kutumika zinachakaa haraka sana sababu ni nyepesi na zinachanika haraka haswa zikifuliwa.

Woolworth nguo zao ni imara ukilinganisha na GSM NA WAIKIKI lakini zina bei sana.

Jee, kuna yeyote mwenye uzoefu kama wa kwangu kuhusu ubora wa nguo zinazouzwa haya maduka?
Njoo Karume uchague mtumba grade 1
 
Mwaka jana mwezi wa 12 niliamua kufanya shopping ya nguo kwa watoto wangu. Nilianza na Woolworth.

Woolworth bei za nguo za watoto ni juu sana kwa kweli. Nilinunua nguo chache lkn kwa gharama kubwa. Baada ya hapo nikaamua kwenda Mlimani City.

Hapo ndipo nikagundua kumbe naweza kununua nguo nyingi na nzuri kutoka maduka ya GSM na WAIKIKI kwa gharama nafuu sna ukilinganisha na Woolworth.

Basi nikatumia pesa maduka haya mawili kwa nguo za watoto. Lakini nilichogundua baadaye ni kwamba nguo za GSM NA WAIKIKI zinapendeza kws macho ukiziona dukani tu au tuseme zikiwa mpya.

Zikishaanza kutumika zinachakaa haraka sana sababu ni nyepesi na zinachanika haraka haswa zikifuliwa.

Woolworth nguo zao ni imara ukilinganisha na GSM NA WAIKIKI lakini zina bei sana.

Jee, kuna yeyote mwenye uzoefu kama wa kwangu kuhusu ubora wa nguo zinazouzwa haya maduka?
wewe utakuwa mshabiki wa makolo
 
MKUU NGUO ZINANUNULIWA ILI UNUNUE NYINGINE, SIYO KITU CHA KUDUMU

amini amini nakwambia,nguo zimetengenezwa uishi nazo jumla,kama huamini nunua jersey grade 1 ya laki 2.5 kisha anza kutumia.

ni vile tuko dunia ya tatu huku,kiatu cha 70k tunasema ni original kumbe original yenyewe ni 600k[emoji28][emoji28].
 
Woolworths baba lao,ingawa bei zao zimesimama,mie nguo za watoto za mitoko na kulipuka nawachukulia huko,then kwa occasion nyingine namix na za huko gsm,mr price,mtumba nk
 
amini amini nakwambia,nguo zimetengenezwa uishi nazo jumla,kama huamini nunua jersey grade 1 ya laki 2.5 kisha anza kutumia.

ni vile tuko dunia ya tatu huku,kiatu cha 70k tunasema ni original kumbe original yenyewe ni 600k[emoji28][emoji28].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli kabisa kila nguo ina masherti yake
1692260801725305464689043507689.jpg
 
Back
Top Bottom