QUANTUM IMMOTALITY: Nadharia ya kukwepa kifo. Je, ni kweli Rais wa urusi PUTIN anaishi milele?

Hapo ni sawa na kusema.

Watu wote billion 7+ ambao wapo hai duniani wamekwepa kifo na nina uhakika na hili kwa asilimia 100%.

Hapo hakuna tofauti kati ya hao 7+ billion na huyo putin.
 
Hapo ni sawa na kusema.

Watu wote billion 7+ ambao wapo hai duniani wamekwepa kifo na nina uhakika na hili kwa asilimia 100%.

Hapo hakuna tofauti kati ya hao 7+ billion na huyo putin.
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Napinga hii kwa kuwa Putin ni mzee kwa sasa, ningekuwa na kiasi cha imani hapa kama Putin angekuwa na muonekano wa kijana kama wa 30's kwa miaka mingi bila kwenda kwenye stage ya uzee lakini miaka yake iwe ni sawa na miaka ya wazee wengine
Kwa kuwa ni mzee hii ni ishara ya kwamba yuko kwenye safari ya kuelekea mwisho
 
Lazima kuna namna
 
sa
sawa ila ni nadharia tu
 
sa
sawa ila ni nadharia tu
 
kwa mimi ninavyofahamu kuwa , roho ya binadamu ndo inayojua kila jambo unalolitaka, la hata lisaa limoja baadae, ina majibu na maswali yote unayojiuliza, yaan kwa kifupi ina kila kitu ila sasa binadamu tumepotezwa tunaaminishwa kuwa akili zetu au bongo zetu ni kila kitu, na kuwa zinauwezo mkubwa kuliko ila ni big no, mifumo ya elimu ya dunia,ma vyombo ya habari yanatuondolewa uwezo wa kuisikia roho yetu inasema nn, so tunazidi kujiwekea ukuta ya kusikia roho zetu zinataka nn.
 
Hio ya rais wa Urusi ni uongo mkubwa sana. Tena uongo mweupe.

I reality Putin ni binadamu wa kawaida na mwenye hofu ya Mungu tofauti na media nyingi zinavyo muelezea na kumjaza maneno.

Ni kama kipindi ya Lowasa kila jengo lilikuwa la kwake.
Kipindi ya JK kila kituo cha mafuta na majumba yalikuwa ya riziwani.

Waandishi wanajaribu kuvuta attention ambayo haina mantiki.

Ndani ya ikulu yake kuna kanisa la zamani sana na hata kwenye mambo ya sayansi kuna mipaka ambayo imewekwa ili wanasayansi wasije wakamkufuru Mungu.

Kiufupi Putin atakufa kama binadamu wengine.
 


Immortality ni sifa characterised na kutokuzeeka (becoming old)--- mbona Putin anazeeka with passing time??!! hiw then can he be an immortal??? πŸ˜’
 
shuqraani kwa mchango mkuu
 
Immortality ni sifa characterised na kutokuzeeka (becoming old)--- mbona Putin anazeeka with passing time??!! hiw then can he be an immortal??? πŸ˜’
nadharia tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…