Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Heeee, ila bongo noma!Sio kwake kwao , isiaka karudi kwa wakwe zake , mashauzi yote mtandaon hela hawana mxieew
[emoji23][emoji23][emoji23]si nilisikia wale ni wahindi hivyo basi haishangazi kurudi kwao na kuishi pamoja.
asma khan devgan
abdul nasib khan kajol
DJ khan pretty zintah
mama mdebwedo khan uzee mwisho kwa amrish purrrr
Mbea mwenye viwango vyake..ππWarumi katika ubora wake, mbea first class [emoji4]
Sawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mi nna siri basi , kazi yangu kuleta umbea, kifua sina mie [emoji23][emoji23]
Chako ni chako tu, hata kama ni porini. Smart move πππKaka ake na umillinare wote huo anashindwa kumlipia dada ake kodi Jaman ? Sasa kufanya 40 ya kifahari yote ile na kumbe kodi anadaiwa ya nini ? .
Kupitia insta Live, Queen darleen ka confirm kurudi kwao na kasema kuwa hawez kuaibika mjini kwa kuwa Mama yake alimuachia nyumba Sinza hvyo kaamua kurudi kwao kutoka mbezi beach alikokua anakaa kwenye ghorofa ambapo ni Karibu na kwa kaka yake Diamond .
Mmh mji mzito huuView attachment 1646306
Sio kwake kwao , isiaka karudi kwa wakwe zake , mashauzi yote mtandaon hela hawana mxieew
Umevamua jukwaa jombaa, ukitaka mambo ya uchumi wa kati nenda jukwaa la siasa.
Huku wenzio tunakujaga kuondowa stress tu, huwezi kuvaa suti beach bana.
Nadhani mwenye kosa ni hiyo Queen Darleen aliyeamua kuyaweka maisha yake binafsi hadharani. Maana mleta mada kasema katumia Insta live.Haya maisha binafsi ya watu mnapata wapi muda wa kufuatilia? We umejenga yako? Watu wengine mnakazi ngumu
Sawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?