cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji23][emoji23]Umevamua jukwaa jombaa, ukitaka mambo ya uchumi wa kati nenda jukwaa la siasa.
Huku wenzio tunakujaga kuondowa stress tu, huwezi kuvaa suti beach bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Umevamua jukwaa jombaa, ukitaka mambo ya uchumi wa kati nenda jukwaa la siasa.
Huku wenzio tunakujaga kuondowa stress tu, huwezi kuvaa suti beach bana.
Niko hapa najiuliza kwamba Darleen na mumewe hawana hela ya kodi?Isihaka ni mwanaume suruali ana oa Wake wawili huku Hana kipato very shame
Niko hapa najiuliza kwamba Darleen na mumewe hawana hela ya kodi?
Basi muziki wa bongo itakuwa kazi ya KIFALA sana
Binamu Ni kweli Mondi kapanga?Yeye mwenyewe kapanga
Best punguza hasira lete ubuyu siri wanaziweka nje ni wao [emoji23][emoji23]Wewe ungekua hupendi kufuatilia ya watu humu umekuja kufuata nini mnafiki mkubwa wewe Mxiee tena usinifanye nikuchambe had usahau jinsia yako mbwa wewe
Ni marufuku kuchuja [emoji23][emoji23][emoji23]Mbea nisiye chuja miaka nenda rudi[emoji23]
Ahsante,napenda udaku wa 5 stars Kama huu.Ahsante sana binamu , Karibu
According to international sources Tanzania tunae billionea mmoja tuu ambae ni Muhammed dewji tuu. Labda useme Diamond ni millionaire tutauelewa. Diamond kuna matajiri wengi tuu wa mikoani wanamwacha mbali Sana
Ah we noma.Mbea nisiye chuja miaka nenda rudi[emoji23]
Kwahyo bakhresa sio billionea?According to international sources Tanzania tunae billionea mmoja tuu ambae ni Muhammed dewji tuu. Labda useme Diamond ni millionaire tutauelewa. Diamond kuna matajiri wengi tuu wa mikoani wanamwacha mbali Sana
Mumewe hana nyumba? Loh aibu sana hii [emoji1787][emoji1787]Uamuzi binafsi ulikua ni kukaa kwenye ghorofa mbezi beach , ila account ikawa hairuhusu ikabdi arudi tu kwao Sinza , upo nyonyo
Billionea Tanzania ni Muhammed dewji tuu tena ndio billionea pekee Africa mashariki na Kati. Bakhresa ni millionaire. Tafuta takwimu Kwanza . Hata kwenye wa Tanzania Mondi hayumo kwenye list. Mondi sio billionea.Kwahyo bakhresa sio billionea?
Shoo moja uingeleza anapiga kwa milion 160..Sasa shoo kumi tu ana billioni mfukon
Acha zalau bloo mondi ni billionea
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaongelea sijui currency gani mimi naongelea shilingi...Hapo ndo lugha gongana.Billionea Tanzania ni Muhammed dewji tuu tena ndio billionea pekee Africa mashariki na Kati. Bakhresa ni millionaire. Tafuta takwimu Kwanza . Hata kwenye wa Tanzania Mondi hayumo kwenye list. Mondi sio billionea.
Muziki bongo hauna hela wasanii ukiona Wana show off Ila Wana Hali mbaya ya kiuchumi wengi walikuwa mapunda Tu mjini. So queen naye njaa Kali hafu show off nyingi Mara harusi baby shower arobaini tu ya mwanawe alikopa, hafu why ukaishi kwenye nyumba expensive huku kipato majanga. Hela tu ya pampasi Hana ananunua za mia tanoNiko hapa najiuliza kwamba Darleen na mumewe hawana hela ya kodi?
Basi muziki wa bongo itakuwa kazi ya KIFALA sana
Queen tangu kodi imshinde kawa mpole vijembe kwa mke mkubwa vimeisha, hela tu ya diapers za mtoto Hana, according to shilawaduKabla ya hapo walikatiwa maji wiki mbili wanahaha kuyarudisha.
Queen alizidi mashauzi full kumrusha bi mkubwa wakati hela za isihaka zinatoka kwa bi mkubwa.
Ila Zari kauzu sana,kaja bongo hata kwenda kumuona mzazi queen waaapiii,bila kusahau kwa yuda aiseee