Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Looo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaonekana tu sio mtu mwenye pesa. Amekaa ki mission town
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Looo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaonekana tu sio mtu mwenye pesa. Amekaa ki mission town
Duh noma Sana show off zitawa cost Sana Hawa wasanii njaa yao ni Kali na huyo queen darling hata kuimba hajui
We jamaa ni mbishi tu,jamaa anachokuambia ni sawa.ubilionea ukiuangalia nje ya Dollars,nchi nyingi basi zina matrilionea.....Zimbabwe mfano..Pumbav wewe TANZANIA inakosa watu wenye dola 500,000 hiyo si ndio Bilion 1 kwa tsh.
Ndio maana nakwambia hauna exposure tembea uone zwazwa wewe.
Wewe ni mpumbavu angekuwa na Trillion asingetembeza bakuli kwa wwnasimba wachangie milion 300 ya faini kwa kumsajili kichuyaWe jamaa ni mbishi tu,jamaa anachokuambia ni sawa.ubilionea ukiuangalia nje ya Dollars,nchi nyingi basi zina matrilionea.....Zimbabwe mfano..
Wewe ni Muha wa wapi!?
Atakuwa Kama uncle shamte tu......maana uncle sijui Kama hata bajeti ya nyumba huwa inamuhusu
Nenda usome vizuri hiyo source, wao walimainisha $billionaires na sio tsh billionaires, kwa hiyo unataka kusema Liazer sio Bilionea!According to international sources Tanzania tunae billionea mmoja tuu ambae ni Muhammed dewji tuu. Labda useme Diamond ni millionaire tutauelewa. Diamond kuna matajiri wengi tuu wa mikoani wanamwacha mbali Sana
tuko na ww bado HUKU ULIINGIAJE WW YUDA ESKARIOT.Sawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?
Akili za ugorotuko na ww bado HUKU ULIINGIAJE WW YUDA ESKARIOT.
Kwamba jamaa inawezekana akawa ni muha ? HahahaaWe jamaa ni mbishi tu,jamaa anachokuambia ni sawa.ubilionea ukiuangalia nje ya Dollars,nchi nyingi basi zina matrilionea.....Zimbabwe mfano..
Wewe ni Muha wa wapi!?
Darleen ana status gani?Sio kweli my dear hiii story ni ya uongo hajarudi kwao atakua yupo hukohuko au amepanga mhl pengine ila kwao sinza 100% sure haishi hapa mm ninapokaaaa na hyo nyumba ya mama ake tunashea ukuta tungemuona ata akienda dukani bc km ckwenda dukani tungeckia ata mtt akilia
Na hawezi kuishi apo hyo nyumba ina matatizo ya kujaaa maji kipindi cha mvua ata ikinyesha mvua ya 5 hrs panajaaaa maji kwa status yake hawezi kukaaaa apo !!!
Ila darleen mkubwa jamani kwa umri wake alitakiwa aishi maisha ya wakati wake.Tatizo sio kuhama tatizo katimuliwa.
😂😂😂😂 Mama dangote kagoma kuishi maisha ya wakati wake sembuse queen anaanzaje kwa mfano.Ila darleen mkubwa jamani kwa umri wake alitakiwa aishi maisha ya wakati wake.
Yule kama hana mjukuu sijui.
Darleen ana status gani?
Wee ni shosti ake na warumi?warumi mwaga upupu tupunguze stress za CCM
NdioWee ni shosti ake na warumi?
Powa powa.Ndio